-
UNRWA yatahadharisha kuhusu njaa ya kupanga huko Gaza
Nov 24, 2025 15:02Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetahadharisha kuhusu hali mbaya ya njaa, kusitishwa huduma muhimu na tishio la maisha ya mamilioni ya wakimbizi wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza, likitaja ukosefu mkubwa wa rasilimali za kifedha na vikwazo vikubwa vya utawala wa Israel.
-
Israel yatenda jinai nyingine kwa kumuua shahidi kamanda wa Hizbullah
Nov 24, 2025 07:17Utawala vamizi wa Israel umetenda jinai nyingine kwa kumuua shahidi Haitham Ali Tabatabaei kamanda wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon.
-
Rais wa Uturuki: Amani haiwezi kupatikana bila kuundwa taifa la Palestina
Nov 24, 2025 07:14Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema kuwa, amani haiwezi kupatikana bila kuundwa taifa la Palestina.
-
Baada ya Israel kuwaua Wapalestina wengine 24 Ghaza, HAMAS yataka wapatanishi, hasa US iingilie kati
Nov 23, 2025 07:05Jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limefanya mashambulizi makali ya anga katika maeneo tofauti ya Ukanda wa Ghaza, na kuwaua shahidi Wapalestina wasiopungua 24, wakiwemo watoto, katika mwendelezo wa ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyofikiwa tangu wiki sita zilizopita kwenye eneo hilo la Palestina lililoteketezwa kwa vita.
-
Uozo ndani ya jamii ya Israel, wanawake 3,000 wadhalilishwa kijinsia jeshini
Nov 23, 2025 03:08Jumuiya ya Vituo vya Mgogoro wa Ubakaji ndani ya utawala wa Kizayuni imefichua katika ripoti yake ya kila mwaka kuweko ongezeko kubwa la ukatili wa kijinsia na jinsi serikali ya utawala huo inavyochuja mno na kufanya usiri mkubwa wa ukatili huo ndani ya taasisi zake za kiusalama.
-
Ripota wa UN: Mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon ni jinai za kivita
Nov 22, 2025 11:38Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa anayefuatilia mauaji ya kiholela amesema kuwa, mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya raia huko Lebanon ni mfano wa wazi wa jinai za kivita.
-
Israel yaendeleza jinai Ukingo wa Magharibi, yaua Mpalestina mwengine
Nov 22, 2025 11:37Jeshi katili la utawala wa Kizayuni limeendeleza jinai na mashambulizi yake dhidi ya Wapalestina kwa kumuua shahidi Mpalestina mwingine na kuwateka nyara wengine wawili na kutokomea nao kusikojulikana. Jinai hiyo imefanyika kwenye Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Madaktari Wasio na Mipaka: Zaidi ya Wapalestina 300 wameuawa shahidi tangu kusitishwa vita Gaza
Nov 22, 2025 07:16Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka limetangaza kuwa, utawala ghasibu wa Israel umewauwa shahidi Wapalestina zaidi ya 300 katika Ukanda wa Gaza tangu kufikiwa kwa usitishaji vita katika Ukanda huo.
-
The Guardian: Israel imetumia mabomu yaliyopigwa marufuku dhidi ya Lebanon
Nov 21, 2025 09:57Uchunguzi mpya uliofanywa na gazeti la Uingereza, The Guardian, umebaini kuwa Israel ilitumia mabomu yaliyopigwa marufuku wakati wa vita vyake vya hivi karibuni dhidi ya Lebanon.
-
Watoto wa Kipalestina katika jahanamu ya jela za Israel
Nov 21, 2025 08:57Jana, tarehe 20 Novemba, dunia iliadhimisha"Siku ya Watoto Duniani," huku hali ya mambo huko Palestina ikionyesha picha tofauti kabisa, ambapo watoto ndio wanaoongoza katika janga linaloendelea kulitesa eneo la Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Israel.