-
UN yasema 'imeshtushwa' na mashambulizi mabaya ya anga dhidi ya Waislamu wa Rohingya
Mar 19, 2024 04:26Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema Katibu Mkuu wa umoja huo, António Guterres, "amesikitishwa" na ripoti za mashambulizi ya anga yanayoendelea nchini Myanmar ambayo yameua zaidi ya raia 20 katika kitongoji cha Minbya katika Jimbo la Rakhine siku ya Jumatatu.
-
Jeshi la Israel lashambulia tena Hospitali ya Al-Shifa, laua na kujeruhi kadhaa
Mar 18, 2024 08:24Vikosi vya jeshi la utawala wa Israel vilivyojizatiti kwa silaha nzito vimevamia hospitali ya al-Shifa katika mji wa Ghaza kwa kutumia vifaru na ndege zisizo na rubani na kuwafyatulia risasi watu waliokuwa ndani ya jengo hilo.
-
HAMAS: Muqawama wa kupambana na Israel umevuka mipaka ya Ghaza
Mar 18, 2024 07:43Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema utawala wa Kizayuni wa Israel unakabiliwa na "safu pana zaidi" ya Muqawama iliyovuka mpaka wa Ukanda wa Ghaza.
-
HRW: Magharibi inaendelea kuipatia Israel silaha wakati inajadili kupeleka misaada Ghaza
Mar 18, 2024 07:43Wakati wabunge katika nchi nyingi za Magharibi wanajadili ni kwa kiwango gani utawala wa Kizayuni wa Israel unaweza ukawa unakwamisha upitishaji misaada ya kuokoa maisha ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza, mauzo ya silaha ambayo yanachangia vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendeshwa na utawala huo dhidi ya eneo hilo lililowekewa mzingiro yangali yanaendelea kumiminika.
-
Israel imeua zaidi ya watoto 13,000 katika vita vya Gaza
Mar 18, 2024 04:11Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) linasema zaidi ya watoto Wapalestina 13,000 wameuawa katika vita vya mauaji ya halaiki vya utawala wa Israel kwenye Ukanda wa Gaza. UNICEF imetaja idadi hiyo ya watoto waliouawa kuwa "ya juu" na "ya kutisha."
-
Makundi ya Palestina yako tayari kukabiliana na njama za pamoja za Marekani na utawala wa Kizayuni
Mar 18, 2024 04:05Mustafa al-Barghouthi, Katibu Mkuu wa Harakati ya Ubunifu wa Kitaifa ya Palestina ametahadharisha kuhusu njama mpya ya pamoja ya serikali ya Marekani na utawala haramu wa Israel kuhusu ujenzi wa bandari au gati la muda huko Gaza.
-
Al Atifi: Yemen kuainisha sheria mpya za vita mkabala wa Marekani na Uingereza
Mar 17, 2024 07:53Mohamed al Atifi Waziri wa Ulinzi wa Yemen amesema kuwa Sana'a itaainisha sheria mpya za vita mkabala wa mashambulizi ya Marekani na Uingereza katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Muqawama wa Iraq: Milango ya kuzimu itafunguka; watoa kauli ya mwisho kwa vikosi vamizi vya Marekani
Mar 17, 2024 07:27Baada ya wiki moja ya kukaa kimya kimkakati, moja ya makundi ya harakati kubwa ya muqawama ndani ya kikosi cha kujitolea cha wananchi wa Iraq cha Hashdu al Shaabi limetangaza wazi msimamo wake kuhusu masuala muhimu ya usalama wa taifa.
-
Makundi ya mapambano ya Palestina yakosoa hatua ya Mahmoud Abbas ya kumteua waziri mkuu mpya
Mar 17, 2024 04:47Mahmoud Abbas, Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, amemteua Mohammad Mustafa kwa ajili ya kuunda baraza jipya la mawaziri, hatua ambayo imekosolewa na makundi ya muqawama ya Palestina.
-
Hamdan: Mpango uliopendekezwa na HAMAS kwa ajili ya kusitisha vita unaendana na uhalisia
Mar 17, 2024 02:28Osama Hamdan, mmoja wa viongozi waandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, mpango uliopendekezwa hivi karibuni na harakati hiyo kwa ajili ya usitishaji vita unaendana kikamilifu na uhalisia wa mambo kwa namna ambayo adui hawezi kuukataa.