-
Hali si hali, mamia ya wanajeshi wa Israel wakamatwa wakitoroka jeshini
May 06, 2025 11:01Wakati jeshi la utawala wa Kizayuni likikaribia kusambaratika kutokaana na uhaba wa wafanyakazi, wimbi la wanajeshi wa Israel wanaokwepa kuhudumu jeshini nalo linazidi kuongezeka hususan kutokana na hofu ya kutumwa kwenye kinamasi cha Ghaza.
-
Baada ya US na Israel kuishambulia kijeshi Yemen kwa pamoja, Ansarullah yasema: Tutajibu mapigo
May 06, 2025 06:15Ndege za kivita za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel usiku wa kuamkia leo zimeshambulia bandari ya Al Hudaydah magharibi mwa Yemen.
-
Wayemen wasambaratisha sekta ya utalii ya Israel
May 06, 2025 02:45Athari za tangazo la Jeshi la Yemen la kufunga anga ya Israel mpaka utawala wa Kizayuni utakapoacha kufanya jinai dhidi ya wananchi wa Ghaza zinaendelea kuitia hasara Israel na zimesambaratisha sekta ya utalii ya utawala wa Kizayuni.
-
Mbunge: Israel kamwe haitopata ushindi; Ghaza itakuwa huru
May 06, 2025 02:44Mbunge mmoja wa zamani wa Bunge la Ulaya, Bi Clare Daly ametoa ujumbe mzito wa kushikamana na Palestina wakati aliposhiriki kwenye Tamasha la Sobh la Kimataifa la Vyombo vya Habari hapa Tehran jana Jumatatu.
-
Yemen yashambulia Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion wa Israel kwa kombora la masafa marefu
May 05, 2025 10:46Jeshi la Yemen limeulenga Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion karibu na Tel Aviv baada ya majaribio kadhaa ya jeshi la Israel kulizuia kushindikana. Kombora hilo lilipenya na kukwepa ngao nne za ulinzi wa anga na kutua katikati ya Uwanja wa Ben Gurion Jumapili, huku mifumo ya Arrow na THAAD ikishindwa kulizuia kombora hilo la hali ya juu.
-
Yemen yatangaza mzingiro kamili wa anga dhidi ya Israel, itaendelea kulenga viwanja vya ndege
May 05, 2025 09:30Vikosi vya Ulinzi vya Yemen vimetangaza kuwa vitaweka mzingiro kamili wa anga dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuendelea kuvilenga mara kwa mara viwanja vya ndege vya utawala huo haramu.
-
Familia za mateka Wazayuni: Njia pekee ya kuwarejesha mateka ni kuipindua serikali ya Netanyahu
May 05, 2025 09:30Familia za mateka Wazayuni wanaoshikiliwa Ghaza zimesema, anachopigania waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni Benjamin Netanyahu ni kurefusha vita kwa malengo yake ya kisiasa, kwa hiyo njia pekee ya kuwarejesha mateka wao ni kuipindua serikali ya Netanyahu, na kwamba lengo hilo litafikiwa kwa wazayuni wote kumiminika mabarabarani.
-
Iran yakataa madai ya kuhusika katika operesheni za kulipiza kisasi za Yemen
May 05, 2025 06:29Iran imelaani vikali tuhuma za hivi karibuni zilizotolewa na maafisa wa Marekani na Israel kuhusu kuhusika kwake katika operesheni za kulipiza kisasi za Yemen, ikizitaja kuwa “hazina msingi” na “zinapotosha.”
-
Israeli inaiangamiza Gaza kwa njaa huku dunia ikinyamaza: Watoto 290,000 ‘katika hatari ya kifo’
May 05, 2025 06:26Karibu watoto 290,000 wa Kipalestina wako “katika hatari ya kifo” Gaza huku Israel ikiendelea kutumia njaa kama silaha ya vita, maafisa wa Palestina wanasema.
-
"Uvamizi wa Israel Syria hautayaacha salama mataifa ya Kiarabu, Kiislamu"
May 05, 2025 02:23Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imesema kuwa, uvamizi wa Israel dhidi ya Syria ni hujuma za dhidi ya mataifa yote ya Kiarabu na Kiislamu hususan Palestina, Lebanon na Syria, na kwamba maeneo mengine ya Kiarabu hayatakuwa salama kutokana na chokochoko hizo na matokeo yake.