-
Jumuiya ya al-Wifaq: Uchaguzi ujao wa Bunge Bahrain ni wa kuimarisha dhulma
Sep 10, 2022 23:59Jumuiya ya Kitaifa na Kiislamu nchini Bahrain ya Al-Wifaq imetangaza kuwa, uchaguzi ujao wa Bunge nchini humo ni wenzo na chombo cha kuimarisha dhulma na kuendelea ufisadi
-
HAMAS yaonya kuhusu vitendo vya hujuma dhidi ya msikiti wa al-Aqswa
Sep 10, 2022 23:59Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeonya tena kuhusiana na kuendelea vitendo vya kuuvamia na kuuhujumu msikiti wa al-Aqswa, vinavyofanywa na walowezi wa Kizayuni wakipata himaya ya jeshi la utawala ghasibu wa Israel.
-
UNICEF yaitaka serikali ya Taliban ifungue skuli zote za wasichana Afghanistan
Sep 10, 2022 07:07Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limeitaka serikali ya Taliban inayotawala Afghanistan izifungue skuli zote za wasichana nchini humo.
-
Hamas: Mauaji ya raia wa Kipalestina yanaonesha sura mbaya ya Israel
Sep 09, 2022 22:07Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, mauaji yanayofanywa kwa makusudi na askari wa Israel dhidi ya raia wa Kipalestina yanaonyesha sura mbaya ya wavamizi hao wanaoikalia Palestina kwa mabavu.
-
Wayemen walivyojiimarisha kwa nguvu za kijeshi kuzuia adui asijusuru kuanzisha mashambulio
Sep 09, 2022 21:59Wakati mwaka wa nane wa vita vilivyoanzishwa na muungano wa kijeshi wa Saudi Arabia dhidi ya Yemen ukiwa unaendelea kupita, Wayemen wanazidi kuongeza nguvu na uwezo wao wa kijeshi wa kumzuia adui asithubutu kuanzisha mashambulio dhidi ya nchi hiyo.
-
Taarifa ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu; mzongano usiozongoka wa uzushaji tuhuma dhidi ya Iran
Sep 09, 2022 06:14Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani taarifa ya hivi karibuni ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na ya ile inayojiita kamati ya pande nne na kusisitiza kuwa hatua zinazochukuliwa na Iran kuhusiana na visiwa vyake vitatu zinalenga kulinda mamlaka ya kujitawala ardhi yote ya taifa hili.
-
Mamlaka ya Ndani ya Palestina: Matamshi ya karibuni ya Lapid ni sawa na kutoa kibali cha kuuliwa Wapalestina
Sep 08, 2022 22:12Wizara ya Mambo ya Nje ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imesisitiza kuwa utawala wa Kizayuni unabeba dhima ya kuwa masuuli wa jinai zinazofanywa kwa Wapalestina, kukiukwa haki za raia hao, ardhi na matukufu ya Palestina kwa hatua yake ya kuwaunga mkono kikamilifu wauaji, watenda jinai, na magaidi wake.
-
Rais wa Lebanon: Hizbullah ni mshirika wetu na tunaiunga mkono
Sep 08, 2022 06:46Rais Michel Aoun wa Lebanon amesisitiza kuwa anaiunga mkono Hizbullah na akabainisha kwamba, hatua iliyochukuliwa na muqawama wa Lebanon imesukuma mbele mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana ya kuainisha mipaka ya bahari.
-
Syria: Tutatumia haki yetu ya kisheria kujibu jinai za utawala haramu wa Israel
Sep 08, 2022 03:16Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Syria imetangaza kuwa, mashambulio ya utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Uwanja wa Ndege wa Halab ni jinai za kivita na kwamba, Damascus itatumia haki yake ya kisheria kwa ajili ya kujibu jinai za utawala huo.
-
Kukiri jeshi la Israel kwamba, lilimuua Shireen Abu Akleh
Sep 07, 2022 03:59Jeshi la utawala haramu wa Israel limekiri kwamba, Shireen Abu Akleh, mwanahabari wa Kipalestina wa Televisheni ya al-Jazeera ya Qatar aliuawa shahidi kwa kupigwa risasi na mmoja wa wanajeshi wa utawala huo.