-
Khaled Masha'al: Trump anapaswa kuachana na sera ya Israel kwanza
Dec 16, 2025 08:13Mmoja wa viongozi waandamizi wa harakati ya HAMAS amemtaka rais wa Marekani Donald Trump kuachana na sera ya Washington ya Israel Kwanza, akisema kuwa, hata wafuasi wa Trump kama vile MAGA sasa wanaiona Israel ni mzigo unaodhuru maslahi ya Marekani.
-
ISIL yatangaza kuhusika na shambulio baya nchini Syria
Dec 16, 2025 02:55Kundi la kigaidi la ISIL (Daesh) limedai kuhusika na shambulio baya lililolenga vikosi vitiifu kwa Abu Mohammad al-Jolani nje kidogo ya Idlib, kaskazini magharibi mwa Syria.
-
Majirani za Afghanistan wapinga uingiliaji wa kigeni, vikwazo
Dec 15, 2025 08:04Wawakilishi maalum wa nchi majirani za Afghanistan wamepinga vikali uwepo wowote wa kijeshi wa maajinabi, wakizitaka nchi zilizopelekea kushuhudiwa mgogoro wa sasa nchini humo kuchangia ujenzi mpya bila kutumia msaada kama chombo cha kisiasa.
-
Yemen yaonya kuhusu kushtadi jinai za Israel Gaza, Ukingo wa Magharibi
Dec 15, 2025 07:29Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imetahadharisha dhidi ya kuongezeka kwa ukatili unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu, ikiukosoa utawala huo pandikizi kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano na kuzidisha mashambulizi.
-
WHO: Zaidi ya Wapalestina 1,000 wamefariki Gaza baada ya Israel kuwazuia kusafiri kupata matibabu
Dec 14, 2025 22:47Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema zaidi ya Wapalestina 1,000 wamepoteza maisha katika Ukanda wa Gaza kati ya Julai 2024 na Novemba 2025, wakisubiri ruhusa ya utawala wa Israel kuhamishwa kwa ajili ya matibabu kutoka kwa mamlaka za Kizayuni.
-
Hamas yalaani mauaji ya kamanda wake, raia Gaza
Dec 14, 2025 05:43Kiongozi wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas katika Ukanda wa Gaza, Khalil al-Hayya, katika taarifa yake ya video leo Jumapili amethibitisha kuwa, kamanda mwandamizi wa harakati hiyo, Raed Saed ni miongoni mwa watu watano waliouawa shahidi katika shambulio la Israel huko Gaza.
-
UNICEF yaonya kuhusu mlipuko wa magonjwa miongoni mwa watoto Gaza
Dec 14, 2025 03:41Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umeonya juu ya ongezeko la hatari ya milipuko ya magonjwa miongoni mwa watoto katika Ukanda wa Gaza, huko Palestina.
-
Katibu Mkuu wa Hizbullah: Marekani itambue kwamba katu hatutaweka chini silaha zetu
Dec 13, 2025 22:38Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, serikali ina wajibu wa kufanya juhudi za kuzatiti mamlaka ya kujitawala na uhuru wa Lebanon, na Muqawamwa kwa upande wake umeisaidia kutekeleza makubaliano ya kusitisha mapigano.
-
Albanese: Israel na waungaji mkono wake wakuu inawapasa wagharamie ujenzi mpya wa Ghaza
Dec 13, 2025 08:06Francesca Albanese, Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu amesema, Israel na Marekani pamoja na nchi zingine ambazo zilikuwa wasambazaji wakuu wa silaha kwa utawala huo, zinapaswa kugharimia ujenzi mpya wa eneo la Ukanda wa Ghaza.
-
Wapalestina 14, wakiwemo watoto, wafariki dunia Gaza kutokana na baridi kali
Dec 13, 2025 03:28Wapalestina wasiopungua 14 wamepoteza maisha na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika kipindi cha chini ya saa 24 huku baridi na dhoruba kali ikiendelea kunguruma katika Ukanda wa Gaza, na kuangusha majengo na miundo mbinu katika maeneo kadhaa.