-
Wazayuni wavamia msikiti wa al Aqsa na kuwatia nguvuni Wapalestina 12
Aug 03, 2022 22:04Jeshi la utawala haramu wa Israel limewatia nguvu Wapalestina 12 sambamba na kundi la walowezi wa Kizayuni kuuhujumu msikiti mtukufu wa al Aqsa, ambacho ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu.
-
Hivi ndivyo Asia Magharibi ilivyotia kasi kuporomoka nguvu na ushawishi wa Marekani
Aug 03, 2022 21:52Ni jambo lisilo na chembe ya shaka kwamba, Asia Magharibi ni eneo la ushawishi wa jadi wa Marekani. Nchi hiyo ya kibeberu imejiimarisha mno kijeshi kenye eneo hili na ina ushawishi katika matukio ya kiusalama ya nchi waitifaki wake za Asia Magharibi.
-
Sayyid Nasrullah: Marekani na Israel ni mashetani wa zama hizi
Aug 03, 2022 03:32Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ni mashetani wa zama hizi na kuongeza kuwa: Mapambano ya harakati hiyo dhidi ya mashetani yataendelea.
-
Maripota wa UN: Israel ikome kuwanyanyasa watetezi wa haki za binadamu
Aug 03, 2022 03:30Maripota wa Umoja wa Mataifa wameitaka Israel ikomeshe "unyanyasaji" wa wafanyakazi wa misaada na watetezi wa haki za binadamu katika eneo la "Masafer Yatta" katika Ukingo wa Magharibi.
-
Amnesty International: Wazayuni walio wengi wanaiogopa bendera ya Palestina
Aug 03, 2022 01:48Matokeo ya uchunguzi wa maoni wa Amnesty International yanaonyesha kuwa, Wazayuni walio wengi wanaoishi katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina wanapatwa na woga na wahka kwa kuiona bendera ya Palestina.
-
Diplomasia ya mitaani badala ya ustaarabu wa kisiasa; kurudi nyuma demokrasia ya Iraq
Aug 02, 2022 22:07Katika siku za hivi karibuni, Iraq kwa mara nyingine tena imeshuhudia matukio ambayo yanachukuliwa na baadhi ya makundi kuwa ni utekelezaji wa "diplomasia ya mitaani" badala ya "ustaarabu wa kisiasa."
-
Kuwait: Tutaendelea kuisusia Israeli na makampuni yanayoshirikiana nayo
Aug 01, 2022 20:41Kuwait imetangaza kuwa itaendelea kuisusia Israel, bidhaa zake na makampuni yanayoshirikiana nayo. Hayo yametangazwa katika Mkutano wa Maafisa wa Ofisi za Kikanda za Kuisusia Israel.
-
Kuanza tena wimbi la kamatakamata huko Saudia baada ya safari ya kwanza ya Ulaya ya Muhammed bin Salman tangu mauaji ya Khashoggi
Aug 01, 2022 20:40Kufuatia ziara ya kwanza ya Ulaya ya mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman nchini Ugiriki na Ufaransa baada ya mauaji ya Jamal Khashoggi, ambayo imefanyika wiki mbili baada ya ziara ya Rais wa Marekani Joe Biden nchini Saudi Arabia, Shirika la Kudhibiti na Kupambana na Ufisadi la Saudi limetangaza habari ya kutiwa mbaroni maafisa 78 wa serikali kwa tuhuma za ufisadi, kula rushwa, utapeli, kutakatisha fedha na kutumia vibaya madaraka yao.
-
Uturuki kushirikiana na Syria dhidi ya wanamgambo wanaoungwa mkono na Marekani
Aug 01, 2022 00:00Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki Mevlut Cavusoglu amesema kuwa nchi yake iko tayari kusaidia serikali ya Syria katika juhudi zake za kuwafurusha wanachama wa kundi la wanamgambo wa Kikurdi (YPG) wanaoungwa mkono na Marekani kutoka maeneo yenye utajiri wa nishati kaskazini mashariki mwa Syria.
-
Tawi la kijeshi la HAMAS lawaonyesha askari wawili wa Israel linaowashikilia mateka
Jul 31, 2022 07:10Brigedi za Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina, HAMAS zimetoa taswira, sambamba na kuwahutubu Wazayuni kwamba: viongozi wa utawala wa Kizayuni wanakuambieni uongo kuhusu mateka.