-
CPJ yalaani utekaji wa mwandishi wa Press TV na utawala wa Kizayuni, yadai aachiwe huru mara moja
Sep 19, 2026 11:47Kamati ya Kimataifa ya Kulinda Wanahabari (CPJ) imelaani vikali kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel kumteka mwandishi wa habari wa Press TV, Bi. Naqaa Hamed, na imedai aachiwe huru mara moja.
-
Ripoti: Syria yakataa ombi la Saudia la kutuma mamluki dhidi ya vikosi vya Yemen
Sep 19, 2026 11:44Inaripotiwa kuwa kundi la Hay’at Tahrir al-Sham (HTS) linalotawala baadhi ya maeneo nchini Syria, limekataa ombi rasmi kutoka kwa utawala wa Saudia la kupanga na kuwapeleka mamluki na wanamgambo wa Kisyria nchini Yemen ili kupambana na Jeshi la Yemen, ambalo limekuwa likitoa vipigo vikali vya kijeshi dhidi ya mamluki wanaoungwa mkono na Saudia.
-
Saudia yakimbilia Oman kuomba kusimamishwa vita Yemen
Sep 18, 2026 10:38Baada ya kuanzisha vita vya miaka mingi kwa lengo la kuiteka Yemen, sasa hali ni ngumu sana kwa Saudi Arabia kiasi kwamba imefikia hatua ya kuomba msaada wa Oman iingilie kati ili kusimamisha mashambulizi ya Ansarullah na Jeshi la Yemen.
-
Al-Houthi: Madai ya Saudia kuwa Yemen imelenga Makkah ni “uongo wa kuchukiza,” na kashfa ya wazi
Sep 18, 2026 03:46Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, Sayyid Abdul-Malik al-Houthi, amelaani vikali madai ya Saudi Arabia kuwa vikosi vya Yemen vimelenga mji mtakatifu wa Makkah, akifutilia mbali madai hayo kama “uongo mkubwa, mbaya, na wa kuchukiza” unaolenga kuhalalisha vita vya Saudia dhidi ya Yemen.
-
Wanamgambo wa HTS wauawa Syria huku maandamano ya kupinga hali ngumu ya maisha yakisambaa
Sep 17, 2026 11:41Takriban wanamgambo watatu wanaofungamana na utawala unaotawala wa kundi la Hay’at Tahrir al-Sham (HTS) nchini Syria wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa, kufuatia mapigano makali yaliyozuka kati ya vikosi hivyo na wapiganaji wa kundi la wenyeji katika mkoa wa kusini-magharibi wa Dara’a.
-
Mufti Mkuu wa Libya: Saudi Arabia iko vitani Yemen kwa niaba ya Marekani
Sep 17, 2026 10:52Mufti Mkuu wa Libya, Sheikh Sadiq al-Ghariani, amezungumzia matukio ya hivi karibuni nchini Yemen, akisema kuwa Saudi Arabia iko vitani nchini humo kwa niaba ya Marekani.
-
Je, Mpango wa "Kuifanya Yemen kama Syria" Ulifeli Vipi?
Sep 17, 2026 05:45Vyanzo vya habari mjini Sana'a, mji mkuu wa Yemen, vimeripoti kuhusu njama kubwa ya kuifanya Yemen ikabiliwe na hali ya machafuko kama ile ya Syria, mpango ambao hatimaye umefeli licha ya kushirikishwa makundi ya kitakfiri yanayohusishwa na utawala wa muda wa Al-Julani.
-
Ansarullah: Tuhuma ya kuishambulia Makka ni 'uongo mkubwa' wa Saudia; Wayemen ndio watetezi wa kweli wa maeneo matakatifu
Sep 17, 2026 03:26Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya wananchi wa Yemen, Ansarullah, imesisitiza tena msimamo wa serikali ya Sana'a wa kukanusha vikali madai ya Saudi Arabia kwamba Jeshi la Yemen linatishia kuyashambulia maeneo matakatifu katika mji wa Makka nchini Saudia.
-
Mshauri wa Rais wa Imarati: Marekani haina mwamana; Saudia ni jangwa tupu
Sep 16, 2026 12:04Mshauri wa Rais wa Muungano wa Falme za Kiarabu ametoa matamshi makali dhidi ya Saudi Arabia na Marekani na kusema kuwa, asilimia 90 ya ardhi ya Saudia ni jangwa tupu na kwa upande wa Marekani ni dola lisilo na mwamana na wala huwezi kulitegemea
-
Umoja wa Mataifa wataka wakaguzi wa kimataifa waruhusiwe kufika maeneo yote ya Gaza
Sep 16, 2026 02:55Umoja wa Mataifa umeashiria kugunduliwa mamia ya miili chini ya vifusi katika Ukanda wa Gaza na kutoa wito wakaguzi wa kimataifa waruhusiwe kuingia na kufika katika maeneo yote ya ukanda huo ili kukusanya ushahidi na kuchunguza uwezekano wa kutendeka uhalifu wa kivita.