-
Iraq yailalamikia Israel Umoja wa Mataifa kutumia anga yake kuishambulia Iran
Oct 28, 2024 09:10Serikali ya Iraq imewasilisha malamiko yake rasmi katika UUmoja wa Mataifa kulalamikia hatua ya Israel ya kutumia anga yake kuishambulia Iran.
-
Netanyahu aishukuru Marekani kwa kuisaidia kikamilifu Israel katika jinai zake
Oct 28, 2024 03:22Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni ameishukuru Marekani kwa kuiunga mkono Israel katika jinai zake kwenye maeneo tofauti ya Asia Magharibi. Vile vile amekiri kuwa Israel inaendelea kupata hasara kubwa katika vita vinavyoendelea baina yake na Kambi ya Muqawama wa Kiislamu.
-
Hizbullah yavitwanga kwa makombora viwanda vya kijeshi vya Israel huko Haifa
Oct 27, 2024 23:27Hizbullah ya Lebanon imeendelea kutoa vipigo kwa utawala pandikizi wa Kizayuni na imevipiga kwa makombora viwanda vya kijeshi vya Israel kaskazini mwa mji wa Haifa.
-
Kudumishwa uwezo wa Hizbullah wa kuzuia hujuma za adui licha ya kuuawa viongozi wake
Oct 27, 2024 08:16Ushahidi uliopo ikiwa ni pamoja na utawala huo kueleza hamu yake ya kutaka kusimamisha vita kusini mwa Lebanon unaweka wazi uhakika huu kwamba harakati ya muqawama ya Hizbullah imeweza kudumisha uwezo wake wa kukabiliana na kuzuia mashambulizi ya adui dhidi yake licha ya kuuliwa viongozi wake.
-
UNICEF yatoa wito wa kutolewa huduma za kitiba za dharura kwa watoto wa Gaza
Oct 27, 2024 07:10Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) amesema kuwa watoto wa Ukanda wa Gaza huko Palestina wanahitaji uangalizi wa dharura wa kitiba.
-
CNN: Jeshi la Israel linawatumia raia kama ngao za binadamu
Oct 27, 2024 04:24Televisheni ya CNN ya Marekani imesema katika mahojiano na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni na raia kadhaa wa Palestina na kufichua kuhusu kutumiwa kwa makusudi raia wa Kipalestina kama ngao ya binadamu.
-
Iraq yalaani shambulio la Israel dhidi ya Iran na kutangaza kuwa pamoja na Tehran
Oct 26, 2024 22:59Msemaji wa serikali ya Iraq amesema: Baghdad inalaani uchokozi wa utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Iran na kwamba, nchi hiyo inatangaza mshikamano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Israel: Wanajeshi wetu 890 wameuawa tangu Operesheni ya Kimbuunga cha al-Aqswa
Oct 26, 2024 22:54Utawala wa Kizayuni wa Israel umekiri kuuawa askari wake 890 tangu kuutekelezwa Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqswa na kisha kuuanza vita dhhidi ya Gaza.
-
Uongo wa Wazayuni kuhusu takwimu na matokeo ya vita
Oct 26, 2024 22:52Viongozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel, kwa makusudi na kufuatia kushindwa kukabiliana na oparesheni za kishujaa za makundi ya Muqawama, unaficha ukweli wa mambo kuhusu vita vya Gaza.
-
Ripoti: Netanyahu na Gallant wamekimbilia kwenye mahandaki
Oct 26, 2024 07:31Gazeti moja la utawala wa Kizayuni limeripoti kuwa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu na Yoav Gallant Waziri wa Vita wa utawala huo wamekimbilia katika mahandaki kujificha kwa kuhofia kushambuliwa.