-
Netanyahu aburuzwa tena mahakamani leo Jumatatu
Dec 16, 2024 07:51Duru mbalimbali za habari zikiwemo za Kizayuni zimeripoti kwamba, waziri mkuu wa Israel ambaye ni maarufu kwa jina la nduli wa Ghaza, ameburuzwa tena mahakamani leo Jumatatu kujibu shutuma za ufisadi na jinai zinazomuandamana yeye na familia yake.
-
Hamas: Taasisi za kimataifa zisaidie kufikisha misaada ya kitiba Ukanda wa Gaza
Dec 16, 2024 03:46Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeziomba taasisi za kimataifa zitume misaada ya kitiba na kitabibu kwa ajili ya wakazi wa Ukanda wa Gaza.
-
Yemen: Marekani inatushambulia kwa sababu ya uungaji mkono wetu kwa wananchi wa Ghaza
Dec 15, 2024 23:12Mkuu wa Kamati ya Taifa ya Masuala ya Mateka wa serikali ya Yemen amesema kuwa, mashambulizi na tuhuma zinazotolewa na Marekani dhidi ya San'an kuhusu haki za binadamu ni muendelezo wa chuki za mabeberu dhidi ya Yemen kutokana na uungaji mkono wake usiotetereka wa wananchi wa Palestina hasa wa Ghaza.
-
Israel yashambulia magari 40 ya wagonjwa Ukanda wa Ghaza
Dec 15, 2024 23:10Taasisi ya Ulinzi wa Raia ya Ghaza imetangaza kuwa jeshi la Israel limeshambulia na kuharibu magari 40 ya kubebea wagonjwa katika ukanda huo tangu utawala wa Kizayuni ulipoanzisha mashambulizi yake ya kikatili yanayoendelea hadi hivi sasa dhidi ya Wapalestina.
-
Radiamali ya kwanza ya Syria kwa mashambulizi ya Israel baada ya kuanguka serikali ya Assad
Dec 15, 2024 08:08Hatimaye watawala wapya wa Syria wametoa radiamali dhidi ya jinai za utawala haramu wa Israel baada ya mashambulizi ya mara kwa mara na mfululizo ya Tel Aviv dhidi ya umoja wa ardhi ya nchi hiyo na pia kukaliwa kwa mabavu maeneo mengi ya Syria.
-
Israel yaendeleza mauaji ya waandishi wa habari huko Gaza, Palestina
Dec 15, 2024 06:37Utawala wa Kizayuni wa Israel umeendeleza mauaji dhidi ya waandishi wa habari kwa kuua mwandishi mwingine wa habari wa Kipalestina katika shambulio la anga huko Ukanda wa Gaza.
-
Baada ya mauaji ya halaiki ya Nuseirat, jeshi la Kizayuni lazipiga mabomu nyumba na skuli Ghaza
Dec 15, 2024 02:56Jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel lingali linaendelea kushambulia nyumba na skuli katika Ukanda wa Ghaza, na kuua na kujeruhi watu kadhaa siku moja tu baada ya makumi ya watu kuuawa kwa halaiki katika shambulio la kinyama lililolenga kambi ya wakimbizi wa Kipalestina ya Nuseirat.
-
HAMAS: Hakuna wa kuwaamulia Wapalestina, wao wenyewe wana haki kamili, uwezo na ustahiki
Dec 15, 2024 02:05Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS, kwa mara nyingine tena imesema, inakaribisha uchukuaji hatua wowote ule wa dhati na wa kivitendo kwa ajili ya kusimamisha uchokozi na jinai za utawala ghasibu wa Israel na kukomesha vita katika Ukanda wa Ghaza.
-
Mkuu wa Hizbullah: Israel ilijaribu kwa muda mrefu kuangamiza Muqawama bila mafanikio
Dec 14, 2024 23:51Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema utawala ghasibu wa Israel kwa muda mrefu umekuwa ukitaka kuangamiza harakati ya muqawama (mapambano ya Kiislamu) kupitia kampeni mbalimbali za kikatili, lakini utawala huo umeshindwa kabisa kufikia lengo hilo.
-
Kutoadhibiwa na kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni
Dec 14, 2024 23:40Richard Burgon, mbunge wa Bunge la Uingereza amekosoa mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria na kusisitiza kuwa, kutoadhibiwa utawala huo katika vta vya Gaza kumezidi kuitia kiburi Tel Aviv.