-
Israel imeua takriban wanafunzi 13,000 huko Gaza, Ukingo wa Magharibi tangu Oktoba 2023
Dec 17, 2024 23:29Takriban wanafunzi 13,000 wameuawa katika mashambulizi ya jeshi la Israel katika Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi tangu utawala huo ulipoanzisha kampeni yake ya mauaji ya kimbari na uharibifu katika ardhi ya Palestina zaidi ya miezi 14 iliyopita.
-
Ukwamishaji mambo wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mchakato wa mazungumzo ya amani Asia Magharibi
Dec 17, 2024 23:11Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameliambia gazeti moja la Italia kwamba tatizo la Palestina si Jamhuri ya Kiislamu ya Iran bali ni utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mgogoro wa uraibu wa dawa za kulevya na pombe wawazonga vijana wa Israel
Dec 17, 2024 07:47Uraibu wa pombe, dawa za kulevya na kutoroka shule ni sehemu ndogo tu ya matatizo makubwa ambayo yamezidi kuwaandamana vijana wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika siku za hivi karibuni, hususan baada ya operesheni ya Kimbunga cha al Aqsa na kuanza vita vya Ghaza.
-
Baada ya Yemen kuitwanga Tel Aviv kwa kombora la 'hypersonic, US na UK zashambulia San'aa
Dec 17, 2024 03:46Siku moja baada ya vikosi vya ulinzi vya Yemen kushambulia mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Tel Aviv kwa kombora la 'hypersonic, la Palestina 2 ndege za kivita za Marekani na Uingereza zimeshambulia maeneo kadhaa ya mji mkuu wa Yemen, Sana'a.
-
Kiongozi wa Tahrir al-Sham: Hatutaruhusu Syria itumike kufanyia mashambulio dhidi ya Israel
Dec 17, 2024 02:35Kiongozi wa kundi la wanamgambo wa Hay'at Tahrir al-Sham (HTS), ambalo liliiondoa madarakani serikali ya Syria mapema mwezi huu huku kukiwa na taarifa zilizoenea za kuungwa mkono kundi hilo na mataifa ya Magharibi na Israel, amesema hataruhusu ardhi ya Syria itumike kufanyia mashambulizi dhidi ya Israel.
-
Jeshi la Kizayuni lamuua Babu mtu wa Kipalestina aliyegusa nyoyo za walimwengu mitandaoni
Dec 17, 2024 02:35Shambulio la kinyama la makombora lililofanywa na jeshi la Kizayauni katika Ukanda wa Ghaza limemuua Khaled Nabhan, Mpalestina ambaye amefahamika sana kwenye mitandao ya kijamii kutokana na video iliyomuonyesha akibusu macho ya mjukuu wake aliyeuliwa na kumwita "roho ya roho yangu".
-
Harakati ya Ukombozi ya Wananchi wa Palestina: Mashambulizi ya Mamlaka ya Ndani dhidi ya Muqawama ni kuvuka mstari mwekundu
Dec 16, 2024 23:56Harakati ya Wananchi kwa ajili ya Ukombozi wa Palestina (PFLP) imetangaza kuwa mashambulizi ya vikosi vya Mamlaka ya Ndani ya Palestina dhidi ya wanamapambano wa Kipalestina katika mji wa Jenin ni kuvuka mstari mwekundu.
-
Nchi za Kiarabu zalaani mpango wa Israel wa kujenga vitongoji katika ardhi ya Syria
Dec 16, 2024 23:25Nchi kadhaa za Kiarabu zimelaani mradi mpya wenye utata wa utawala haramu wa Israel wa kupanua vitongoji vyake haramu vya walowezi katika Miinuko ya Golan inayokaliwa kwa mabavu, zikieleza uungaji mkono wao kwa kulindwa mamlaka ya kujitawala Syria katika eneo hilo la milima.
-
Israel yafanya mashambulizi mengine makubwa ya anga dhidi ya Syria, yatumia kombora jipya
Dec 16, 2024 08:01Utawala wa Kizayuni wa Israel unaendeleza mashambulizi yake makali dhidi ya maeneo mbalimbali ya Syria huku wanamgambo wanaoungwa mkono na nchi za Magharibi wakiwa wameipindua serikali ya nchi hiyo.
-
Wakurdi wa Syria wana wasiwasi wa kutokea Syria yaliyotokea Libya
Dec 16, 2024 08:00Msemaji wa kundi la SDF ambalo ni la Wakurdi wa Syria wanaoungwa mkono na Marekani amesema kuwa, wana wasiwasi wa kugeuka Syria kuwa Libya ya pili baada ya kuangushwa utawala wa Bashar al Assad.