-
Israel yavamia meli za Freedom Flotilla na kuwakamata washiriki 100
May 19, 2026 04:00Vyombo vya habari vimeripoti kwamba makomandoo wa jeshi la Wanamaji la Israel wamevamia msafara wa meli za misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ukanda wa Gaza "Global Sumud Flotilla," ambao ulianza safari Alhamisi iliyopita kutoka Uturuki kuelekea Ukanda wa Gaza.
-
Israel ilianzisha vipi vituo vya kijeshi nchini Iraq na madhara yake ni yapi?
May 18, 2026 16:13Gazeti la Marekani la New York Times limeandika katika ripoti yake kwamba, Israel imeanzisha vituo viwili vya kijeshi vya siri ndani ya ardhi ya Iraq kwa ajili ya kusaidia operesheni zake dhidi ya Iran.
-
Iraq yachora mstari mwekundu; yasema: Ardhi ya nchi hiyo haitatumika kufanya mashambulizi dhidi ya Iran au nchi jirani
May 18, 2026 04:33Iraq imetangaza wazi kuwa kamwe haitaruhusu ardhi yake itumike kwa ajili ya kufanya mashambulizi dhidi ya nchi jirani, hasa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
UN yatoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu unyanyasaji dhidi ya wafungwa katika magereza ya Israel
May 17, 2026 08:42Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa imelaani ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na Israel dhidi ya wafungwa wa Kipalestina, ikitaka kufanyike uchunguzi huru, usioegemea upande wowote na wa wazi kuhusu visa vyote vya vifo, mateso, unyanyasaji na ukiukaji mwingine, na kwa wale waliohusika kuwajibishwa.
-
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemeni: Ansarullah iko ‘bega kwa bega’ na Hizbullah dhidi ya Israel
May 17, 2026 02:39Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen amesema harakati ya muqawama ya nchi hiyo Ansarullah iko "bega kwa bega" na harakati ya mapambano ya Lebanon Hizbullah katika kukukabiliana na njama na uchokozi wa utawala ghasibu wa Israel.
-
Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Kuhusu "Siku ya Nakbat"; Uhalifu wa Israel ni jinai ya kivita
May 16, 2026 12:15Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza katika taarifa iliyotolewa kwa mnasaba wa tukio la "Siku ya Nakbat" kwamba uhalifu unaofanywa na Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina ni kielelezo halisi cha jinai za kivita, uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya kimbari, na kwa msingi huu, mahakama za kimataifa zinataka kuwaadhibu wahalifu wa Kizayuni.
-
Kwa nini UAE imekuwa na wasiwasi kuhusu kufichuliwa safari ya Netanyahu huko Abu Dhabi?
May 16, 2026 10:31Kufichuliwa kwa safari ya Netanyahu huko UAE wakati wa vita vya kichokozi vya Marekani na utawala haramu wa Israel dhidi ya Iran kumewafanya watawala wa UAE wawakasirikie sana wenzao wa utawala wa Kizayuni.
-
Hamas: Quds na Msikiti wa Al-Aqsa ndio utambulisho wa Palestina
May 16, 2026 02:13Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kwamba uvamizi wa walowezi wa Kizayuni na kufanya "maandamano ya bendera" huko Quds (Jerusalem) na Msikiti wa Al-Aqsa ni majaribio yaliyoshindwa ya kutaka kubadilisha utambulisho wa ardhi takatifu ya Palestina.
-
Nchi Washirika wa Marekani katika Ghuba ya Uajemi wagawanyika kuhusu vita vipya dhidi ya Iran
May 15, 2026 04:48Tathmini ya siri iliyofanywa na shirika la kijasusi la Marekani, CIA, imebaini kuwa washirika wa Marekani katika eneo la Ghuba ya Uajemi wamegawanyika kuhusu iwapo waunge mkono vita vipya dhidi ya Iran.
-
Wairani 24,000 wameingia Saudia kwa ajili ya ibada ya Hija
May 12, 2026 09:09Mkuu wa Shirika la Hija na Ziara la Iran amesema kuwa takribani Wairani 24,000 tayari wamewasili nchini Saudi Arabia kwa ajili ya ibada ya Hija mwaka huu, ambapo kati yao takribani 14,000 wako Makka, na zaidi ya 10,000 wapo Madina.