Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Tanzania yatilia mkazo katika mkutano wa UNGA dai la Afrika kuwa na viti viwili vya kudumu katika UNSC

    Tanzania yatilia mkazo katika mkutano wa UNGA dai la Afrika kuwa na viti viwili vya kudumu katika UNSC

    Sep 27, 2025 02:24

    Makamu wa Rais wa Tanzania Philip Mpango amesisitiza msimamo wa muda mrefu wa bara la Afrika wa kudai kuwa na angalau viti viwili vya kudumu vyenye kura ya turufu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, kwa mujibu wa Makubaliano ya Ezulwini.

  • Kwa nini nchi tatu za Kiafrika zimejitoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ?

    Kwa nini nchi tatu za Kiafrika zimejitoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ?

    Sep 27, 2025 02:14

    Nchi tatu za Kiafrika zimetangaza kuwa zimehitimisha unachama wao katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • Rais wa Kenya atoa hotuba kali UNGA, asema mabadiliko ya Baraza la Usalama si 'kuifanyia fadhila Afrika'

    Rais wa Kenya atoa hotuba kali UNGA, asema mabadiliko ya Baraza la Usalama si 'kuifanyia fadhila Afrika'

    Sep 25, 2025 06:41

    Rais wa Kenya William Ruto ametoa hotuba kali katika kikao cha 80 cha Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jijini New York siku ya Jumatano.

  • UN, AU na EU zaahidi kushirikiana kwa ajili ya amani na maendeleo barani Afrika

    UN, AU na EU zaahidi kushirikiana kwa ajili ya amani na maendeleo barani Afrika

    Sep 23, 2025 02:57

    Viongozi wa Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika AU na Umoja wa Ulaya EU, wametilia mkazo tena dhamira yao ya kuendeleza amani na maendeleo endelevu barani Afrika, kwa kuahidi ushirikiano wa kina zaidi ili kukomesha migogoro, kuimarisha mnepo na kukabiliana na changamoto za kimataifa kuanzia madeni hadi mabadiliko ya tabianchi.

  • Sababu za kuongezeka maradufu mauzo ya Iran barani Afrika

    Sababu za kuongezeka maradufu mauzo ya Iran barani Afrika

    Sep 20, 2025 02:33

    Mauzo ya Iran barani Afrika yameongezeka maradufu.

  • Africa CDC: Kwa muda wa wiki moja, kesi za Ebola zimeongezeka zaidi ya maradufu mkoani Kasai, DRC

    Africa CDC: Kwa muda wa wiki moja, kesi za Ebola zimeongezeka zaidi ya maradufu mkoani Kasai, DRC

    Sep 12, 2025 10:27

    Kituo cha Afrika cha Kudhibiti na Kuzuia Maradhi, (Africa CDC) kimetangaza kuwa, idadi ya watu wanaoshukiwa kuwa na ugonjwa hatari wa Ebola katika jimbo la Kasai kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeongezeka zaidi ya maradufuu katika muda wa wiki moja tangu ulipothibitishwa mripuko mpya wa ugonjwa huo katika eneo hilo.

  • Mkutano wa pili wa hali ya hewa Afrika wazinduliwa Addis Ababa, Ethiopia

    Mkutano wa pili wa hali ya hewa Afrika wazinduliwa Addis Ababa, Ethiopia

    Sep 09, 2025 07:11

    Mkutano wa Pili wa Hali ya Hewa wa Afrika ulizinduliwa jana huko Addis Ababa mji mkuu wa Ethiopia huku viongozi wakitoa wito wa kuachana na utoaji matamshi pekee na kujikita katika uchukuaji hatua.

  • Afrika CDC: Mpox bado ni dharura ya kiafya barani Afrika

    Afrika CDC: Mpox bado ni dharura ya kiafya barani Afrika

    Sep 05, 2025 07:04

    Ugonjwa wa Mpox ambao umeenea katika nchi za Kiafrika na kuua mamia ya watu, bado ni dharura ya kiafya katika bara hilo. Taarifa hii imetolewa na Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Barani Afrika (Africa CDC).

  • Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Zambia ahukumiwa kifungo cha miaka 4 jela kwa ufisadi

    Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Zambia ahukumiwa kifungo cha miaka 4 jela kwa ufisadi

    Sep 04, 2025 13:14

    Mahakama ya Zambia leo Alhamisi imemhukumu Joseph Malanji aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo kifungo cha miaka minne jela na kazi ngumu kwa kupatikana na hatia ya ufisadi.

  • AU yatiwa wasiwasi na makubaliano ya mataifa ya Afrika kupokea wahamiaji wa Marekani

    AU yatiwa wasiwasi na makubaliano ya mataifa ya Afrika kupokea wahamiaji wa Marekani

    Sep 02, 2025 06:26

    Baraza la haki la Umoja wa Afrika (AU) limeelezea wasiwasi wake kuhusu makubaliano ya Washington na nchi kadhaa za Afrika, ambayo yanaruhusu nchi hizo za Kiafrika kupokea wahamiaji waliofukuzwa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS