-
Watu 38 wauawa katika hujuma za anga za Israel Syria, Iran yalaani
Mar 29, 2024 08:28Kwa akali watu 38 wameuawa katika mashambulizi ya anga ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mji wa Aleppo (Halab) huko kaskazini mwa Syria.
-
Wamorocco waungana na Wajordan kuzitaka serikali zao zivunje uhusiano na Israel
Mar 29, 2024 04:30Maelfu ya watu wameandamana katika nchi za Jordan na Morocco kuonyesha mshikamano na Wapalestina ambao wamekuwa wakikabiliwa na vita vya kinyama vya mauaji ya kimbari vinavyoendeshwa na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa takriban miezi sita sasa, sambamba na kutoa wito kwa serikali zao wa kuvunja uhusiano na utawala huo ghasibu.
-
Wapalestina: Gati ya muda inayotaka kujenga Marekani Ghaza ni "Bandari ya Uvamizi"
Mar 29, 2024 03:54Wapalestina wanaielezea gati ya muda inayojengwa na Marekani kwenye pwani ya mji wa Ghaza kuwa ni "bandari ya uvamizi na ukaliaji ardhi kwa mabavu".
-
CAIR: UN ichunguze jeshi la Israel lilivyowaua Wapalestina bila sababu na kuzifukia maiti zao
Mar 28, 2024 06:39Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani [CAIR] limetoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuchunguza video inayoonyesha wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakiwapiga risasi bila sababuu Wapalestina wawili wanaoonekana kuwa hawana silaha kisha kuzifukia maiti zao kwa buldoza.
-
Subira ya kihistoria ya watu wa Ghaza, sababu kuu ya kufedheheka Israel duniani
Mar 28, 2024 06:02Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kwenye mazungumzo yake na Ismail Hania, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS kwamba, subira ya kihistoria na kusimama imara wananchi wa Ghaza mbele ya jinai za utawala wa Kizayuni kumeifanya kadhia ya Palestina kuwa suala kuu nambari moja duniani.
-
Marekani imeshindwa kukabiliana na jeshi la Yemen katika Bahari Nyekundu
Mar 28, 2024 03:23Viongozi wa Marekani wamekiri kutokuwa na uwezo wa kukabiliana na jeshi la Yemen katika Bahari ya Shamu. Hii ni kufuatia kuendelea makablinao ya Magharibi chini ya uongozi wa Marekani dhidi ya jeshi la Yemen katika Bahari Nyekundu.
-
Mateka wa Kipalestina waongezeka pakubwa katika jela za utawala wa Kizayuni
Mar 27, 2024 08:50Klabu ya Mateka wa Palestina imetangaza kuwa kuna ongezeko kubwa sana la mateka wa Kipalestina wanashikiliwa katika jela za utawala wa Kizayuni bila ya kuhukumiwa.
-
Yemen yafanya mashambulizi 6 dhidi ya US, UK na Israel
Mar 27, 2024 04:09Vikosi vya Jeshi la Yemen vimefanya mashambulizi sita dhidi ya meli za Marekani, Uingereza na utawala haramu wa Israel, ukiwa ni muendelezo wa operesheni za kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina na kujibu uvamizi wa Washington na London dhidi ya Yemen.
-
Israel yapuuza azimio la Baraza la Usalama, yadondosha mabomu Rafah
Mar 27, 2024 04:08Jeshi katili la Israel limeendelea kuushambulia kwa mabomu mji wa Rafah wa kusini mwa Ukanda wa Gaza, licha ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupasisha azimio la kusimamisha vita huko Gaza baada ya miezi sita ya mashambulizi ya jeshi la utawala huo wa Kizayuni katika eneo hilo.
-
Kuendelea kushambuliwa na kuzingirwa hospitali za Gaza na utawala wa Kizayuni
Mar 26, 2024 22:36Licha ya wasiwasi mkubwa na maonyo ya mara kwa mara ya viongozi wa nchi mbalimbali na taasisi za kimataifa, utawala wa Kizayuni bado unaendelea kushambulia na kuzizingira hospitali za Gaza.