-
Qatar yaishtaki Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC)
Dec 08, 2022 06:17Televisheni ya al Jazeera ya Qatar imewasilisha mashtaka kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuhusu kuuliwa shahidi ripota wake, Shireen Abu Akleh, mauaji yaliyofanywa na wanajeshi wa Israel.
-
Mussa Abu Marzouq: Israel itasambaratika endapo Wamagharibi wataacha kuiunga mkono
Dec 08, 2022 04:28Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, endapo madola ya Magharibi yatasitisha himaya na uungaji mkono wao kwa utawala haramu wa Israel basi siku itakayofuata utawala huo utasambaratika kikamilifu.
-
Marekani yatakiwa ihitimishe uungaji mkono wake kwa utawala wa Saudia
Dec 08, 2022 04:25Zaidi ya taasisi 100 za kutetea haki za binadamu zimeitaka Marekani ihitimishe himaya na uungaji mkono wake kwa utawala wa Saudi Arabia ambao umeendelea kufanya mauaji huko nchini Yemen.
-
Kuongezeka operesheni za muqawama za Wapalestina Ukingo wa Magharibi na kukanganyikiwa Wazayuni
Dec 07, 2022 22:52Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umesema, umetiwa wasiwasi na kuongezeka operesheni za muqawama za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na hasa juu ya kudumu na kuendelea kwa operesheni hizo.
-
Saudia yakosolewa kwa kuzima sauti ya adhana kwa ajili ya hafla za ufuska
Dec 07, 2022 22:51Licha ya ukandamizaji wa kimfumo wa utawala wa Saudia dhidi ya wale wanaokosoa mwelekeo wa kisiasa na kijamii wa utawala huo unaolazimishwa kwa watu kwa mabavu, sauti zimeanza kupazwa nchini humo dhidi ya hafla na sherehe za ufuska na ufisadi zinazoandaliwa na kile kinachoitwa Mamlaka Kuu ya Burudani katika Ufalme huo.
-
Athari mbaya za vita vya Yemen kwa wanawake na watoto
Dec 07, 2022 22:50Waziri wa Afya wa serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema kuwa, wanawake na watoto wa nchi hiyo ndio wanaoathiriwa moja kwa moja na athari mbaya za vita vya Saudi Arabia na washirika wake dhidi ya nchi hiyo.
-
Hizbullah yaipongeza timu ya soka ya Morocco kwa kuinyuka Uhispania na kuinua bendera ya Palestina
Dec 07, 2022 10:22Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem ametuma ujumbe kwenye mtandao wa kijamii wa "Twitter" ambapo ameipongeza Morocco kwa ushindi wa timu ya kandanda ya nchi hiyo dhidi ya Uhispania hiyo jana na kufuzu kuingia robo fainali ya mechi za Kombe la Dunia zinazoendelea nchini Qatar.
-
Waziri wa Lebanon asusia jopokazi la Uholanzi kwa kuwemo humo Mzayuni
Dec 07, 2022 03:26Waziri wa Utamaduni wa Lebanon ametangaza kuwa atajiondoa katika jopokazi la ushirikiano baina ya Lebanon na Uholanzi kutokana na kuwemo humo mkurugenzi wa makumbusho ya utawala wa Kizayuni.
-
Al Jazeera yawasilisha mashtaka ya mauaji Shireen kwenye mahakama ya kimataifa ya ICC
Dec 06, 2022 23:43Mtandao wa Habari wa Al -Jazeera umetangaza kuwa umewasilisha kesi ya mauaji ya mfanyakazi wake, Shireen Abu Akleh, katika Mahakama ya Jinai ya Kimataifa huko Hague.
-
Ya'alon : Baraza la mawaziri la Netanyahu ni baraza la mawaziri mtenda jinai
Dec 06, 2022 23:42Waziri wa zamani wa ulinzi wa Israel ameashiria baraza la mawaziri linaloundwa na Benjamin Netanyahu na kusisitiza kuwa linaonekama kuwa ni baraza la vita.