-
Jeshi la Yemen latungua ndege ya kivita ya Saudia katika anga ya Sana'a
May 24, 2022 06:40Muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia umerusha ndege ya kivita isiyo na rubani katika anga ya mji mkuu wa Yemen, Sana'a kwa lengo la kutekeleza oparesheni za kichokozi lakini Jeshi la Yemen limefanikiwa kuitambua ndege hiyo vamizi ya adui na kuitungua papo hapo.
-
Upeo mpya katika uhusiano wa Iran na Oman kufuatia safari ya Raisi mjini Muscat
May 24, 2022 06:30Kufuatia safari ya Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Oman, upeo mpya umefunguliwa katika uhusiano na ushirikiano wa nchi hizi mbili.
-
Jibu la Pakistan kwa msimamo wa India kwamba Kashmir itaendelea kuwa sehemu ya ardhi yake
May 23, 2022 20:50Mwakilishi wa Pakistan katika Umoja wa Mataifa amepinga msimamo uliotangazwa na India kwamba eneo la Kashmir halitatenganishwa na ardhi ya nchi hiyo na akasisitiza kwa mara nyingine tena kuwa, Jamu na Kashmir haijawahi na wala katu haitakuwa sehemu ya India; na New Delhi haina haki yoyote katika eneo hilo.
-
Walowezi wa Kizayuni waendelea kuuhujumu Msikiti wa Al Aqswa
May 23, 2022 05:13Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.
-
Watangazaji wanawake Afghanistan wafunika nyuso baada ya kukaidi agizo la Taliban kwa siku moja
May 22, 2022 23:14Watangazaji wanawake wa televisheni nchini Afghanistan wameridhia kutangaza wakiwa wamefunika nyuso zao kulingana na agizo lililotolewa na serikali ya Taliban, baada ya kukaidi kufanya hivyo kwa muda wa siku moja.
-
Iraq yapinga Waarabu kutumia jina "nchi ya Israel" badala ya "utawala ghasibu wa Israel"
May 22, 2022 23:14Spika wa Bunge la Iraq amelalamikia jina la utawala wa Kizayuni lilivyotajwa katika taarifa ya mwishoni mwa mkutano wa umoja wa mabunge ya nchi za Kiarabu na kutaka libadilishwe.
-
Gazeti la Kizayuni: Israel imepoteza kikamilifu uwezo wa kuzuia mashambulio ya HAMAS
May 22, 2022 23:13Gazeti la Kizayuni la Maariv limekiri kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel hauna uwezo wa kukabiliana na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS.
-
Jihad al Islami: Muda mrefu sasa utawala wa Kizayuni haujaonja ushindi
May 22, 2022 06:28Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa harakati ya Jihad al Islami ya Palestina amesema kuwa, tangu baada ya vita vya siku sita vya 1967, jeshi la utawala wa Kizayuni halijawahi tena kuonja ladha ya ushindi dhidi ya mataifa ya Waislamu na Waarabu.
-
Reuters: Makabidhiano ya madaraka yamekaribia nchini Saudi Arabia
May 22, 2022 06:24Shirika la habari la Reuters limezinukuu duru za Saudi Arabia zikisema kuwa, hatua ya kuweko Abdul Aziz bin Ahmad katika msafara wa Mohammad bin Salman, mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia alipotembelea Imarati hivi karibuni, ni ishara kwamba mchakato wa kukabidhiana madaraka umekaribia huko Saudia.
-
Bunge la Iraq: Tumeazimia kuzuia kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel
May 22, 2022 03:29Spika wa Bunge la Iraq amesisitiza kuwa, taasisi hiyo imeazimia kuzuia kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel unaozikalia kwa mabavu ardhi za Palestina.