-
Larijani: Nchi za Magharibi hazistahili kutoa maoni kuhusu uwezo wa makombora ya Iran
Nov 10, 2025 23:45Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema nchi za Magharibi zinatumia uwezo wa makombora wa nchi hii kama njia ya kutekeleza mashinikizo yao na kusisitiza kuwa nchi hizo hazipasi kuzungumzia suala hilo.
-
Tehran yapuuzilia mbali madai ya Israel ya njama ya kumuua balozi wa utawala huo huko Mexico
Nov 10, 2025 08:45Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amepuuza vikali madai ya Israel kwamba Tehran ilijaribu kumuua balozi wa utawala huo nchini Mexico, akiyata madai hayo kuwa "hayana msingi na ni ya kipuuzi kabisa."
-
IRGC yavunja mtandao wa udukuzi unaohusishwa na Mossad
Nov 10, 2025 08:42Shirika la Ujasusi la Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza mafanikio makubwa ya kukabiliana na ujasusi, na kumkamata kiongozi wa kundi la udukuzi linalojulikana kama "Backdoor."
-
New York Times: Katika vita vijavyo, Iran itarusha makombora 2,000 kwa wakati mmoja kuilenga Israel
Nov 10, 2025 02:49Gazeti la The New York Times la nchini Marekani limetahadharisha kwamba ikiwa Israel itaishambulia tena Iran, Tehran itajibu hujuma hiyo kwa nguvu zaidi, kwa kurusha makombora 2,000 kwa wakati mmoja kuulenga utawala huo wa kizayuni.
-
Araqchi: Iran iko tayari kusaidia kutatua mvutano wa mpaka kati ya Pakistan na Afghanistan
Nov 09, 2025 23:48Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema Iran iko tayari kusaidia juhud za kutatua mvutano kati ya Pakistan na Afghanistan ambao umeongezeka hivi karibuni kufuatia mapigano makali ya mpakani.
-
Iran yapanua diplomasia ya utalii katika mkutano wa Riyadh
Nov 09, 2025 22:52Waziri wa Utalii wa Iran Sayyid Reza Salehi-Amiri jana Jumapili alikutana na kuzungumza kwa nyakati tofauti mjini Riyadh, Saudi Arabia na maafisa wa ngazi ya juu wa nchi kadhaa, wakiwemo maafisa kutoka Indonesia, China, India, Iraq, Tajikistan, Armenia, na Uzbekistan kujadili njia za kupanua ushirikiano wa pande mbili katika sekta ya utalii.
-
Qalibaf: Marekani lazima ikubali matokeo ya uchokozi wake wa wazi dhidi ya Iran
Nov 09, 2025 08:20Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, anasema Marekani lazima ikabiliane na matokeo ya kisheria na kisiasa ya kitendo chake cha uchokozi mbaya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, mapema mwaka huu.
-
Iran iko tayari kwa mchakato wa kuzalisha ndege za abiria ilizojibunia yenyewe
Nov 09, 2025 00:00Mkuu wa Shirika la Usafiri wa Anga la Iran amesema kuwa, baada ya kubuni na kutengeneza ndege ya mizigo, sasa wataalamu wa Iran wako katika mchakato wa kubuni na kuzalisha kwa wingi ndege za abiria.
-
Ni nini takwa la Tehran baada ya Trump kukiri kuhusika Marekani katika mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran?
Nov 08, 2025 08:11Rais wa Marekani, Donald Trump, amekiri kuwa alikuwa na mchango katika mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran.
-
Iran yautaka Umoja wa Mataifa kurekodi kukiri Trump kuhusika Marekani katika uvamizi dhidi ya Iran
Nov 08, 2025 07:09Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameitaka taasisi hiyo ya kimataifa kusajili tamko la Trump la kukiri kuhusika moja kwa moja Marekani katika uchokozi na uvamizi wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Juni mwaka huu.