uncategorised
  • Baraza la Haki za Binadamu la UN na sera za uzandiki na undumakuwili linazolazimishwa kufuata

    Baraza la Haki za Binadamu la UN na sera za uzandiki na undumakuwili linazolazimishwa kufuata

    Mar 01, 2018 23:05

    Kikao cha 37 cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kinaendelea mjini Geneva, Uswisi.

  • Ongezeko la askari wa Marekani nchini Afghanistan

    Ongezeko la askari wa Marekani nchini Afghanistan

    Feb 25, 2018 23:09

    Kwa mujibu wa ripoti zilizotolewa, Marekani bado ina mpango wa kuongeza idadi ya askari wake nchini Afghanistan

  • Makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 20, 2018 01:20

    Hotuba iliyotolewa Jumapili iliyopita na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA imeonesha tena kwamba, sera za Mfumo wa Kiislamu wa Iran zimebuniwa kwa msingi wa mantiki na busara na kwa kutilia maanani tajiriba na utambuzi wa kina wa malengo ya Marekani.

  • Kumbukumbu ya kufa shahidi Bibi Fatima Zahra AS

    Kumbukumbu ya kufa shahidi Bibi Fatima Zahra AS

    Feb 19, 2018 11:58

    Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika kipindi hiki maalumu nilichokuandalieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku aliyokufa shahidi Bibi Fatima Zahra (a.s) binti mtukufu wa Bwana Mtume (s.a.w) na mwanamke bora duniani na akhera, mwanamke ambaye ni kigezo na ruwaza njema. Amani iwe juu yako Ewe Fatma Zahra mwanamke bora wa duniani na Akhera, Bibi wa wanawake wa peponi, Mtukufu as-Sidiqah at-Tahirah Fatimatuz Zahra (Salaamullahi Alayha).

  • Rekodi mpya ya utawala wa Al Khalifa wa Bahrain katika kukiuka haki za binadamu

    Rekodi mpya ya utawala wa Al Khalifa wa Bahrain katika kukiuka haki za binadamu

    Feb 15, 2018 00:35

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch la Bahrain limetangaza kuwa, kumefanyika vitendo 995 vya ukiukaji wa sheria za kijamii na haki za binadamu nchini humo katika mwezi uliopita wa Januari.

  • Sababu za kubakia na kudumu Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran

    Sababu za kubakia na kudumu Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran

    Feb 10, 2018 07:25

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa kuadhimisha miaka 39 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyotokea mwaka 1979 kwa uongozi wenye busara wa Imam Ruhullah Khomeini; mapinduzi ambayo yalihitimisha utawala dhalimu na kibarala wa mfalme Shah. 11/02/2018

  • Ujumbe wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa Mwanadamu wa Leo

    Ujumbe wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa Mwanadamu wa Leo

    Feb 09, 2018 02:16

    Licha ya kupita miaka 39 sasa tangu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran lakini mapinduzi hayo na taathira zake kikanda na kimataifa yangali yanajadiliwa hadi sasa katika duru mbalimbali za kisiasa, vyuo vikuu na vyombo vya habari kote duniani.

  •  Kujiamini na ustawi wa kisayansi Iran

    Kujiamini na ustawi wa kisayansi Iran

    Feb 08, 2018 04:59

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji. Tuko katika siku hizi ambazo ni maarufu kama Alfajiri 10, ambazo ni siku za kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran mwaka 1979. Tumewaandalia makala kadhaa kwa munasaba huo na leo tutaangazia maendeleo na mafanikio makubwa ya watu wa Iran katika uga wa sayansi kutokana na kujiamini taifa hili la Kiislamu. Karibuni.

  • Domokaya na makelele ya Trump hayawezi kubadilisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Domokaya na makelele ya Trump hayawezi kubadilisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Feb 08, 2018 00:25

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amebainisha misimamo ya Tehran kuhusiana na matukio ya kieneo na kimataifa katika mkutano wake na waandishi wa habari wa ndani na wa nje na kusema kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kwamba, katu hakutoongezwa au kupunguzwa chochote katika makubaliano hayo.