-
Marekani na makabiliano ya daima dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 05, 2018 07:37Kipindi hiki kimejaribu kutupia jicho kwa ufupi uadui ambao umekuwa ukiendeshwa na Marekani dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran kwa karibu miaka 40 iliyopita.
-
"Fire and Fury", kitabu kilichowasha moto wa hasira za Trump
Feb 03, 2018 15:04Mwanzoni mwa mwezi wa Januari Michael Wolf, mwandishi wa Kimarekani alianza kusambaza kitabu ambacho kimeshika nafasi ya kwanza katika orodha ya vitabu vinavyouzwa kwa wingi zaidi katika mtandao wa Amazon.
-
Mapinduzi ya Kiislamu; miaka 39 ya kusimama kidete dhidi ya mfumo wa kibeberu
Feb 01, 2018 05:10Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingine ya kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Alfajiri Kumi, ambacho ni kipindi cha tangu kurejea Imam Khomeini kutoka uhamishoni hadi kupatikana ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
-
Mapinduzi ya Kiislamu katika mstari wa mbele wa kupinga uistikbari na kuunga mkono mapambano ya Kiislamu
Feb 01, 2018 04:42Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii maalumu niliyowaandalieni kwa munasaba wa siku hizi za maadhimisho ya kuingia katika mwaka wa 40 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya 1979. Katika makala hii ya leo tutaangazia kadhia ya 'Mapinduzi ya Kiislamu katika mstari wa mbele wa kupinga uiskitabiri wa kimataifa na kuunga mkono muqawama au mapambano ya Kiislamu.
-
Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Khomeini na Msingi wa Utawala wa Faqihi
Jan 31, 2018 05:17Alfajiri ya tarehe 12 Bahman 1357 Hijria Shamsia (11 Februari 1979) ilikuwa siku ya matarajio makubwa na kusibiri kwa hamu kulikoandamana na wasiwasi na hofu kubwa.
-
Makundi ya kitakfiri yahudumia malengo ya utawala wa Kizayuni
Jan 27, 2018 00:44Duru za habari zimefichua sura mpya na pana zaidi ya ushirikiano wa utawala wa Kizayuni wa Israel na makundi ya kitakfiri na kigaidi huko Syria na kutangaza kwamba, utawala huo umeunda kundi la kigaidi kwa ajili ya kuusaidia utawala huo katika maeneo unayoyakalia kwa mabavu ya Golan.
-
Kumbukumbu ya Kuzaliwa Bibi Zaynab al Kubra AS
Jan 23, 2018 04:43Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika kipindi hiki maalumu nilichokuandalieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku aliyozaliwa Bibi Zaynab al-Kubra (a.s) binti ya Imam Ali bin Abi Talib (a.s); mwanamke ambaye aliondokea kuwa mashuhuri kutokana na fadhila, elimu, subira na ushujaa mkubwa aliokuwa nayo.
-
Trump na kupamba moto tena ubaguzi nchini Marekani
Jan 20, 2018 07:42Rais Donald Trump wa Marekani siku chache zilizopita aliendeleza siasa za kuwapiga vita wahajiri na wageni nchini humo kwa kutoa matamshi machafu yaliyowakasirisha walimwengu na kuonesha tena dhati ya kibaguzi ya kiongozi huyo.
-
Homa ya mitindo na fasheni katika ulimwengu wa sasa
Jan 20, 2018 07:28Bila shaka wewe pia msomaji mpendwa, umeshawahi kukutana na watu wanaopendelea kuvaa mavazi ya aina makhsusi, au wanaotengeneza nywele zao kwa mtindo fulani wa aina yake, au wanaofanya harakati makhsusi katika mienendo na tabia zao.
-
Ushiriki wa Ulaya kwa ajili ya kuwarejesha makwao wahajiri wa Kiafrika
Jan 16, 2018 23:09Kuendelea hali mbaya na mazingira mabovu waliyonayo wahajiri huko nchini Libya, kumeufanya Umoja wa Ulaya utangaze azma yake ya kushirikiana na Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuwarejesha katika nchi zao wahajiri hususan wale walioko katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.