-
Jeshi la Yemen latungua ndege ya kivita ya Marekani isiyo na rubani ya MQ-9 Reaper
May 21, 2024 22:52Msemaji wa Jeshi la Yemen (YAF) ametangaza kuwa, vitengo vya ulinzi wa anga vya nchi hiyo vimefanikiwa kuangusha ndege ya kivita isiyo na rubani ya Marekani aina ya MQ-9 Reaper ilipokuwa katika operesheni za uhasama katika anga ya mkoa wa kati wa Bayda.
-
Misri: Gaza imefikia katika ukingo wa njaa
May 21, 2024 08:32Mwakilishi wa Misri katika Umoja wa Matiafa amesema kuwa hali ya mambo katika Ukanda wa Gaza imefikia katika ukingo wa njaa.
-
UN: 40% ya wakazi wa Gaza wamelazimika kuhama makwao ndani ya wiki 2
May 21, 2024 03:49Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadu (OCHA) imesema asilimia 40 wa Wapalestina wa Ukanda wa Gaza wamelazimika kuyahama makazi yao katika kipindi cha wiki mbili zilizopita.
-
Kuwatesa mateka wa Kipalestina ushahidi mwingine wa jinai za utawala wa Kizayuni
May 21, 2024 01:11Mateka wa Kipalestina walioachiliwa kutoka katika jela za utawala wa Kizayuni wamesema kuwa waliteswa kwa njia mbalimbali na utawala huo haramu wa Israel.
-
Idadi ya askari wa Kizayuni walioangamizwa Ghaza ni kubwa zaidi kuliko katika vita vingine
May 21, 2024 01:04Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limekiri kuwa hasara ya vifo vya askari wake uliyopata katika vita vya Ghaza ni kubwa zaidi kulinganisha na vita vingine vyote.
-
Wapalestina wamwomboleza Rais Raisi, wasema aliunga mkono mapambano yao ya ukombozi
May 20, 2024 08:57Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetuma salamu zake za rambirambi kufuatia kufa shahidi Rais Ebrahim Raisi wa Iran na wenzake katika ajali ya helikopta.
-
Hizbullah yashambulia kambi za kijeshi na vituo vya ujasusi vya Israel
May 19, 2024 22:48Wapiganaji wa harakati ya ya Hizbullah ya Lebanon wameshambulia zana za kijasusi na mikusanyiko ya wanajeshi wa Israel kwenye vituo vya kijeshi karibu na mpaka wa nchi hiyo na ardhi za Palestina zilizokaliwa kwa mabavu mwaka 1948.
-
Athari na madhara ya mauaji ya kimbari kwa vyuo vikuu na shule za Ukanda wa Gaza
May 19, 2024 22:43Moja ya makundi muhimu yanayolengwa katika mauaji ya halaiki ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Ukanda wa Gaza ni wasomi na wanafunzi wa Kipalestina.
-
UNRWA: Idadi ya Wapalestina waliolazimika kuihama Rafah imefikia 800,000
May 19, 2024 07:14Kwa mara nyingine tena karibu nusu ya Wapalestina wote waliokuwa Rafah, yaani watu wapatao laki nane hivi sasa wapo njiani wakilikimbia eneo hilo ambalo lilianza kushambuliwa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel Mei 6 baada ya kutolewa amri na jeshi hilo kuwataka watu wote waondoke katika eneo hilo.
-
HAMAS: Netanyahu anapendelea maslahi yake binafsi kuliko maisha ya wanajeshi wa Israel
May 19, 2024 04:28Tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) limesema kuwa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Israel anapendelea zaidi maslahi yake binafsi kuliko maisha ya wanajeshi wa utawala huo ghasibu.