-
Vence adai Ulaya itakuwa hatari kwa Marekani, kwa kuwa eti itatawaliwa na Waislamu
Dec 23, 2025 11:56Makamu wa Rais wa Marekani J.D. Vance amedai kuwa, Ulaya Magharibi yenye silaha za nyuklia inaweza kuwa hatari kubwa ya kiusalama kwa Marekani ikiwa utambulisho wa kitaifa wa nchi zake utaendelea kubadilika kutokana na uhamiaji mkubwa unaofanyika katika nchi hizo.
-
Sambamba na kuanza tena chokochoko za Trump, EU yasema iko pamoja na Denmark, Greenland
Dec 23, 2025 11:18Umoja wa Ulaya umeonyesha mshikamano na Denmark na eneo la Greenland kufuatia tangazo la Rais wa Marekani Donald Trump la kuteua mjumbe wake maalumu katika eneo hilo.
-
Makundi ya kiraia A/Kusini yataka kupewa dhamana wanaharakati wa Palestina waliogoma kula katika jela za UK
Dec 23, 2025 08:08Makundi kadhaa ya kiraia nchini Afrika Kusini yametoa wito yakitaka kupewa dhamana haraka iwezekanavyo wanaharakati wawili watetezi wa Palestina waliogoma kula katika jela za Uingereza yakisema kuwa kuendelea kufungwa raia hao kunahatarisha maisha yao.
-
Venezuela yataka kuhitimishwa uwepo kijeshi wa Marekani katika eneo la Caribbean
Dec 23, 2025 08:03Venezuela imetoa wito wa "kusitishwa mara moja" utumaji wa wanajeshi wa Marekani katika eneo la Caribbean.
-
Wademocrat wataka kushinikizwa Israel kwa kukiuka usitishaji vita Gaza
Dec 23, 2025 08:00Makumi ya Wademokrat katika Bunge la Marekani wameitaka Ikulu ya Rais wa nchi hiyo (White House) kuushinikiza kidiplomasia utawala wa Israel ili usitishe ukiukaji wa mapatano ya kutisha mapigano katika Ukanda wa Gaza.
-
Ulaya na kupuuzwa nchi maskini; wakati kaulimbiu za haki za binadamu zinapopoteza maana yake
Dec 23, 2025 04:19Ulaya imefadhilisha kutoa misaada yake kwa Ukraine kuliko kutoa misaada hiyo kwa nchi maskini hasa za Afrika.
-
Jenerali wa ngazi ya juu wa Russia auawa katika shambulio la kuvizia mjini Moscow
Dec 22, 2025 10:44Wachunguzi wa Russia wamethibitisha kuwa Mkuu wa Kurugenzi ya Uendeshaji ya Mafunzo ya Vikosi vya Ulinzi vya Russia ameuawa baada ya mada ya mlipuko ilioyokuwa imetegwa chini ya gari yake kulipuka katika wilaya ya Yasenevo kusini mwa mji mkuu wa Russia, Moscow.
-
Meli iliyotekwa kiharamia na Marekani Venezuela ni ya China
Dec 22, 2025 02:51Duru moja ya habari nchini Marekani imefichua kuwa, meli ya mafuta iliyotekwa kiharamia na Marekani nje ya pwani ya Venezuela ni mali ya China si ya Venezuela.
-
Nyaraka za mahakama: Epstein alimuarifisha Trump kwa msichana wa miaka 14
Dec 22, 2025 02:50Uwasilishaji faili jipya la mahakama katika kesi ya Jeffrey Epstein unaonyesha kwamba, mfanyabiashara haramu huyo wa ngono alimtambulisha binti wa miaka 14 kwa Rais wa Marekani Donald Trump katika makazi yake ya Mar-a-Lago.
-
Venezuela imewezaje kuwa kinara wa ukuaji wa uchumi katika Amerika ya Latini?
Dec 22, 2025 02:48Venezuela, baada ya kuvuka kikwazo cha vikwazo vya kiuchumi, imejinyakulia kiwango cha juu zaidi cha ukuaji wa uchumi katika Amerika ya Kusini mwaka 2025.