-
Korea Kaskazini yaionya Korea Kusini kuhusu vitendo vya 'uchochezi'
Aug 23, 2025 23:28Korea Kaskazini imemuonya jirani yake Korea Kusini kuhusu vitendo vya 'uchochezi' na kumtaka aachane na hatua hizo kwani zitakuwa na matokeo mabaya.
-
Je, Israeli bado ni nchi ya kitaifa ya Mayahudi au ni kituo cha muda tu ambacho kinakimbiwa hata na wafuasi kindakindaki?
Aug 23, 2025 23:26Washirika wa muda mrefu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamevunja mwiko wa uungaji mkono usio na masharti kwa Tel Aviv kwa kulitambua rasmi taifa la Palestina na kulaani mienendo na sera za waziri mkuu katili wa utawala huo, Benjamin Netanyahu.
-
Jenerali wa Marekani aliyesema vituo vya nyuklia vya Iran viliharibika kidogo tu atimuliwa
Aug 23, 2025 06:07Waziri wa Ulinzi wa Marekani Pete Hegseth amemfukuza kazi jenerali ambaye tathmini yake ya awali ya kiintelijensia aliyotoa ilimkasirisha Rais wa nchi hiyo Donald Trump kwa kuripoti kwamba shambulio la kijeshi ililofanya Washington mwezi Juni dhidi ya vituo vya nyuklia vya lilisababisha uharibifu mdogo tu kwa vituo hivyo.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uholanzi ajiuzulu, kisa mkwamo wa vikwazo dhidi ya Israel
Aug 23, 2025 03:32Waziri wa Mambo ya Nje wa Uholanzi, Caspar Veldkamp amejiuzulu baada ya kushindwa kupata uungwaji mkono wa baraza la mawaziri kwa vikwazo zaidi dhidi ya Israel, kutokana na mashambulizi ya kijeshi ya utawala huo wa Kizayuni huko Gaza.
-
Kwa nini Rais wa Colombia ametahadharisha kuhusu njama za Marekani za kuigeuza Venezuela kuwa Syria nyingine?
Aug 23, 2025 00:28Rais wa Colombia ametahadharisha kuwa Marekani inaweza kuifanya Venezuela kuwa Syria nyingine.
-
Senegal yaitaka Marekani kuondoa vikwazo dhidi ya majaji wa ICC
Aug 23, 2025 00:23Serikali ya Senegali imeitaka Marekani iondoe vikwazo ilivyowawekea majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).
-
Rais wa Bolivia: US inatumia kisingizo cha 'vita dhidi ya mihadarati' kuidhibiti Amerika ya Latini
Aug 22, 2025 06:33Rais Luis Arce wa Bolivia amelaani hatua iliyochukuliwa hivi karibuni na Marekani ya kutuma wanajeshi wake katika Bahari ya Karibea kusini.
-
Shirika linaloungwa mkono na Umoja wa Mataifa latangaza rasmi njaa huko Gaza
Aug 22, 2025 04:01Shirika la The Integrated Food Security Phase Classification (IPC), linaloungwa mkono na Umoja wa Mataifa lenye jukumu la kutathmini njaa duniani, limetangaza rasmi baa la njaa katika Jiji la Gaza kwa mara ya kwanza.
-
Idadi ya Wamarekani wanaoomba hifadhi nchini Canada inaongezeka
Aug 22, 2025 03:31Data za Bodi ya Uhamiaji na Wakimbizi ya Canada zinaonyesha kwamba Wamarekani wengi wameomba hadhi ya ukimbizi nchini Canada katika nusu ya kwanza ya 2025 kuliko mwaka wote wa 2024, na zaidi ya mwaka wowote kamili tangu 2019.
-
Je, Marekani kwa vikwazo vipya dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) inajiona kuwa juu ya sheria?
Aug 21, 2025 09:31Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imetaja vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya taasisi hiyo kuwa ni shambulio la wazi dhidi ya uhuru wa mahakama.