-
Kufichuliwa nyaraka mpya za jinai za Israel dhidi ya Wapalestina kwa uungaji mkono wa Marekani
Dec 19, 2022 23:03Gazeti la The Guardian limechapisha nyaraka mpya za jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina, jinai ambazo zimefanyika kwa himaya na uungaji mkono wa Marekani.
-
Ujumbe wa UN wakutana na Ayatullah Sistani, unafuatilia jinai za Daesh
Dec 19, 2022 08:00Ujumbe wa Umoja wa Mataifa leo (Jumatatu) umekutana na kufanya mazungumzo na kiongozi mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Ali Sistani katika mji mtakatifu wa Najaf al Ashraf.
-
Utawala wa Kizayuni wakiri kufanya ujasusi na kuhusika na miripuko ya 1954 nchini Misri
Dec 19, 2022 04:05Gazeti la Kizayuni la "Yedioth Aharonoth" limechapisha ripoti maalumu ya idara ya ujasusi ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni (Aman) ikikiri kuwa, katika miaka ya 1950 waziri wa vita wa wakati huo wa Israel alihusika katika miripuko ya mabomu iliyotokea nchini Misri.
-
Al-Zahar: Kuachiliwa mateka wa Kipalestina ni moja ya vipaumbele vya Hamas
Dec 18, 2022 23:32Mwanachama mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema, harakati hiyo haitawaacha peke yao mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa kwenye jela za utawala ghasibu wa Israel.
-
Ansarullah: Marekani inakwamisha juhudi za kurejesha amani nchini Yemen
Dec 18, 2022 23:31Kiongozi wa ngazi ya juu wa harakati ya Ansarullah ya Yemen ameishutumu Marekani kuwa inakwamisha juhudi zinazolenga kurejesha amani katika nchi hiyo ya Kiarabu iliyokumbwa na vita.
-
Muqawama: Tutalipiza kisasi cha mauaji ya Wapalestina Nablus
Dec 18, 2022 07:10Makundi ya muqawama ya Palestina yamelaani mauaji ya mandugu wawili wa Kipalestina katika mji wa Nablus, kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.
-
Utawala wa Israel waogopa kuona bendera ya Palestina ikipeperushwa
Dec 18, 2022 06:30Utawala wa Kizayuni umewakamata waandamanaji watatu waliokuwa wakipeperusha bendera za Palestina katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ambazo zimepachikwa jina la Israel.
-
Mfalme wa Abdallah wa Jordan: Hatua kali zitachukuliwa dhidi ya waibua fujo
Dec 18, 2022 00:44Mfalme wa Jordan amechukua msimamo mkali kufuatia maandamano ya wananchi yanayoendelea nchini humo na kuuliwa afisa wa ngazi ya juu wa polisi na kusisitiza kuwa: serikali itachukua hatua kali kwa yoyote atakayewashambulia askari usalama na mali za umma.
-
Kupitishwa azimio la UN la haki ya watu wa Palestina kuamua hatima yao wenyewe
Dec 18, 2022 00:43Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la haki ya taifa la Palestina ya kujiamulia hatima yake. Tangu mwaka 1948, Palestina imeshuhudia hali iliyopelekea kunyakuliwa eneo lake la kijiografia kwa kadiri kwamba hivi sasa asilimia 85 ya jiografia ya Palestina inakaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lathibitisha haki ya kujitawala ya Wapalestina
Dec 17, 2022 03:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York limepitisha kwa wingi mkubwa wa kura azimio la kuunga mkono haki ya kujitawala ya wananchi wa Palestina.