-
Picha ya NASA yaonyesha athari za shambulio la Iran kwenye kiwanda kikubwa zaidi cha kusafisha gesi duniani
Mar 19, 2026 11:27Picha za setilaiti za NASA zinaonyesha moto mkubwa uliotokea katika kituo kikubwa zaidi cha kuzalisha gesi duniani huko Qatar.
-
Hamas na Jihad Islami zalaani mauaji ya mkuu wa baraza la usalama wa taifa la Iran
Mar 19, 2026 08:59Harakati za Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) Palestina zimelaani mauaji ya afisa mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, na kuahidi kuendeleza njia na msimamo wake.
-
Afghanistan yaituhumu Pakistan kwamba imeua watu 400 hospitalini Kabul
Mar 17, 2026 11:47Afghanistan imelituhumu jeshi la Pakistan kwamba limeua mamia ya watu katika shambulio la anga dhidi ya hospitali moja mjini Kabul.
-
Shambulio Lailenga Rada na Mfumo wa Ulinzi wa Anga wa Ubalozi wa Marekani Baghdad
Mar 14, 2026 07:52Baada ya ubalozi wa Marekani mjini Baghdad nchini Iraq kulengwa kwa shambulio, vyanzo vya habari vimeripoti kuharibiwa kwa mfumo wa ulinzi wa anga wa ubalozi huo.
-
Brigedi za al Qassam zapongeza mashambulizi ya Iran katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu katika Siku ya Kimataifa ya Quds
Mar 14, 2026 07:29Brigedi za Shahidi Izzuddin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) zimepongeza mashambulizi yaliyofanywa na Iran katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) katika kujibu mashambulizi ya kichokozi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Naim Qassim: Tumejiandaa kwa ajili ya mapambano ya muda mrefu/donda la saratani linavuruga amani Asia Magharibi
Mar 14, 2026 07:03Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon ametangaza kuwa, harakati hiyo imejiandaa kwa ajili ya mapambano ya muda mrefu.
-
Ndege ya kujaza mafuta ya Jeshi la Marekani imetunguliwa nchini Iraq
Mar 13, 2026 07:10Makao Makuu ya Kamandi ya Kati ya Marekani (CENTCOM) yametangaza ‘kuanguka’ kwa ndege yao ya kijeshi ya kujaza mafuta angani katika eneo la magharibi mwa Iraq, na kutaja tukio hilo kuwa eti ni “ajali”. Hatahivyo Harakati ya Muqawama au Mapambano ya Kiislamu nchini Iraq imetangaza rasmi kutungua ndege hiyo ya jeshi la kigaidi la Marekani.
-
Waisraeli 2,700 wajeruhiwa katika mashambulizi ya kisasi ya Iran
Mar 13, 2026 06:43Ripoti ya Wizara ya Afya ya utawala wa Kizayuni wa Israel imesema Waisraeli zaidi ya 2,700 wamejeruhiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yaliyoanza Februari 28.
-
Mufti wa Oman apongeza kuchaguliwa kwa Kiongozi Mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran
Mar 13, 2026 06:34Sheikh Ahmed bin Hamad Al Khalili, Mufti Mkuu wa Oman, ametoa pongezi zake kufuatia kuchaguliwa kwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kuwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
-
Hizbullah yatwanga ngome za Israel kwa makombora na droni
Mar 12, 2026 08:15Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa mapema leo ikisema kwamba imeshambulia ngome za utawala haramu wa Israel kaskazini na katikati mwa ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel).