-
Israel yaibembeleza Iran isijibu mashambulizi
Oct 26, 2024 06:34Duru tatu za Magharibi zimedai kuwa, kabla ya kufanya shambulizi nchini Iran, utawala wa Kizayuni ulituma ujumbe kwa Iran ukiibembeleza Jamhuri ya Kiislamu isijibu mashambulizi hayo.
-
Wayemen wawapa indhari Waarabu wenzao: Nia ya Israel ni 'kuyatumikisha mataifa yote ya Kiarabu'
Oct 26, 2024 04:07Mamilioni ya waandamanaji waliokusanyika katika mji mkuu wa Yemen, Sana'a na katika miji mingine mingi ya nchi hiyo wametangaza uungaji mkono wao kwa Muqawama wa Palestina na Lebanon, wakionya dhidi ya njama za Israel za kuzitumikisha na kuzifanya watumwa wake nchi zote za Kiarabu.
-
UN: Watoto Ghaza hawauliwi na mabomu tu ya Israel, kwa kuzuiwa pia wasiende nje kutibiwa
Oct 26, 2024 02:34Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema, watoto Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza wanakufa kwa uchungu kwa kukosa matibabu ya dharura kutokana na mamlaka za utawala wa Kizayuni wa Israel kuwazuia wasiende kupatiwa matibabu nje ya eneo hilo lililowekewa mzingiro baada ya kufungwa kivuko cha Rafah.
-
Holocaust ya Israel na Marekani kaskazini mwa Ukanda wa Gaza
Oct 25, 2024 23:38Hata kama mpango wa majenerali wa utawala ghasibu wa Israel wa kuwaondoa kabisa Wapalestina kaskazini mwa Ukanda wa Gaza haujafanikiwa, lakini utawala huo unashirikiana kwa karibu na Marekani kutekeleza mauaji ya umati ya holocaust katika eneo hilo.
-
HAMAS yalaani kimya cha walimwengu baada ya Israel kuvamia hospitali na kuua watoto ndani yake
Oct 25, 2024 23:33Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema jumuiya na taasisi za kimataifa zinabeba dhima ya kisiasa na kimaadili kwa jinai zinazoendelea kufanywa na utawala dhalimu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
-
Baada ya 'mauaji ya halaiki' ya Jabalia, Israel yaua Wapalestina 38 wa familia moja Khan Yunis, wamo watoto 14
Oct 25, 2024 11:00Jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel limeshambulia mji wa Khan Younis na kuua Wapalestina 38 wa familia moja, wakiwemo watoto 14.
-
Katika muda wa saa 24, Hizbullah imewaangamiza askari 10 wa Israel kusini mwa Lebanon
Oct 25, 2024 11:00Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limethibitisha kuangamizwa wanajeshi wake 10 kusini mwa Lebanon huku idadi ya vifo vya askari hao ikiongezeka kutokana na operesheni za kulipiza kisasi zinazotekelezwa na wanamuqawama wa Hizbullah dhidi ya wavamizi hao.
-
Ujumbe wa HAMAS wafanya ziara ya kushitukiza nchini Misri kuhusu usitishaji vita
Oct 25, 2024 06:43Timu ya mazungumzo ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ikiongozwa na Khalil al Hayya imefanya ziara ya kushitukiza mjini Cairo Misri kwa ajili ya mazungumzo ya kusimamisha vita.
-
Wapiganaji wa Muqawama nchini Iraq washambulia ngome za Israel
Oct 25, 2024 03:17Wapiganaji wa Harakati Mapambano ya Kiislamu (muqawama) nchini Iraq wametangaza kutekeleza oparesheni mpya dhidi ya utawala haramu wa Israel.
-
Wanajeshi 70 wa Israel waangamizwa katika shambulio la ardhini Lebanon
Oct 24, 2024 23:10Zaidi ya wanajeshi 70 wa Israel wameangamizwa na askari na maafisa zaidi ya 600 wamejeruhiwa katika shambulio la ardhini la jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel huko Lebanon.