-
Kwa nini eneo la kusini mwa dunia limejipanga dhidi ya sera za Trump?
Jul 25, 2025 08:34Nchi nne za Amerika ya Kusini na viongozi wa mrengo wa kushoto nchini Uhispania wameonya juu ya tishio la demokrasia duniani na kutoa mwito wa kuwepo umoja dhidi ya sera za Marekani na ongezeko misimamo ya kuufuurutu ada duniani.
-
Kuongezeka ubaguzi dhidi ya Waislamu Ulaya, mwanamke mwislamu auawa kwa kudungwa kisu Hanover
Jul 25, 2025 04:03Kundi la kutetea haki za binadamu limeonya kwamba chuki dhidi ya Uislamu nchini Ujerumani imefikia viwango vya kutisha.
-
Norway: Gaza ni Jahannamu halisi
Jul 25, 2025 03:21Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Norway ametaja hali ya maisha katika Ukanda wa Gaza kuwa ni "Jahannamu halisi" na kutoa wito wa kukomeshwa mara moja vita na kuadhibiwa viongozi wa kisiasa na kijeshi wa Israel.
-
Takwimu za kushindwa Trump katika vita vya pili dhidi ya Iran zavujishwa
Jul 25, 2025 03:03Tovuti za kufuatilia meli za mafuta zinaripoti kushindwa kwa Trump katika vita vya mafuta dhidi ya Iran. Ni baada ya kufeli juhudi za Donald Trump zilizolenga kupunguza mauzo ya mafuta ya Iran hadi sifuri kupitia vikwazo vya juu zaidi.
-
Tovuti ya data za ujasusi ya CIA yadukuliwa
Jul 25, 2025 02:40Wadukuzi wasiojulikana wamedukua tovuti ya Ofisi ya Kitaifa ya Upelelezi ya Marekani (NRO), ambayo hutumiwa na Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) na mashirika mengine ya upelelezi kusimamia kandarasi nyeti na kubadilishana taarifa na makampuni binafsi.
-
Je, Azimio la Baraza la Usalama Kuhusu Utatuzi wa Amani wa Migogoro Linaweza Kutekelezwa kwa Mujibu wa Hali ya Dunia ya Leo?
Jul 24, 2025 23:20Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha kwa kauli moja azimio linalozitaka nchi zote wanachama kutumia kwa ufanisi mbinu za utatuzi wa amani wa migogoro.
-
Wabunge wa Ulaya watoa wito wa kuwekewa vikwazo Israel
Jul 24, 2025 23:13Wabunge 60 wa Bunge la Ulaya wametia saini barua ya pamoja wakitaka hatua za haraka zichukuliwe kuwaokoa raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Maafisa wa Uingereza na Umoja wa Mataifa waitaka London kulitambua rasmi taifa la Palestina
Jul 24, 2025 08:39Zaidi ya maafisa 50 wa zamani wa Uingereza na Umoja wa Mataifa wamemwandikia barua Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer wakimtaka alitambue rasmi taifa la Palestina.
-
Wall Street Journal yafichua: Mwanasheria Mkuu wa Marekani amemwambia Trump jina lake liko kwenye faila la Jeffrey Epstein
Jul 24, 2025 08:38Gazeti moja la Marekani limeripoti kwamba Mwanasheria Mkuu wa nchi hiyo Mei mwaka huu alimwambia Rais Donald Trump kwamba jina lake liko kwenye faili za Jeffrey Epstein, bilionea mfisadi na mhalifu wa biashara haramu ya ngono na unyanyasaji wa kingono wa watoto wa Marekani.
-
Swali la Leo: Je, kauli ya Kaja Kallas Kwamba “Machaguo Yote Yako Mezani Dhidi ya Israel” ina mashiko yoyote?
Jul 24, 2025 07:20Kaja Kallas, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, amedai kuwa “mauaji ya raia wasio na hatia wa Kipalestina lazima yakome,” la sivyo, “Machaguo Yote Yatazingatiwa dhidi ya Israel.”