-
Ushindi kwa HAMAS: Mamia ya mateka wa Kipalestina waachiliwa huru
Oct 14, 2025 04:05Mamia ya mateka wa Kipalestina wameachiliwa huru kutoka jela za Israel siku ya Jumatatu chini ya awamu ya kwanza ya makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza. Katika uamuzi wa kushangaza jeshi la Israel limetoa onyo dhidi ya kusherehekea hadharani Wapalestina kuachiliwa huru ndugu zao.
-
Jeshi la Kizayuni lilichoma moto majengo na chakula kabla ya kukimbia Ghaza
Oct 14, 2025 02:28Tovuti ya Drop Site News, chombo cha habari cha uchunguzi kilichoko Washington kimefichua kuwa, jeshi la Israel lilichoma kinyama nyumba na vyakula kabla ya kukimbia Ukanda wa Ghaza na baadaye kusambaza picha za unyama huo kwa majivuno na kiburi kikubwa kwenye mitandao ya kijamii.
-
Islamabad: Operesheni ya Taliban dhidi ya Pakistan ilifanywa kwa uratibu na India
Oct 14, 2025 02:27Waziri wa habari wa Pakistan, amezungumzia mzozo wa mpaka wa nchi yake na Afghanistan, akidai kuwa operesheni hiyo ilifanywa kwa uratibu na India na kwamba shambulio hilo lilikuwa sehemu ya operesheni ya India inayojulikana kwa jina la Sindoor.
-
Kushindwa utawala wa kizayuni Ghaza; ushindi wa Muqawama katika medani ya vita na kwenye ulingo wa siasa
Oct 14, 2025 02:25Makundi ya Muqawama wa Palestina yanasisitiza kutekelezwa matakwa yao halali na ya wananchi wa Palestina katika makubaliano ya kusitisha mapigano.
-
Hamas yaonya; Israel inaendelea kuchuja orodha ya mateka
Oct 13, 2025 09:42Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas kuushutumu utawala ghasibu wa Israel kwa 'kutia mkono' orodha ya mateka wa Kipalestina, na kukwepa kutekelezwa masharti na vipengee vya makubaliano ya usitishaji vita Gaza, licha ya ahadi zake kwa wapatanishi wa kimataifa.
-
Hamas yawakabidhi kwa Msalaba Mwekundu huko Gaza mateka 7 wa kwanza wa Israel
Oct 13, 2025 06:40Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu (ICRC) limetangaza kukabidhiwa mateka saba wa kwanza wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
UNICEF: Watoto 56,000 wamebaki yatima Gaza kutokana na vita vya Israel
Oct 13, 2025 06:25Mfuko wa Kuhudumia Watoto Umoja wa Mataifa wa (UNICEF) umetangaza kuwa, watoto 56,000 katika Ukanda wa Gaza wamebaki mayatima baada ya kupoteza mzazi mmoja au wote wawili katika kipindi cha miaka miwili ya vita vya jeshi la Israel katika uukanda huo.
-
Ansarullah yaipa muda Israel kuhakikisha inatekeleza kikamilifu usitishaji vita Ghaza
Oct 13, 2025 02:27Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa harakati ya Ansarullah ya Yemen ameupa utawala wa Kizayuini muda maalumu wa kuhakikisha unaheshimu na kutekeleza makubaliano ya kusimamisha vita vinginevyo Yemen itaanzisha tena operesheni za kijeshi dhidi ya Israel.
-
Waziri wa Vita wa Israel: Tutaharibu mahandaki ya HAMAS baada ya kubadilishana mateka
Oct 13, 2025 02:27Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametangaza kuwa utawala huo dhalimu una mipango ya kuharibu mahandaki na njia za chini ya ardhi za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas huko Ghaza baada ya kuachiliwa huru mateka wa Kizayuni.
-
Utawala wa kizayuni wa Israel wafukuzwa katika mashindano ya Dunia ya Jimnastiki
Oct 12, 2025 12:09Ushiriki wa timu ya taifa ya utawala wa kizayuni wa Israel umefutwa katika mashindano ya Dunia ya Jimnastiki ya Jakarta Indonesia kulalamikia jinai za utawala huo ghasibu dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.