-
Yemen yamtahadharisha Trump/ Sana'a : Tunaunga mkono hatua za Iran katika Mlango Bahari wa Hormuz
Apr 29, 2026 10:00Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imetahadharisha kuhusu hatua zozote za uchokozi na ukatili za serikali ya Trump katika Ghuba ya Uajemi na kutangaza kuwa Sana'a inaunga mkono hatua za Iran katika Mlango wa Bahari wa Hormuz.
-
Kamanda wa Kikosi cha Quds cha IRGC asisistiza kuhusu uungaji mkono imara kwa Hizbullah
Apr 28, 2026 09:17Kamanda mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amekanusha vikali propaganda za Israel zinazolenga kupunguza nguvu za harakati ya Hizbullah, huku akisisitiza uungaji mkono kamili wa mhimili wa muqawama kwa harakati hiyo.
-
Rais wa Iraq amteua al-Zaidi kuwa Waziri Mkuu
Apr 28, 2026 09:15Rais wa Iraq, Nizar Amedi, ambaye amechaguliwa hivi karibuni, ametangaza rasmi kumteua Ali al Zaidi kuwa waziri mkuu mteule wa nchi hiyo na kumpa jukumu la kuunda serikali ijayo.
-
Mgogoro katika jeshi la Israel; Ongezeko kubwa la kujiua miongoni mwa jeshi la utawala wa Kizayuni
Apr 27, 2026 12:21Chombo cha habari cha Kizayuni kimeripoti ongezeko kubwa la idadi ya kujiua katika jeshi la utawala wa Kizayuni tangu mwanzoni mwa mwaka huu 2026.
-
Sultan wa Oman akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
Apr 26, 2026 11:29Sultan wa Oman Haitham bin Tariq amemkaribisha Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika Kasri la Al-Barakah mjini Muscat, mapema Jumapili.
-
Hamas yalaani mashambulizi ya Israel Gaza; yasema ni jinai kamili ya kivita
Apr 25, 2026 11:33Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na makundi mengine ya muqawama wa Palestina yamelaani vikali wimbi la sasa la mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Gaza na kuyataja kuwa ni "kuzidisha umwagaji damu na jinai kamili ya kivitaya Wazayuni."
-
Mwandishi wa Kiyahudi Mpinga Uzayuni: Netanyahu ni saratani
Apr 25, 2026 11:08Alon Mizrahi, mwandishi wa habari wa Kiyahudi anayepinga Uzayuni, ameandika katika ujumbe wake ulioashiria taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu uvimbe wa saratani wa Benjamin Netanyahu kwamba: “Je, saratani yenyewe inaweza kuwa na saratani?”
-
Aoun: Lengo la Israel katika kuwaua waandishi wa habari ni kuficha uhalifu wake
Apr 25, 2026 04:55Rais wa Lebanon ameeleza kusikitishwa kwake na mauaji ya mwandishi wa habari wa nchi hiyo na kujeruhiwa mwandishi mwingine wa habari katika shambulio la utawala wa Kizayuni wa Israel kusini mwa Lebanon, akitangaza kwamba lengo la uhalifu huu ni jitihada za utawala wa Israeli za kutaka kuficha uhalifu wake.
-
Hamas: Uhalifu Mpya Kaskazini mwa Gaza Unaonyesha Kutokuwa na Uwezo wa Bodi ya Amani
Apr 25, 2026 04:52Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kwamba mauaji ya kutisha yaliyofanywa na jeshi utawala vamizi la Israel huko kaskazini mwa Ukanda wa Gaza, ambayo yamewalenga moja kwa moja watoto, ni kielelezo kipya cha kuendelea vita vya mauaji ya kimbari na maangamizi ya kizazi katika maeneo mbalimbali ya Ukanda huo.
-
Onyo la Yemen: Hakuna atakayefungua Lango Bahari la Bab el Mandeb likifungwa
Apr 19, 2026 10:34Mwanachama wa ngazi ya juu wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen amemhimiza Rais wa Marekani Donald Trump kujiepusha na maamuzi ya uchochezi na kuheshimu haki za mataifa ya Kiislamu, akimwonya yeye pamoja na washirika wake kuhusu uwezekano wa kufungwa kwa Lango Bahari la Bab el Mandeb.