-
Sheikh Naim Qassim: Hizbullah imefelisha mpango wa ‘Israel Kubwa’ na kuzuia upanuzi wake ndani ya Lebanon
Aug 29, 2026 10:43Wanamapambano wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon wamefanikiwa kuzima njama iliyopewa jina la "Israel Kubwa" na kuzuia upanuzi wa Israel hadi Lebanon. Haya yamesemwa na Katibu Mkuu wa harakati hiyo ya Lebanon.
-
Saudia yashikilia msimamo wake: Hatutoanzisha uhusiano na Israel kabla ya kuasisiwa kwanza nchi huru ya Palestina
Aug 28, 2026 03:24Saudi Arabia imesisitiza kwamba haitaanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala wa kizayuni wa Israel bila ya kuasisiwa kwanza nchi huru ya Palestina katika eneo la mipaka ya mwaka 1967, na Baitul Muqaddas Mashariki ukiwa ndio mji mkuu wake.
-
Israel inanyakua maelfu ya ekari za ardhi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi
Aug 27, 2026 11:52Mamlaka za utawala wa Kizayuni wa Israel zimetwaa maelfu ya ekari za ardhi ya Wapalestina katikati mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu ili kujenga kile kinachoitwa "njia ya usalama" kuzunguka vitongoji haramu vya Wazayuni kinyume cha sheria za kimataifa na maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Amani ya Kudumu Katika Eneo Itapatikana tu Pale Utawala wa Kizayuni Utakapopokonywa Silaha za Nyuklia
Aug 27, 2026 06:12Madamu silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni wa Israel, ambao ndio utawala pekee unaomiliki silaha za nyuklia katika Asia Magharibi, zitaendelea kufunikwa na utata wa makusudi wa utawala huo pamoja na kimya cha kimataifa, mjadala wowote kuhusu upokonyaji silaha katika eneo hautakuwa na maana na utaendelea kuwa ni unafiki mtupu.
-
Watoto wachanga 14 wafariki katika ajali ya moto iliyotokea hospitalini Pakistan
Aug 26, 2026 11:15Watoto wachanga wasiopungua14 wamefariki dunia katika moto uliozuka kwenye chumba cha watoto cha hospitali ya serikali katika mji mkuu wa Pakistan, Islamabad, huku Waziri Mkuu Shehbaz Sharif akitangaza kuwa ameshaamuru uchunguzi ufanyike kuhusu ajali hiyo.
-
Baada ya miaka 25, Misri yamtambulisha tena mtoto Muhammad al-Durra kwenye mtaala wa somo la historia
Aug 26, 2026 11:13Miaka 25 baada ya tukio lililoishtua na kuitikisa dunia, picha ya mtoto wa miaka 12 wa Kipalestina Muhammad al-Durra aliyeuliwa kinyama na hadharani na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel imehama kutoka kwenye skrini za televisheni hadi kwenye kurasa za kitabu cha kiada cha Misri, katika somo linaloangazia Intifadha ya Pili ya Wapalestina ya mwaka 2000.
-
Je, Vita vya Marekani Dhidi ya Iran Vimesababisha Vipi Nakisi ya Bajeti katika Uchumi wa Qatar?
Aug 26, 2026 06:52Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limeripoti kupungua kwa takriban asilimia 9 ya uchumi wa Qatar, ambapo baadhi ya wachambuzi wanakadiria kuwa uchumi wa nchi hiyo utapungua kwa asilimia 13 hadi 14 kufikia mwishoni mwa mwaka huu.
-
Pakistan yaripoti 'maendeleo makubwa' katika mazungumzo ya Tehran ili kupunguza mvutano kati ya Marekani na Iran
Aug 25, 2026 10:18Pakistan imeripoti "maendeleo makubwa" katika mazungumzo ya kidiplomasia ya ngazi ya juu yaliyofanyika Tehran, yenye lengo la kupunguza kasi ya vita vinavyoendelea kati ya Marekani na Iran na kuokoa Mkataba wa Maelewano wa Islamabad (MoU), unaosimamiwa na Pakistan.
-
Ripota Maalumu wa UN atoa wito wa kupelekwa haraka kikosi cha kimataifa cha kulinda Wapalestina Ukingo wa Magharibi na Gaza
Aug 24, 2026 13:34Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu katika Maeneo Yanayokaliwa kwa ya Palestina, Francesca Albanese, ametoa wito wa kupelekwa haraka kikosi cha kimataifa cha kuwalinda Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Ukanda wa Gaza.
-
Kamanda Qaani: Palestina ni fikra iliyo hai na isiyobadilika
Aug 24, 2026 06:08Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amesema: "Suala la kukomboa Palestina, kuanzia baharini hadi mtoni, (ardhi ya Palestina kuanzia Bahari ya Mediterania hadi Mto Jordan) liko hai zaidi na linawezekana kutimizwa sasa kuliko hapo awali."