-
UN yaitaka Israel ikomeshe 'mfumo wa ubaguzi wa apathaidi' inaoendesha Ukingo wa Magharibi
Jan 08, 2026 03:05Umoja wa Mataifa kupitia Kamishna wake Mkuu wa Haki za Binadamu umesema, hatua za miongo kadhaa za Israel za kuwatenga na kuwabagua Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi inaoukalia kwa mabavu zinazidi kuongezeka, na kwa sababu hiyo umetoa wito wa kuutaka utawala huo ukomeshe "mfumo wake wa ubaguzi wa rangi wa apathaidi".
-
UAE yatuhumiwa tena na Saudia; mara hii ni kuwaunga mkono Wadruze ili kuigawanya Syria
Jan 08, 2026 03:03Televisheni ya CNN ya Marekani imeripoti kuwa, Saudi Arabia imetoa tuhuma zisizo za kawaida dhidi ya Muungano wa Falme za Kiarabu, Imarati huku kukiwa tayari kuna mvutano unaoongezeka kati ya mataifa hayo mawili ya Ghuba ya Uajemi, tuhuma ambazo zinahusu wasiwasi kuhusu namna UAE inavyojihusisha na masuala ya Syria.
-
Imarati inapanga kuijengea Israel kambi ya jeshi karibu na Saudi Arabia
Jan 07, 2026 10:13Vyombo vya habari vya Saudi Arabia vimefichua mpango wa Umoja wa Falme za Kiarabu wa kujenga kambi ya kijeshi ya Israel karibu na mpaka wa nchi hizi mbili za Kiarabu.
-
Waziri wa Ulinzi wa Pakistan: Netanyahu ni mtenda jinai anayechukiwa zaidi katika historia
Jan 07, 2026 07:37Waziri wa Ulinzi wa Pakistan amemtaja Waziri Mkuu wa Israel kuwa mtenda jinai anayechukiwa zaidi katika historia na kusema: "Uongo wa Benjamin Netanyahu dhidi ya miradi ya nyuklia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayoendeshwa kwa malengo ya amani ulikuwa kisingizio tu cha kuhalalisha mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran.
-
Wazayuni wamefanya mashambulizi 24,000 katika Ukingo wa Magharibi
Jan 07, 2026 02:56Ripoti ya kila mwaka ya shirika moja la Palestina imefichua kuwa, katika kipindi cha mwaka uliopita wa 2025, Wazayuni wamefanya karibu mashambulizi 24,000 katika eneo la Ukingo wa Magharibi la Mto Jordan huko Palestina.
-
Israel yafanya mashambulizi makubwa ya anga dhidi ya Lebanon
Jan 06, 2026 12:10Israel imefanya mfululizo wa mashambulizi ya anga katika maeneo yote ya kusini na mashariki mwa Lebanon, ikiendelea kukanyaga makubaliano ya kusitisha mapigano ambayo lengo lake ni kukomesha uchokozi wa Israeli dhidi ya uhuru wa kujitawala nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Kuondoka vikosi vya kigeni, suluhisho pekee la mgogoro wa Yemen
Jan 06, 2026 12:09Kiongozi mmoja mwandamizi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, kuendelea kuwepo wanajeshi vamizi ndani ya ardhi ya Yemen ni tatizo kuu la mgogoro wa nchi hiyo akisisitiza kwamba upatanishi wowote kutoka nchi jirani hausaidii, kwani wao wenyewe hao wapatanishi ndio wahusika wakuu wa mgogoro wa Yemen.
-
Hamas imerejesha nafasi yake kama mtawala wa Ukanda wa Ghaza
Jan 06, 2026 03:20Shirika la habari la Tasnim limevinukuu vyombo vya habari vya Israel vikitangaza kuwa, Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imerejesha udhibiti wake kama mtawala mwenye nguvu kwenye Ukanda wa Ghaza.
-
Saudia yaendelea kushambulia maeneo ya mamluki wa Imarati nchini Yemen
Jan 06, 2026 03:20Ndege za kivita za Saudi Arabia zimeendelea kufanya mashambulizi dhidi ya maeneo ya mamluki wa Imarati yakiwemo makao makuu ya mamluki hao huko mashariki mwa Yemen.
-
Hamas yailaani vikali Israel kwa kuendelea kukiuka usitishaji vita Gaza
Jan 05, 2026 07:58Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeilaani vikali Israel kwa kuendelea kukiuka makubaliano ya usitishaji mapigano katika Ukanda wa Gaza na kutahadharisha kuwa hatua kama hizo zinatishia kudhoofisha makubaliano hayo yanayolegalega.