-
Wapalestina wengine 22 wakiwemo watoto wauawa shahidi katika mashambulizi ya Israel Gaza
Sep 23, 2025 11:56Israel imefanya mashambulizi zaidi katika Ukanda wa Gaza, na kuwaua shahidi Wapalestina wengine kadhaa huku jamii ya kimataifa ikishindwa kukomesha mauaji ya kimbari yautawala huo yanayoungwa mkono na Marekani.
-
Jihadul-Islami: US na Magharibi hazitaki vita Ghaza vikomeshwe mpaka makundi yote ya Muqawama yaangamizwe
Sep 23, 2025 06:30Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina imesema, hakuna mapendekezo mapya ya kusitisha vita Ghaza ambayo yamepokelewa hadi sasa na kuongeza kuwa, Marekani na nchi za Magharibi hazitaki kukomesha vita hivyo hadi pale makundi yote ya Muqawama yanayoupinga utawala wa kizayuni wa Israel, -na si Palestina pekee- bali katika eneo lote, yatakapotokomezwa.
-
Serikali ya Israel yagawanyika kuhusu mjibizo wa kutoa kwa nchi za Magharibi zilizoitambua nchi ya Palestina
Sep 23, 2025 02:59Chaneli ya 12 ya televisheni ya utawala wa kizayuni wa Israel imeripoti kuwa, mizozo ndani ya baraza la mawaziri la utawala huo inazidi kuongezeka baada ya mawaziri muhimu kutojumuishwa katika mijadala nyeti kuhusu jinsi ya kutoa mjibizo dhidi ya hatua ya karibuni ya nchi za Magharibi ya kuitambua nchi ya Palestina.
-
Balozi wa Palestina Uingereza: Nchi ya Palestina ipo, imekuwepo siku zote na itaendelea kuwepo daima
Sep 22, 2025 12:47Balozi wa Palestina nchini Uingereza Husam Zomlot amesema, nchi ya Palestina ipo, imekuwepo siku zote na itaendelea kuwepo daima.
-
Kwa nini Tel Aviv inaogopa kutambuliwa rasmi nchi huru ya Palestina?
Sep 22, 2025 11:20Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limejiweka kwenye hali ya tahadhari kukabiliana na matukio yanayoweza kutokea baada ya baadhi ya nchi za Magharibi kuitambua rasmi nchi huru ya Palestina.
-
Hamas yaitaka jamii ya kimataifa na Umoja wa Mataifa kuitenga Israel
Sep 22, 2025 07:34Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, imekaribisha hatua ya kutambuliwa kwa taifa la Palestina na mataifa ya Uingereza, Australia na Kanada, ikieleza kuwa ni hatua muhimu katika kuthibitisha haki ya Wapalestina juu ya ardhi yao.
-
Baada ya kuachiliwa huru kwa huruma za HAMAS, gaidi Mmarekani ajigamba atarejea Ghaza kufanya mauaji zaidi
Sep 22, 2025 02:43Mateka wa zamani wa Israel raia wa Marekani ambaye HAMAS ilimuonea huruma na kumwachilia huru, amethibitisha kivitendo kuwa "Fadhila za punda ni mateke." Ametangaza kuwa anajiandaa kurejea Ghaza kwa sare za kijeshi za Israel kwenda kufanya mauaji zaidi ya kigaidi.
-
Afghanistan: Kambi ya Jeshi la Anga ya Bagram si kitu cha kujadiliwa
Sep 22, 2025 02:42Mkuu wa Majeshi ya kundi la Taliban nchini Afghanistan amesema: "Hatukubali mashinikizo ya Rais wa Marekani kuhusu kuutwaa tena Uwanja wa Ndege wa Bagram (ambao ulikuwa umegeuzwa kuwa kituo muhimu cha kikanda cha Washington kutokana na ukaribu wake na China).
-
Amnesty International imetaka Israel iwekewe vikwazo haraka iwezekanavyo
Sep 21, 2025 11:03Shirika la Amnesty International limeitaka jamii ya kimataifa kuiwekea Israel vikwazo haraka iwezekanavyo kutokana na vita na mauaji ya kimbari yanayoendelea kutekelezwa na utawala huo katika Ukanda wa Gaza.
-
Yemen: Tunao uwezo na njia za kutoa vipigo vikali kwa adui Mzayuni
Sep 21, 2025 10:23Waziri wa Ulinzi na Mkuu wa Majeshi ya Yemen wametahadharisha kuwa nchi hiyo ya Kiarabu ina uwezo na na njia za kutoa vipigo vikai na kuumiza sana kwa adui Mzayuni iwapo atathubutu kutenda kosa lolote.