-
Kushambulia ubalozi wa Uswidi jijini Baghdad; matokeo ya kuvunjiwa heshima matukufu ya Kiislamu
Jul 20, 2023 08:48Waandamanaji wa Iraq waliokuwa na hasira wameushambulia ubalozi wa Uswidi mjini Baghdad kujibu udhalilishaji uliopangwa dhidi ya Qur'ani Tukufu katika nchi hiyo ya Ulaya.
-
Hitilafu kubwa baina ya Riyadh na Abu Dhabi kuhusu uongozi wa Ulimwengu wa Kiarabu
Jul 20, 2023 08:34Katika ripoti yake ya karibuni, jarida la Wall Street Journal linalochapishwa Marekani limeashiria hitilafu kubwa za kimitazamo zilizopo kati ya Mohammad bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia, na Mohammad bin Zayed, Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati); na kuandika kuwa: Mgogoro huo, ambao dalili zake zilionekana kitambo nyuma, ulibainika hadharani Disemba mwaka uliopita.
-
Kuendelea siasa za kufutilia mbali sarafu ya dola katika biashara ya kimataifa
Jul 19, 2023 23:10India na Indonesia zimezindua mfumo mpya wa biashara ambapo zinapanga kufutilia mbali sarafu ya dola katika miamala yao ya biashara na kutumia sarafu za kitaifa katika uwanja huo. Lengo kuu la nchi hizo ni kukabiliana na changamoto za kimataifa na kuongeza kiwango cha ushirikiano wa pande mbili.
-
Malengo ya safari ya Erdogan nchini Saudi Arabia
Jul 19, 2023 03:32Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki ameitembelea Saudi Arabia huku akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa na kiuchumi wa nchi yake. Akiwa katika hatua ya kwanza ya safari yake ya siku tatu katika nchi kadhaa za Ghuba ya Uajemi, Erdogan aliwasili Jeddah, Saudi Arabia Jumatatu Julai 17.
-
Mgogoro wa chakula nchini Afghanistan, sababu na wasababishaji
Jul 18, 2023 23:08Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limekadiria idadi ya Waafghanistan ambao wanakosa chakula cha kutosha kuwa karibu milioni kumi na tano na kusisitiza haja ya kuendelea kutolewa msaada wa chakula kwa watu wasio na uwezo wa nchi hiyo.
-
Safari ya John Kerry mjini Beijing: Jitihada za kuzuia ukaribu wa China na Russia
Jul 18, 2023 01:49John Kerry, mwanadiplomasia mkongwe na mwakilishi maalum wa Marekani katika masuala ya tabianchi aliwasili China Jumapili.
-
Ukosoaji mkali wa Putin kwa hatua ya Ulaya ya kuifuata kibubusa Marekani
Jul 17, 2023 22:57Rais Vladimir Putin wa Russia amekosoa vikali kutokuwa huru nchi za Ulaya na kuwa tayari nchi hizo kutekeleza kibubusa amri na maagizo ya Marekani.
-
Malengo ya safari ya Mohammed Shia' Al Sudani nchini Syria
Jul 17, 2023 09:38Waziri Mkuu wa Iraq amefanya safari ya kuitembelea Syria ambayo ni ya kwanza kufanywa na waziri mkuu wa nchi hiyo huko Syria baada ya miaka 12. Mohammed Shia' Al Sudani amekutana na kuzungumza na Rais wa Syria, Bashar al-Assad.
-
Utunishaji misuli wa China karibu na kuanza mazoezi ya kijeshi ya Taiwan
Jul 16, 2023 23:32Sambamba na kukaribia kuanza mazoezi ya kijeshi ya kila mwaka ya Taiwan yanayofanyika kwa anuani ya Han Kuang, jeshi la China limetuma makumi ya ndege za kivita na manowari kuzunguka kisiwa hicho.
-
Sisitizo la Russia la kuheshimu umoja wa ardhi yote ya Iran
Jul 16, 2023 04:34Mikhail Bogdanov, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia na mwakilishi maalumu wa rais wa nchi hiyo katika masuala ya Asia Magharibi na Afrika, amesisitiza juu ya kuheshimiwa mamlaka na umoja wa ardhi yote ya Iran kama nchi rafiki. Bogdanov ameyasema hayo katika mkutano na Kazem Jalali, Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Moscow.