-
SIPRI: Kushamiri kwa vita kumeyapatia faida ya kupindukia makampuni makuu ya uundaji silaha
Dec 01, 2025 03:01Takwimu mpya zilizotolewa kwenye ripoti ya Taasisi ya Utafiti wa Amani ya Kimataifa ya Stockholm (SIPRI) zinaoneysha kuwa, mapato yanayotokana na mauzo ya silaha na huduma za kijeshi ya makampuni 100 makubwa zaidi ya uundaji silaha duniani yalifikia rekodi ya dola bilioni 679 mwaka 2024.
-
Kampeni ya 'Komboa Mateka Wapalestina' walioko kwenye magereza ya Israel yazidi kupamba moto
Dec 01, 2025 02:15Maelfu ya waandamanaji jana Jumamosi walimiminika kwenye eneo la katikati mwa mji mkuu wa Uingereza, London katika maandamano ambayo ni sehemu ya kampeni ya "Komboa Mateka Wapalestina", wakitaka kuachiliwa huru Wapalestina zaidi ya 9,100 wanaoshikiliwa katika magereza ya kutisha ya utawala wa kizayuni wa Israel, wakiwemo zaidi ya wanawake na watoto 450.
-
ICC kupokea malalamiko dhidi ya viongozi wa FIFA na UEFA wanaohusika na uhalifu wa vita wa Israel
Nov 30, 2025 23:18Wachezaji wa kandanda wa Kipalestina, vilabu na mashirika ya kimataifa wanapanga kuwasilisha malalamiko katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) dhidi ya wakuu wa mashirikisho ya kandanda duniani, FIFA na UEFA, kwa msingi kuwa wamehusika katika kusaidia uhalifu wa vita na mfumo wa ubaguzi wa rangi wa utawala haramu wa Israel.
-
Changamoto za Umoja wa Ulaya katika kuchangisha fedha kwa ajili ya Ukraine
Nov 30, 2025 23:16Umoja wa Ulaya umekumbwa na changamoto nzito katika kuzishawishi nchi wanachama zikubali kuchangia fedha za kuendelea kuiunga mkono Ukraine kwenye vita vyao na Russia.
-
Venezuela: Tunathamini uungaji mkono madhubuti wa Iran dhidi ya vitisho vya Marekani
Nov 30, 2025 08:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela amesema nchi yake inathamini kwa dhati uungaji mkono wa Iran kwa nchi hiyo ya Amerika ya Latini mkabala wa vitisho vya kijeshi na mashinikizo ya Marekani.
-
Umoja wa Mataifa wataka kukomeshwa uvamizi wa Israel dhidi ya Palestina
Nov 30, 2025 04:10Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kukomeshwa kuikalia kwa mabavu Palestina na kulaani ukiukwaji mkubwa wa haki za Wapalestina katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.
-
Venezuela: Onyo la Donald Trump ni 'tishio la kikoloni'
Nov 30, 2025 04:09Serikali ya Venezuela imemshutumu Rais wa Marekani Donald Trump kwa kutoa "tishio la ukoloni" baada ya kusema anga kuzunguka nchi hiyo inapaswa kuchukuliwa kuwa imefungwa.
-
Ukraine yashambuliia meli mbili za mafuta za Russia Bahari Nyeusi
Nov 29, 2025 23:05Ripoti mbalimbali za vyombo vya habari zimesema kuwa, mashambulio ya Ijuuma dhidi ya meli mbili za mafuta za Russia katika Bahari Nyeusi yamefanywa na shirika la kijasusi la Ukraine na jeshi la wanamaji la nchi hiyo.
-
Sababu za Marekani kuitambua harakati ya Ikhwanul Muslimin kuwa ni tishio la kigaidi
Nov 29, 2025 23:03Rais Donald Trump wa Marekani ametia saini amri ya utendaji dhidi ya Ikhwanul Muslimin (Muslim Brotherhood), na kuyaweka baadhi ya matawi ya kundi hilo la Kiislamu katika orodha ya "mashirika ya kigeni ya kigaidi".
-
Waliofariki kwa mafuriko Indonesia wapindukia 300, kimbunga Ditwah kimeshaua 123 Sri Linka
Nov 29, 2025 09:43Shirika la Taifa la Usimamizi wa Maafa la Indonesia BNPB limetangaza leo kuwa idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi yaliyotokea wiki hii sasa imefikia 248, huku zaidi ya watu 100 wakiwa hawajulikani walipo, baada ya waokoaji katika wilaya ya Agam ya Sumatra Magharibi kupata miili zaidi.