-
Wizara ya Afya ya Gaza yanatabiri vifo 500 kila siku kutokana na njaa
Aug 16, 2025 05:05Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetabiri uwezekano wa kufikia vifo 500 kila siku kutokana na njaa.
-
Mataifa ya Kiislamu yalaani kauli ya Netanyahu ya 'Israel Kubwa Zaidi'
Aug 16, 2025 04:49Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi 31 za Kiarabu na Kiislamu, pamoja na mashirika ya kieneo, wamelaani vikali matamshi ya Netanyahu kuhusu "Israel Kubwa Zaidi," na kuyataja kuwa ni tishio la moja kwa moja kwa usalama wa kitaifa wa Kiarabu na amani ya kikanda.
-
UN: Israel imeshaua Wapalestina wasiopungua 1,760 Ghaza wanaokimbilia msaada wa chakula
Aug 16, 2025 03:09Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imetangaza kuwa tangu mwishoni mwa mwezi Mei hadi sasa, jeshi la Israel limeshawaua Wapalestina wasiopungua 1,760 walipokuwa wakihangaika kupata msaada wa chakula huko Ukanda wa Ghaza likiwa ni ongezeko la mamia kadhaa tangu ilipotoa takwimu zake za mwisho mwanzoni mwa mwezi huu wa Agosti.
-
Mawaziri maluuni wa kizayuni wanaweza kupandishwa kizimbani ICC katika kesi ya kwanza ya apatheidi
Aug 16, 2025 02:30Maombi ya kutolewa waranti wa kuwatia nguvuni mawaziri wawili wa utawala wa kizayuni Israel wenye msimamo mikali ya chuki Itamar Ben-Gvir na Bezalel Smotrich kwa mashtaka ya kuhusika na ubaguzi wa rangi wa utenganishaji (apartheid) yamekamilika, lakini bado hayajawasilishwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), kwa hofu ya vikwazo vya Marekani na mashinikizo kutoka nje.
-
Idadi ya wanaokufa kwa lisheduni Gaza inazidi kuongezeka
Aug 15, 2025 22:51Idadi ya watu wanaokufa kwa lisheduni katika Ukanda wa Gaza huko Gaza inazidi kuongezeka.
-
Sheikh Naim Qassim: Kamwe muqawama hautasalimisha silaha zake
Aug 15, 2025 07:47Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa , kamwe Kamwe muqawama hautasalimisha silaha zake.
-
HAMAS: Mpango wa Netanyahu wa 'Israel Kubwa Zaidi' ni tishio la wazi kwa mataifa ya Kiarabu na Waislamu
Aug 15, 2025 04:00Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS ametahadharisha kuhusu kupanuliwa kwa mipango ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kueleza kwamba hatua hiyo inakwenda sambamba na matamshi na ndoto za Benjamin Netanyahu kuhusu kuasisi "Israel Kubwa Zaidi."
-
Anas al-Sharif alimwambia mama yake ataondoka Ghaza ikiwa tu ni kwa ajili ya kuelekea Peponi
Aug 15, 2025 03:49Mama wa ripota Mpalaestina wa chaneli ya Aljazeera aliyeuliwa shahidi na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel amesema, mwanawe alikataa katakata kuondoka Ukanda wa Ghaza akisisitiza kuwa atafanya hivyo ikiwa tu ni kwa ajili ya kuelekea Peponi.
-
Saudia, Misri, Qatar, Jordan, Kuwait, Iraq na Arab League zalaani kauli ya Netanyahu ya 'Israel Kubwa Zaidi'
Aug 14, 2025 23:05Nchi kadhaa za Kiarabu ikiwa na pamoja ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu zimetoa taarifa tofauti za kulaani matamshi ya waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu ya kuunga mkono uwepo wa 'Israel Kubwa Zaidi' inayojumuisha maeneo ya kijiografia ya nchi kadhaa za Kiarabu.
-
Harakati ya Al-Nujabaa ya Iraq yatoa onyo kwa Marekani, Uingereza na utawala wa Kizayuni
Aug 14, 2025 23:00Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Iraq ya Al-Nujabaa amezionya Marekani, Uingereza na utawala wa Kizayuni wa Israel akisisitiza kuwa Muqawama wa Iraq umejiweka kwenye hali ya tahadhari.