-
Kuanzia "Kujisalimisha Bila Masharti" hadi Kukubali Nguvu ya Iran; Kurudi Nyuma kwa Trump Chini ya Mashinikizo ya Ukweli wa Mambo
May 28, 2026 09:45Kushindwa Trump na Netanyahu katika kufikia malengo yao ya kuishambulia kijeshi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara ya pili katika kipindi cha miezi tisa, ni moja ya mada muhimu zinazojadiliwa na taasisi za utafiti, wananadharia mashuhuri na vyombo tajika vya habari.
-
IRGC: Iran imepata uwezo mpya wa kukabiliana na maadui
May 28, 2026 04:49Afisa mmoja mwandamizi wa kijeshi ameonya kwamba uchokozi wowote mpya wa kijeshi dhidi ya Iran utasababisha jibu la aina tofauti na lenye nguvu zaidi, “lisilofanana na chochote walichowahi kukiona hapo kabla.”
-
Ayatullah Khatami: Trump ana jeni ya kusema uongo
May 27, 2026 15:17Imamu wa Swala ya Idul Adh'ha iliyofanyika mapema leo mjini Tehran amesema: "Maadui wanatamani taifa la Iran lichoke, lakini kwa neema ya Mungu, wataingia kaburi na matarajio hayo."
-
Rais wa Iran ahimiza mshikamano wa Kiislamu dhidi ya Marekani na Israel katika mazungumzo na viongozi wa Kiislamu
May 27, 2026 10:57Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mheshimiwa Masoud Pezeshkian, ametoa wito wa kuimarishwa umoja na ushirikiano miongoni mwa nchi za Kiislamu, akisisitiza kuwa mshikamano wa Umma mzima wa Kiislamu ni nguzo muhimu katika kukabiliana na vitisho na changamoto zinazokabili eneo la Magharibi mwa Asia.
-
Iran yasema ukiukwaji wa makubaliano ya kusitisha vita unathibitisha “nia ovu” ya Marekani,
May 27, 2026 10:53Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali ukiukwaji wa “wazi na usio na msingi” wa makubaliano ya kusitisha mapigano uliofanywa na Marekani katika Lango Bahari la Hormuz.
-
IRGC yaitungua ndege ya kivita ya Marekani katika Ghuba ya Uajemi, yatoa onyo kali
May 27, 2026 03:24Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa vitengo vyake vya ulinzi wa anga vimetungua ndege ya kivita ya Marekani isiyo na rubani, aina ya MQ-9 Reaper, katika anga ya Ghuba ya Uajemi.
-
Iran yaonya kuwa, ikishambuliwa tena jibu la litakuwa ‘kali zaidi’ kuliko vita vilivyopita
May 27, 2026 03:16Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetoa onyo kali kuhusu mashambulizi ya kulipiza kisasi yatakayokuwa “mazito na makali zaidi” iwapo tawala za Marekani na Israel zitafanya uchokozi mpya.
-
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu- Siku ya Arafa
May 26, 2026 13:32Katika ujumbe wake kwa mnasaba wa kuwadia msimu wa Hijja ya Nabii Ibrahim (as), Ayatullah Seyyed Mojtaba Hosseini Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, ametaja amali na thikri zilizajaa maana za Hijja na kusema ni ishara za kudumu milele kwa wanadamu kwa ajili ya kuwahamasisha waelekee kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu, na kuwa huru kutokana na minyororo ya Shetani na wafuasi wake, na wakati huo huo kufanya bidii bila kuchoka kwa ajili ya kuondokana na matamanio ya nafsi, na kufikia sa
-
Ujumbe wa Hija: Kiongozi Muadhamu ayatolea wito mataifa ya Kiislamu kuunda utaratibu mpya wa kikanda; asema enzi ya US imefikia tamati
May 26, 2026 11:24Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amezitolea wito nchi za Kiislamu kuzidisha ushirikiano na kuanzisha utaratibu mpya wa kieneo na kimataifa mbali na utawala wa Marekani.
-
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa: Iran haitasalimu amri wala kurudi nyuma
May 26, 2026 11:17Katibu wa Baraza Kuu la Usalama la Taifa la Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu "haitarudi nyuma" huku kukiwa na ripoti juu ya uwezekano wa kufikiwa makubaliano kati ya Tehran na Washington.