-
Kuungana makundi mawili yenye misimamo mikali huko Mali
Mar 04, 2017 22:48Makundi mawili kwa majina ya Ansaruddin na al Murabitun yameamua kuungana katika hatua mpya iliyochukuliwa na makundi yanayobeba silaha yenye makao yao huko Mali.
-
Kwa mnasaba wa kukumbuka siku aliyokufa shahidi Bibi Fatimatuz Zahra SA
Feb 28, 2017 07:56Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nasi katika kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku aliyokufa shahidi Bibi Fatima Zahra SA binti mtukufu wa Bwana Mtume SAW na mwanamke bora duniani na Akhera, mwanamke ambaye ni kigezo na ruwaza njema.
-
Hali mbaya ya wakimbizi katika bara la Afrika
Feb 22, 2017 00:36Hali ya maisha katika akthari ya nchi za Kiafrika, imesababisha kuongezeka idadi ya wakimbizi katika bara la Afrika. Hii ni katika hali ambayo, Mpango wa Chakula Duniani (WPF) umetahadharisha kuhusu matatizo ya chakula kwa wakimbizi wa bara hilo.
-
Jukwaa la White House; kiriri cha Netanyahu cha kutolea matamshi ya ghiliba
Feb 16, 2017 23:39Safari ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu, nchini Marekani na matamshi aliyotoa katika mazungumzo na rais wa nchi hiyo Donald Trump ni dhihirisho la ghilba na udanganyifu wa kiongozi huyo wa Kizayuni.
-
Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika Mtazamo wa Wanafikra wa Kimagharibi - 4
Feb 15, 2017 02:57Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran daima yamekuwa yakiwashughulisha waandishi na wanahistoria ya siasa ya dunia na kadiri miaka inavyosonga mbele ndivyo kiu ya kujua jinsi mapinduzi hayo yalivyotokea inavyokuwa kubwa zaidi na zaidi.
-
Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika Mtazamo wa Wanafikra wa Kimagharibi-3
Feb 15, 2017 02:42Moja kati ya matukio makubwa ya dunia ya sasa hususan katika karne moja iliyopita ni Mapinduzi ya Kiislamu ya wananchi wa Iran.
-
Kuendelea mgogoro wa Libya na uingiliaji wa kigeni ndani ya nchi hiyo
Feb 13, 2017 00:50Katika hali ambayo kwa mara ya kwanza António Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, ameshindwa kupasisha jina la Salam Fayyad Waziri Mkuu wa zamani wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kuwa mjumbe maalumu wa umoja huo katika masuala ya Libya, mgogoro wa nchi hiyo unaendelea kushtadi siku hadi siku huku Marekani ikiendelea kutoa pingamizi dhidi ya mwanasiasa huyo wa Palestina.
-
Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika Mtazamo wa Wanafikra wa Kimagharibi-1
Feb 09, 2017 06:31Makala hii maalumu inayokujieni kwa mnasaba wa siku hizi za maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran, inatupia jicho mitazamo ya wanafikra wa Kimagharibi kuhusu Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika Mtazamo wa Wanafikra wa Kimagharibi-2
Feb 09, 2017 05:12Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ambayo yalikuwa tukio la aina yake la kisiasa na kijamii na mapinduzi makubwa ya mwisho ya karne ya 20, yakuwa na taathira kubwa katika siasa za kimataifa na matukio ya kipindi hicho, jambo ambalo liliwashangaza wachambuzi wengi wa mambo.
-
Kushadidi anga ya ukandamizaji nchini Bahrain na njama za utawala wa Aal Khalifa
Feb 09, 2017 00:35Duru za haki za binadamu zimetangaza kuwa, Mahakama ya Rufaa ya Bahrain imetupilia mbali ombi la kuangalia upya hukumu ya kukivunja Chama cha al-Wifaq na kuzuia mali zake zote.