-
Waandishi 1000 mashuhuri duniani kususia taasisi za kitamaduni za Israel
Oct 30, 2024 05:56Zaidi ya waandishi elfu moja wameahidi kutoshirikiana na taasisi za kiutamaduni za utawala wa Kizayuni wa Israel, ambazo zinatajwa kushiriki katika ukiukaji wa haki za Wapalestina.
-
Olmert: Adui yetu ni Netanyahu, si Iran, Hizbullah wala Hamas!
Oct 30, 2024 04:43Waziri Mkuu wa zamani wa Israel, Ehud Olmart amesema adui wa utawala huo sio Iran, Hizbullah wala Hamas bali ni Waisraeli wenye itiikadi kali akiwemo waziri mkuu wa sasa wa utawala huo, Benjamin Netanyahu.
-
Wizara: Israel imeua wanafunzi karibu 12,000 tangu Oktoba 2023
Oct 29, 2024 23:59Wizara ya Elimu katika Ukanda wa Gaza imesema utawala wa Kizayuni wa Israel umewaua wanafunzi zaidi ya 11,852 katika eneo hilo lililozingirwa la Palestina, tangu Oktoba mwaka jana 2023.
-
Jeshi lililochoka na kukimbia walowezi; mafanikio ya Netanyahu katika vita vya Lebanon
Oct 29, 2024 22:56Utawala wa Kizayuni ulioanzisha vita dhidi ya Lebanon kama ulivyotangaza kwamba ni kwa lengo kuwarejesha walowezi katika nyumba zao, hivi sasa unakabiliwa na ongezeko la walowezi wanaokimbia makazi yao, askari waliochoshwa na vita na majeruhi wengi.
-
Israel yauwa raia wasiopungua 93 katika hujuma ya umwagaji damu huko Bait Lahia
Oct 29, 2024 08:49Ndege za kivita za Israel zimeshambulia kwa mabomu jengo la makazi ya raia linalowahifadhi Wapalestina waliolazimika kuhama makazi yao kaskazini mwa Ukanda wa Gaza na kuua makumi ya watu na kujeruhi wengine wengi.
-
Sheikh Naim Qassim ateuliwa Katibu Mkuu Mpya wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon
Oct 29, 2024 07:22Sheikh Naim Qassim aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu Mpya wa harakati hiyo ya mapambano baada ya mtangulizi wake Sayyid Hassan Nasrullah kuuawa shahidi katika hujuma ya Israel kusini mwa Beirut, mwezi uliopita.
-
Kushiriki Marekani kwa 70% katika jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel
Oct 29, 2024 04:20Takwimu rasmi za makadirio zilizochapishwa zinaonyesha kuwa, Marekani imetoa zaidi ya dola bilioni 22 za silaha na misaada ya kijeshi kwa utawala wa Kizayuni wa Israel katika kipindi cha mwaka mmoja tu uliopita.
-
Hizbullah ya Lebanon yafanya oparesheni 30 dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel
Oct 29, 2024 03:50Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imesema katika taarifa kwamba wanamapambano wake wamefanya oparesheni 30 tofauti siku ya Jumatatu dhidi ya utawala wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel).
-
Yemen yashambulia meli tatu zilizokiuka marufuku ya kuelekea bandari za utawala wa Kizayuni
Oct 29, 2024 03:31Vikosi vya Ulinzi vya Yemen vimetangaza kuwa vimezishambulia meli tatu kwa kukiuka marufuku iliyowekwa na nchi hiyo ya kupita kwenye eneo la maji yake kuelekea bandari za utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu.
-
Kuongezeka hitilafu na nyufa ndani ya utawala wa Kizayuni kufuatia kuendelea vita vya Gaza
Oct 28, 2024 22:50Kuendelea vita vya Gaza, kumezidisha malalamiko na hitilafu huko Tel Aviv kadiri kwamba sasa viongozi wa Kizayuni wanatuhumiana wao kwa wao kwa kusema uwongo.