-
"Jeshi la Iran litakata 'mkono wowote wa chokochoko' dhidi ya Kiongozi Muadhamu"
Jan 21, 2026 03:14Afisa wa ngazi ya juu wa Jeshi la Iran amepuuzilia mbali vitisho vya maneno vya hivi karibuni vya Rais wa Marekani Donald Trump, akionya kwamba, hatua yoyote ya uadui itakayoelekezwa kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei itakabiliwa na kisasi kikubwa cha kijeshi.
-
Zaidi ya magaidi 470 na vinara wa ghasia wakamatwa katika mikoa kadhaa ya Iran
Jan 20, 2026 10:23Maafisa wa usalama na taasisi za ujasusi za Iran zimewakamata zaidi ya watu 470 katika mikoa mitatu, waliotambuliwa kama watu muhimu na vinara wa wimbi la hivi karibuni la machafuko ya vurugu na harakati za kigaidi zinazohusiana na mitandao inayoungwa mkono na madola ya kigeni.
-
Muendelezo wa ushirikiano wa Tehran-Caracas; nembo ya muqawama dhidi ya mashinikizo ya Marekani
Jan 20, 2026 08:52Rais wa muda wa Venezuela amesisitiza kwamba, Caracas itaendeleza uhusiano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yalaani tuhuma zisizo na msingi za Argentina dhidi ya IRGC
Jan 20, 2026 07:41Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani uamuzi wa hivi karibuni wa Argentina wa kuituhumu sehemu ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), na kuutaja uamuzi huo kuwa usioweza kuhalalishwa, na ni hatari kwa usalama wa taifa.
-
Araqchi alikosoa Kongamano la Uchumi la Dunia kwa kufuta mwaliko wake huko Davos
Jan 20, 2026 05:32Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelikosoa Kongamano la Uchumi la Dunia kwa kufuta mwaliko wake wa kuhudhuria Mkutano wa Davos.
-
Rais Pezeshkian: Matukio ya hivi karibuni Iran yalikuwa mwendelezo wa njama zilizoshindwa za Marekani na Israel katika vita vya siku 12
Jan 20, 2026 04:16Rais Masoud Pezeshkian amesema kuwa, matukio ya hivi karibuni nchini Iran yalikuwa mwendelezo wa njama zilizofeli za Marekani na utawala wa Kizayuni katika vita vya siku 12 dhidi ya taifa hili.
-
Je, Trump anajaribu kufidia udhalilishaji wa kihistoria iliofanyiwa Marekani 2016 na Iran?
Jan 20, 2026 02:08Tarehe 12 Januari (Dei 22) ni ukumbusho wa siku ambayo wanajeshi wa Marekani walitekwa na majeshi ya Iran katika Ghuba ya Uajemi.
-
Wizara ya Usalama ya Iran yawatia mbaroni magaidi 2 wa MKO walioshiriki katika ghasia za Tehran
Jan 19, 2026 11:37Wizara ya Usalama ya Iran imetangaza kuwa imewatia nguvuni mamluki wawili wenye mfungamano na kundi la kigaidi la Munafiqin (MKO). Mamluki hao walikuwa wapiongozwa na kupewa maagizo la uongozi wa kundi hilo wenye makao yake nchini Ujerumani.
-
Qalibaf: Vita vya karibuni vya kigaidi dhidi ya Iran vinafanana na shambulio la pager la Israel huko Lebanon
Jan 19, 2026 11:35Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) Muhammad Baqer Qalibaf amesema kuwa "Vita vya kigaidi vya mtindo wa Daesh" vya hivi karibuni hapa nchini vilikuwa na malengo sawa na ya shambulio la kigaidi la Israel dhidi ya Lebanon mwezi Septemba mwaka 2024.
-
Kuimarishwa uhusiano wa Iran na Iraq; njia ya pamoja ya kufikia utulivu endelevu katika eneo
Jan 19, 2026 07:26Viongozi wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kikao na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq wamesisitiza umuhimu wa kustawishwa na kuimarishwa ushirikiano wa pamoja baina ya nchi mbili kwa shabaha ya kudhamini uthabiti wa eneo.