-
UNICEF: Asia Magharibi inakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula, Yemen imeathiriwa zaidi
Sep 04, 2022 22:01Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetahadharisha kuwa migogoro inayoendelea na kuzorota kwa hali ya kibinadamu katika nchi kadhaa za Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) na Kaskazini mwa Afrika (MENA) hususan Yemen kumewaacha mamilioni ya watu wakiwemo watoto katika hatari ya njaa.
-
Mcheza karate wa Kuwait akataa kucheza na Muisraeli mjini Baku
Sep 04, 2022 22:01Mpiganaji wa karate wa Kuwait Mohammad al-Otaibi amejiondoa katika mashindano ya 2022 ya Ligi Kuu ya Karate 1 katika mji mkuu wa Jamhuri ya Azerbaijan, Baku, ili kuepuka kukabiliana na mwakilishi wa utawala haramu wa Israel.
-
Mkuu wa zamani wa jeshi la Kizayuni: Israel haiwezi kuishambulia kijeshi Iran
Sep 04, 2022 06:07Mkuu wa zamani wa majeshi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Shaul Mofaz amesema, Wairani ni watu werevu sana na wanao uwezo wa kuhakikisha wanapata haki zao za kinyukilia; na akakiri kwa kusema, Tel Aviv haina uwezo wa kuchukua hatua ya kijeshi dhidi ya Tehran.
-
Msafara wa baharini wa Lebanon waelekea mpaka wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu kulinda maliasili zake
Sep 04, 2022 06:06Msafara wa majini wa Lebanon umeanza safari yake ya kuelekea mpaka wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) kwa lengo la kulinda utajiri wa nchi hiyo wa maliasili za mafuta na gesi dhidi ya uporaji wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wazayuni wazidisha jinai, waua shahidi makumi ya Wapalestina katika mwezi mmoja
Sep 04, 2022 02:32Takwimu zilizotolewa na vyombo vya habari vya Palestina zinaonesha kuwa utawala wa Kizayuni umeshadidisha jinai zake dhidi ya wananchi wasio na hatia kiasi kwamba katika mwezi mmoja tu ulioisha wa Agosti, Israel imeua shahidi Wapalestina 59 katika Ukanda wa Ghaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
CNN: Saudia inaelekea kuwa kitovu cha matumizi ya madawa ya kulevya Mashariki ya Kati
Sep 04, 2022 02:31Televisheni ya CNN ya Marekani imetangaza habari ya kukamatwa kete karibu milioni 47 za madawa ya kulevya nchini Saudi Arabia na kuongeza kuwa, nchi hiyo ya kifalme hivi sasa inaelekea kuwa kitovu cha matumizi ya mihadarati katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Manowari ya Uturuki yatia nanga katika bandari ya Haifa Palestina inayokaliwa kwa mabavu
Sep 03, 2022 21:54Vyombo vya habari vya Kiebrania vimeripoti kuwa manowari ya Uturuki pamoja na meli ya kivita ya kombora ya Marekani zimetia nanga katika bandari ya Haifa kaskazini-magharibi ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Nafasi ya nchi za kigeni katika ghasia za hivi karibuni nchini Iraq
Sep 03, 2022 07:46Moja ya masuala muhimu ambayo yanaibuliwa kuhusu machafuko ya hivi karibuni nchini Iraq ni nafasi ya nchi za kigeni katika machafuko hayo.
-
Taliban: Hatuna mpango wa kuutambua rasmi utawala haramu wa Israel
Sep 03, 2022 06:26Msemaji wa Ofisi ya Kisiasa ya Taliban nchini Qatar amesema kuwa, kundi hilo halina mpango wa kuutambua rasmi utawala haramuu wa Israel.
-
Israel imewaua Wapalestina zaidi ya 110 Mwaka huu
Sep 03, 2022 03:38Jeshi katili la utawala haramu wa Israel limeua Wapalestina zaidi ya 110 na kuwajeruhi wengine wengi hadi sasa mwaka huu.