-
Ghaza yafanya maziko makubwa zaidi ya halaiki ya Wapalestina 112 waliouliwa kikatili na Israel
Aug 05, 2026 03:04Wapalestina wamewazika watu 112 wa ukoo mmoja waliouawa katika mashambulizi ya kinyama ya anga yaliyofanywa na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel mnamo Novemba 2023, baada ya mabaki yao kupatikana kutoka chini ya vifusi mwezi uliopita.
-
Vikosi vya Yemen vyashambulia shabaha muhimu ndani ya Uwanja wa Ndege wa Najran, Saudi Arabia
Aug 05, 2026 02:55Jeshi la Yemen limekishambulia kituo cha kimkakati ndani ya uwanja wa ndege wa Najran kusini mwa Saudi Arabia, ikiwa ni jibu kwa mashambulizi na mzingiro unaoendelea kufanywa na utawala wa Riyadh dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
ElBaradei kwa Netanyahu: Umeiharibu Gaza, sasa unazungumzia "uhuru" wa watu wake!
Aug 05, 2026 02:53Mkurugenzi wa zamani wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) Mohamed ElBaradei, amemhutubu Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu akisema: "Umeiharibu Gaza, na sasa unazungumzia uhuru wa watu wake!"
-
Mkuu wa Aramco: Kufungwa Lango-Bahari la Hormuz kumesababisha ‘mshtuko mkubwa kwa usambazaji wa mafuta katika historia’
Aug 05, 2026 02:51Mkurugenzi wa kampuni kubwa ya mafuta ya Saudi Arabia ya Aramco ameeleza kuwa kufungwa Lango-Bahari la Hormuz kumesababisha "mshtuko mkubwa zaidi wa usambazaji wa mafuta katika historia," na kwamba masoko ya dunia yamepoteza mapipa ya mafuta zaidi ya bilioni 2.6 tangu kuanza kutekelezwa hatua hiyo.
-
Sheikh Naim Qassim: Mazungumzo ya moja kwa moja ya Lebanon na Israel hayana tija yoyote isipokuwa aibu na fedheha
Aug 04, 2026 10:28Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Lebanon na Israel hayajakuwa na matokeo yoyote isipokuwa aibu na fedheha.
-
Afisa wa Ansarullah: Kauli za Trump kuhusu amani zimetokana na hofu ya nguvu za Iran
Aug 04, 2026 03:04Afisa mwandamizi wa Ansarullah amesema kuwa matamshi ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu amani yanaonyesha wasiwasi wa Marekani juu ya uwezo wa ulinzi wa Iran.
-
Kwa nini shambulio la Saudi Arabia na Marekani dhidi ya Hashd al-Shaabi ni ukiukaji wa wazi wa mamlaka ya kujitawala ya Iraq?
Aug 03, 2026 11:09Kikosi cha Hashd al-Shaabi cha Iraq kilitangaza siku chache zilizopita kuwa watu wasiopungua 20 waliuawa na wengine 32 kujeruhiwa katika shambulio la pamoja la kichokozi lililofanywa na Marekani na Saudi Arabia dhidi ya Iraq mapema Jumatano iliyopita.
-
Muqawama wa Palestina watoa onyo baada ya mashambulizi mabaya zaidi ya Israel tangu kusitisha mapigano
Aug 03, 2026 10:10Makundi ya Muqawama ya Palestina yametoa onyo kali baada ya mashambulizi mabaya zaidi ya anga ya Israel tangu kusitisha mapigano Oktoba 2025, yakisema mashambulizi hayo yasiyokoma ni hujuma ya makusudi dhidi ya makubaliano ya kusitisha mapigano na ujumbe kwamba Israel haina nia ya kutimiza majukumu yake.
-
Kiongozi mkuu wa kidini wa Bahrain alaani mataifa ya Kiarabu kwa kutumikia ajenda za Marekani na Israel
Aug 03, 2026 10:08Ayatullah Sheikh Isa Qassim, kiongozi wa jamii ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Bahrain, amezilaani nchi za Kiarabu na Kiislamu za kanda ya Magharibi mwa Asia kwa kuchangia katika njama za Marekani na Israel za kuimarisha migawanyiko katika eneo hilo.
-
Malengo ya Julani katika kuanzisha uadui dhidi ya kundi la Hashd al-Shaabi la Iraq
Aug 03, 2026 08:39Abu Mohammad al-Julani, mtawala wa serikali ya mpito ya Syria, amedai katika matamshi tatanishi kuwa ana wasiwasi kuhusu uwepo wa makundi ya wanamgambo wa Iraq na vikosi vya Hashd al-Shaabi katika maeneo ya mpaka wa nchi hiyo na Iraq.