-
Wanahabari wa Afrika wataka Israel iwajibishwe kwa shambulio la Gaza
Jun 15, 2021 22:04Waandishi wa habari wa Afrika wameutaka Umoja wa Afrika (AU) ulaani mienendo ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwashambulia wanahabari wa Palestina, sanjari na kuubebesha dhima kisheria utawala huo kwa jinai zake dhidi ya wanahabari.
-
Africa CDC: Ni asilimia 0.6 tu ya watu wa Afrika ndio waliopata chanjo kamili ya COVID-19
Jun 11, 2021 08:12Kituo cha Udhibiti wa Magonjwa Afrika (Africa CDC) kimetangaza kuwa, hadi sasa nchi za Afrika zimepata dozi milioni 55 za chanjo za COVID-19.
-
Viongozi wa Kiafrika wajadili hali ya kisiasa Chad; wawataka wanasiasa kuzingatia maslahi ya taifa
Jun 05, 2021 03:28Viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Katikati mwa Afrika wamekutana huko Brazaville mji mkuu wa Congo kufuatia kuongezeka hali ya wasiwasi katika nchi ya Chad. Viongozi wa Congo, Angola, Jamhuri ya Afrika ya Kati na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameshiriki kikao hicho.
-
AU pia yasimamisha uanachama wa Mali, yatishia vikwazo
Jun 02, 2021 02:21Umoja wa Afrika umetangaza kusimamisha uanachama wa Mali, ikiwa ni jibu kwa hatua ya wiki iliyopita ya jeshi la nchi hiyo ya Afrika Magharibi kufanya mapinduzi dhidi ya serikali ya mpito.
-
Zimbabwe ni miongoni mwa nchi bora katika malipo ya mtandaoni barani Afrika
May 28, 2021 22:09Zimbabwe imepiga hatua kubwa katika sekta ya teknolojia za kidijitali ikiwa ni pamoja na mapinduzi katika malipo ya pesa kwa kutumia simu za mkononi ambapo hivi sasa watu milioni 7.67 kati ya milioni 14.5 nchini humo wanatumia simu za mkononi katika miamala ya kifedha.
-
Mataifa ya Kiafrika yalaani uvamizi wa Wazayuni dhidi ya Masjidul-Aqswa
May 10, 2021 03:19Mataifa ya Kiislamu barani Afrika yametoa taarifa ya kulaani hujuma na uvamizi wa jeshi la utawala haramu wa Israel dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa, kibla cha kwanza cha Waislamu.
-
AU: Tuko tayari kusimamia mazungumzo ya kukwamua mgogoro wa kisiasa Somalia
Apr 22, 2021 22:02Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika limesema liko tayari kuandaa na kusimamia mazungumzo ya kukwamua mgogoro wa kisiasa unaoikabili Somalia.
-
Mwanachuo wa kike wa Iran atunukiwa tuzo katika Shindano la Ubinifu Afrika
Apr 22, 2021 22:01Mwanafunzi wa kike wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametunukiwa medali mbili tofauti katika Shindano la Ubunifu Afrika la mwaka huu 2021.
-
Mwongozo wa ustawi wa biashara ya kilimo Afrika wazinduliwa
Apr 16, 2021 00:04Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa FAO, na Idara ya Kilimo, Maendeleo Vijijini, Uchumi wa Bahari na Maendeleo Endelevu ya Muungano wa Afrika, AUC-DARBE, zimezindua mwongozo wa kukuza biashara ya kilimo miongoni mwa mataifa ya Afrika chini ya makubaliano mapya ya Eneo la Biashara Huru barani humo, AfCFTA.
-
Viongozi wa Msumbiji waeleza wasiwasi wao kuhusiana na harakati za kundi la Daesh nchini humo
Apr 11, 2021 22:21Katika miaka ya hivi karibuni makundi ya kigaidi yameimarisha harakati zao katika nchi mbalimbali za Kiafrika. Genge la Daesh ni miongoni wa makundi hayo ya kigaidi ambayo yamezidisha mashambulizi na harakati zao katika nchi za Afrika.