-
Times: Utumwa mamboleo bado upo nchini Saudi Arabia
Dec 28, 2022 00:52Gazeti la Times la Uingereza limeripoti kuwa utumwa mamboleo ungalipo nchini Saudi Arabia licha ya maonyo ya taasisi za kimataifa.
-
Wizara ya Afya ya Yemen: Uvamizi na mzingiro umesababisha magonjwa ya kuambukiza
Dec 28, 2022 00:50Msemaji wa Wizara ya Afya ya Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema hatua ya muungano vamizi wa Saudi Arabia ya kutekeleza hujuma za kikatili na mzingiro wa ukandamizaji dhidi ya watu wa Yemen imesababisha kuenea magonjwa mbalimbali ya kuambukiza nchini humo.
-
Ongezeko la utoro na kujiua wanajeshi wa utawala haramu wa Israel
Dec 27, 2022 09:57Gazeti la utawala wa Kizayuni wa Israel la Yediot Ahronot limeripoti kuwa, askari 14 wa jeshi la utawala huo wamejiua katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, idadi ambayo ni kubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.
-
Israel yawaweka mamia ya watoto wa Kipalestina katika kifungo cha nyumbani
Dec 27, 2022 04:02Kamisheni ya Wafungwa wa Kipalestina imesema utawala haramu wa Israel umewaweka watoto zaidi ya 600 wa Kipalestina katika kifungo cha nyumbani, tokea mwanzoni mwa mwaka huu hadi sasa, huku utawala huo wa Kizayuni ukiendelea na kampeni yake ya kuwanyanyasa na kuwatia mbaroni Wapalestina.
-
Hamas: Adui haelewi isipokuwa lugha ya mabavu; serikali ya Netanyahu ni dhihirisho la watenda jinai
Dec 26, 2022 23:02Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika mji wa Quds amesema kuwa, serikali mpya ya utawala wa Kizayuni wa Israel inayoongozwa na Benjamin Netanyahu inadhihirisha sura ya watenda jinai na kusisitiza kuwa: Adui haelewi isipokuwa lugha ya mabavu.
-
Wairaqi wamkumbuka Shahidi Soleimani, waapa kuendeleza njia yake
Dec 26, 2022 08:50Wananchi wa Iraq katika Mkoa wa Salahedine wameshiriki katika hafla ya kumkumbuka kamanda wa zamani wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Qassem Soleimani na wenzake wakati wa kukaribia maadhimisho ya mwaka wa tatu wa kuuawa kwao shahidi katika hujuma ya jeshi la kigaidi la Marekani.
-
2022; mwaka wa muqawama wa Palestina
Dec 26, 2022 06:36Ahmed al Mudallal, mmoja wa viongozi waandamizi wa Harakati ya Jihad al Islami ya Palestina amesema kuwa, bila ya shaka yoyote mwaka 2022 umekuwa ni mwaka wa mafanikio makubwa ya muqawama wa Palestina.
-
Wabahrain waandamana kulalamikia kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel
Dec 26, 2022 04:06Wananchi wa Bahrain wameandamana kulalalamikia na kulaani hatua ya nchi yao ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
-
Mash’al atoa mwito wa umoja wa Wapalestina ili kukabiliana na serikali mpya ya Netanyahu
Dec 26, 2022 04:01Kiongozi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) nje ya nchi amewatolea mwito Wapalestina wa kudumisha umoja na mshikamano baina yao ili kukabiliana na serikali mpya ya utawala haramu wa Israel inayoongozwa na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu.
-
Mashirika makubwa ya misaada yasitisha shughuli Afghanistan baada ya Taliban kupiga marufuku wafanyakazi wa kike
Dec 26, 2022 04:01Mashirika kadhaa yasiyo ya kiserikali (NGOs) yamesitisha shughuli zake nchini Afghanistan baada ya serikali ya Taliban kupiga marufuku wanawake kufanya kazi katika mashirika hayo.