-
Syria: Tutaendelea na mapambano dhidi ya ugaidi hadi tutakapoisafisha ardhi yetu yote
Nov 09, 2022 03:36Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetangaza kuwa, mapambano dhidi ya magenge ya kigaidi huko kaskazini na kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu yataendelea hadi kila shibri ya ardhi ya Syria itakaposafishwa kikamilifu.
-
Inkstick: Silaha za Marekani zinatumika kuua raia wa Yemen
Nov 08, 2022 23:18Vyombo vya habari vya Marekani vimefichua kwamba muungano wa vita unaoongozwa na Saudi Arabia unatumia silaha zilizotengenezwa Marekani kuua raia wa Yemen.
-
Ripoti: Tel Aviv inatumia "mbinu za kimafia" dhidi ya makundi ya haki za binadamu ya Palestina
Nov 08, 2022 23:18Shirika la kutetea haki za binadamu la Palestina limesema katika ripoti yake kwa kamati ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa kwamba Israel inatumia vitisho na mbinu za kimafia kuyanyamazisha mashirika ya kutetea haki za binadamu.
-
Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan baada ya uchaguzi wa Israel na ushindi wa vyama vya mrengo wa kulia
Nov 08, 2022 23:17Usiku wa kuamkia Jumatatu vikosi vya utawala vamizi wa Israel vilishambulia maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Quds inayokaliwa kwa mabavu na kuwatia mbaroni vijana 20 wa Kipalestina.
-
Mzayuni aangamizwa katika operesheni ya wanamapambano wa Palestina
Nov 08, 2022 07:43Kanali ya televisheni ya KAN ya utawala wa Kizayuni, mapema leo Jumanne imetangaza habari ya kuangamizwa mlowezi mmoja Mzayuni anayejulikana kwa jina la Shalom Sofer ambaye alijeruhiwa katika operesheni moja ya mwanamapambano wa Palestina.
-
Bin Salman ajibiwa: Kuvunjiwa heshima Haram Mbili Takatifu haliwi tena suala la ndani la Saudia
Nov 08, 2022 04:08Wanaharakati wa mitandao ya kijamii wamemjibu Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia aliyedai kwamba hakuna mtu yeyote mwenye haki ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo kwa kumueleza kuwa kutusi na kuvunjia heshima nchi ambayo ndani yake kuna Haram mbili za Makka na Madina haliwi suala la ndani la Saudia.
-
Kiongozi wa HAMAS: Mazingira ya Ukingo wa Magharibi ni utangulizi wa kuutokomeza utawala wa Kizayuni
Nov 08, 2022 04:02Mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema mazingira ya hivi sasa katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan ni utangulizi wa kutokomezwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Saudia yamhukumu kifo kijana kwa 'kosa' la kumuandalia futari mpinzani wa Ufalme
Nov 07, 2022 22:59Shirika moja la kimataifa la kutetea haki za binadamu limesema mahakama ya Saudia imetoa hukumu ya kifo kwa kijana mmoja kwa 'kosa' la kumuandalia futari mpinzani wa ufalme katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Kukaribia kumalizika muhula wa serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan
Nov 07, 2022 22:57Msemaji wa serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan amesema kipindi cha uongozi wa serikali hiyo kitamalizika baada ya muda si mrefu ujao.
-
Imran Khan: Maandamano ya kupinga serikali kuendelea tena kesho
Nov 07, 2022 09:13Imran Khan Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan amesema kuwa, maandamano ya kuipinga serikali kuelekea mji mkuu Islamabad yataendelea tena kesho Jumanne.