-
Ripoti: Riyadh inatathmini mazungumzo ya Syria, Israel kama utangulizi wa kuanzisha uhusiano na Tel Aviv
Jul 09, 2025 12:53Imedokezwa kuwa, Saudi Arabia inafuatilia mazungumzo yanayoongozwa na Marekani kati ya Israel na Syria kama hatua tarajiwa ya kufikia makubaliano ya baadaye ya kuanzisha uhusiano kati ya Riyadh na utawala wa Israel.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na Mrithi wa Ufalme wa Saudia, Bin Salman
Jul 09, 2025 11:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amekutana na kufanya mazungumzo na maafisa wa ngazi ya juu wa Saudi Arabia ambapo mazungumzo hayo yalihusu masuala mbalimbali yakiwemo uimarishaji wa usalama na utulivu katika eneo la Asia ya Magharibi.
-
‘Ndoto ya Ushindi’: Mwanahabari wa Israel afichua walivyolazmishwa kubana habari za vipigo vya Iran
Jul 09, 2025 10:56Mwandishi maarufu wa habari na mchambuzi wa siasa wa Israel amefichua kiwango kikubwa cha ubanaji wa habari uliofanywa na utawala wa Tel Aviv katika vita ya siku 12 vya uchokozi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Sababu za kufeli duru ya tano ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Hamas na Israel
Jul 09, 2025 10:31Duru ya tano ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Hamas nchini Qatar kuhusiana na mapatano ya kusitisha vita huko Gaza na kubadilishana mateka, imemalizika bila mafanikio ya maana.
-
Mahakama ya ICC yatoa vibali vya kukamatwa viongozi wa kundi la Taliban
Jul 09, 2025 00:09Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imetoa hati za kutiwa mbaroni viongozi wawili wakuu wa kundi la wanamgambo wa Taliban, ikiwatuhumu kuwatesa wanawake na wasichana nchini Afghanistan.
-
Kwa nini njama za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina zimeshindwa licha ya kuzingirwa Gaza?
Jul 08, 2025 23:05Licha ya kuendelea mzingiro wa Gaza na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Palestina, lakini makundi ya muqawama ya Palestina yanaendelea kusimama kidete na kukabiliana na njama za Wazayuni.
-
Jeshi la Israel lakiri askari wake 5 wameangamizwa, 14 wamejeruhiwa Ghaza
Jul 08, 2025 08:52Jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limetangaza kuwa askari wake watano wameuawa na wengine 14 wamejeruhiwa katika mapigano kaskazini mwa Ukanda wa Ghaza.
-
Askari wa Israel aliyekuwa vitani Ghaza na Lebanon ajiua ndani ya gari lake
Jul 07, 2025 15:34Tovuti ya Kiebrania ya Walla imeripoti kuwa, mwanajeshi wa utawala wa Kizayuni Israel, Daniel Edri, amejiua kwa kujichoma moto ndani ya gari lake kwenye msitu karibu na eneo la Safed, kutokana na msongo mkali wa mawazo baada ya kuhudumu kwenye vita vya kinyama vya utawala huo dhidi ya Ghaza na Lebanon.
-
Umoja wa Mataifa waonya juu ya mgogoro wa njaa Gaza; misaada inaendelea kuzuiwa
Jul 07, 2025 08:31Ofisi ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imeonya kwamba, mfumo wa chakula wa Gaza uko kwenye ukingo wa kuporomoka kabisa, huku hatua ya kuzuiwa msaada wa kibinadamu kuingia katika eneo hilo kukitishia maisha zaidi.
-
Hamas yakaribisha mwito wa BRICS wa kuondoka vikosi vya Israel huko Palestina
Jul 07, 2025 07:20Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imekaribisha kwa mikono miwili wito wa kundi la nchi zinazoinukia kiuchumi BRICS kwa utawala haramu wa Israel, wa kukomesha vita vyake vya mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, na kuondokaa kikamilifu katika eneo hilo la pwani lililozingirwa, na ardhi zote za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.