-
Watoto 20,000 wa Gaza wanatabika kwa utapiamlo mkali
Aug 01, 2025 23:09Shirika la kimataifa la "Action Against Hunger" limeonya kwamba mzozo wa njaa katika Ukanda wa Gaza umeongezeka kwa kiasi kikubwa, na hilo limekuwa matokeo ya kimajanga kwa watoto na wanawake wa Ukanda huo.
-
Ujumbe wa Kongamano la Kimataifa la Palestina kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa
Aug 01, 2025 11:33Mkutano wa Kimataifa wa Palestina umeafiki kuchukua hatua za pamoja za kumaliza vita vya Israel dhidi ya watuu wa Gaza, na kuunga mkono kile kilichoitwa kuwa suluhisho la "nchi mbili" na kuanzishwa kwa taifa la Palestina.
-
Human Rights Watch: Mfumo wa ugavi wa misaada wa GHF huko Gaza umegeuka kuwa umwagaji damu
Aug 01, 2025 10:03Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema leo Ijumaa kwamba mfumo wa ugavi wa misaada huko Gaza umegeuka na kuwa bwawa ya umwagaji damu wa mara kwa mara, huku mauaji ya Israel yakiendelea dhidi ya watu wanaosumbuliwa na njaa wanaojaribu kupata chakula katika vituo vinavyoendeshwa na shirika la Gaza Humanitarian Foundation (GHF) linalosimamiwa na Wamarekani na Israel.
-
Jeshi la Yemen lashambulia ngome 3 za Israel kwa kutumia droni 5
Jul 31, 2025 08:47Jeshi la Yemen limetangaza kuwa limetekeleza mashambulizi matatu ya ndege zisizo na rubani (droni) katika maeneo matatu ya Israel.
-
Kwa nini Marekani inang'ang'ania Hizbullah ya Lebanon ipokonywe silaha?
Jul 31, 2025 05:19Duru za habari zimetangaza kuwa Marekani imeongeza mashinikizo yake kwa Lebanon ya kuitaka ipitishe haraka iwezekanavyo kupitia baraza lake la mawaziri uamuzi rasmi unaoiwajibisha kuipokonya silaha Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa nchi hiyo ya Hizbullah.
-
Sheikh Qassem: Hizbullah kamwe haitasalimu amri au kukabidhi silaha zake
Jul 31, 2025 04:07Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sheikh Naim Qassem amesema harakati hiyo ya muqawama kamwe haitakubali kukabidhi silaha zake kwa Israel.
-
Wanajeshi 16 wa Israel wamejiua mwaka huu
Jul 31, 2025 00:46Wanajeshi wasiopungua 16 wa utawala wa kizayuni wa Israel wanaripotiwa kujiua tangu kuanza mwaka huu (2025).
-
Mufti wa Oman: Wayameni wamevunja kila ngano na wamewafukuza maadui
Jul 31, 2025 00:45Mufti wa Oman ametoa tena pongezi zake kwa taifa la Yemen na kubainisha kwamba, walivunja kila ngano na wakawafukuza maadui.
-
Singapore iko tayari kulitambua taifa la Palestina
Jul 31, 2025 00:44Wakati mpango wa "mataifa mawili" ukisonga mbele katika Umoja wa Mataifa, unaotaka kuanzisha taifa huru la Palestina, serikali ya Singapore imetangaza kuwa iko tayari kutambua taifa la Palestina.
-
Yemen yazitahadharisha nchi za Kiarabu zinazouhami utawala wa Kizayuni
Jul 30, 2025 09:07Mwakilishi wa ngazi ya juu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameyatahadharisha makampuni ya meli kuhusu kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel.