-
Israel imesambaratisha ardhi ya kilimo Gaza na kuibua mgogoro wa chakula
May 27, 2025 11:38Utawala katili wa Israel umetekeleza uharibifu mkubwa wa mashamba, vituo vya kilimo na visima vya maji Gaza hali ambayo inasukuma ukingoni mifumo ya chakula na kuwaweka hatarini kwa njaa raia wa eneo hilo linalokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
-
Je, kwa nini Israel haiwezi kuishinda Hamas?
May 27, 2025 02:56Madai ya maafisa wa baraza la mawaziri la Benjamin Netanyahu Wazir Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel kuhusu kushindwa Hamas yameibua utata katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu, ambapo wachambuzi wengi na maafisa wa utawala huo wa kizayuni wanayachukuliwa kuwa ni uongo na uzushi mtupu.
-
Waziri Mzayuni mwenye misimamo ya kufurutu ada aivunjia heshima Masjid al-Aqswa
May 27, 2025 02:55Itamar Ben-Gvir, Waziri wa usalama wa ndani wa utawala wa Kizayuni wa Israel mwenye misimamo ya kufurutu ada, kwa mara nyingine tena ameuvunjia heshima msikiti wa al-Aqswa.
-
Ansarullah: Tunaendelea kushikamana na njia ya shahid Sayyid Hassan Nasrullah
May 26, 2025 10:23Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetuma pongezi kwa Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon na wananchi wote wa nchi hiyo kwa mnasaba wa kukumbuka ushindi mkubwa wa Muqawama na kukombolewa eneo la kusini mwa Lebanon na kusisitizia wajibu wa kuendelezwa njia ya shahid wa Uislamu na ubinadamu Sayyid Hassan Nasrullah.
-
Kwa mara nyingine Hamas yashukuru uungaji mkono wa Yemen kwa Ghaza
May 26, 2025 10:22Baada ya vikosi vya Muqawama vya Yemen kufanya shambulio jingine la kombora na kupiga maeneo nyeti na muhhimu ya utawala wa Kizayuni mapema leo, Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imewashukuru wananchi wa Yemen kwa kuendelea kuwa pamoja na Ghaza na kutoiacha mkono kwa hali yoyote ile.
-
Baba wa watoto tisa waliouawa katika shambulio la anga la Israel huko Gaza anapigania uhai wake
May 26, 2025 06:13Daktari wa Kipalestina, Hamdi al-Najjar, ambaye alipoteza watoto wake tisa kati ya kumi katika shambulio la anga la Israel huko Gaza, yuko katika hali mahututi, kulingana na taarifa kutoka hospitali inayomtibu.
-
Hizbullah: Trump amenasa kwenye minyororo ya Israel, anapasa kujikomboa
May 26, 2025 02:50Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon ya Hizbullah, Sheikh Naim Qassem amesema kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump anapasa kujikomboa kutoka katika "mikono ya Israel ikiwa anataka kufikia malengo yake."
-
Jeshi la Yemen lavurumisha kombora 'Israel', uwanja wa ndege wa Ben Gurion wafungwa
May 25, 2025 11:29Vikosi vya Jeshi la Yemen vimefanya shambulio jipya la kombora dhidi ya maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel, hatua iliyosababisha kusitishwa kwa safari za ndege katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ben Gurion jijini Tel Aviv na kusababisha ving’ora vya tahadhari kupigwa katika miji na makazi ya walowezi wa Kizayuni.
-
Hamas: Shambulio la Israel lililoua watoto tisa wa daktari Gaza ni “ukatili wa kuogofya”
May 25, 2025 11:09Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imelaani shambulio la anga la jeshi katili la Israel lililolenga nyumba ya daktari wa Kipalestina, Alaa Al-Najjar, na kusababisha vifo vya watoto wake tisa kati ya kumi, ikilitaja tukio hilo kuwa “mauaji ya kutisha na ya kinyama.”
-
Muqawama walaani matamshi ya mbunge wa US anayetaka Gaza ipigwe mabomu ya nyuklia
May 25, 2025 07:10Makundi ya Muqawama ya Palestina ya Hamas na Jihadul Islami yamemlaani vikali mbunge wa chama cha Republican nchini Marekani, Randy Fine kutokana na matamshi yake ya kutaka kufanyika shambulio la nyuklia katika Ukanda wa Gaza.