Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Interpol yakamata makumi ya wafanya magendo ya binadamu

    Interpol yakamata makumi ya wafanya magendo ya binadamu

    Apr 10, 2021 23:06

    Polisi ya Kimataifa (Intepol) imesema imewatia mbaroni wafanya magendo ya binadamu zaidi ya 80, na wasafirishaji haramu wa wahajiri wapatao 63 katika opersheni iliyofanyika katika nchi 24 duniani.

  • Msumbiji yatuma timu ya madaktari kutambua wahanga wa shambulio la kigaidi huko Palma

    Msumbiji yatuma timu ya madaktari kutambua wahanga wa shambulio la kigaidi huko Palma

    Apr 09, 2021 11:22

    Msemaji wa jeshi la Msumbiji amesema kuwa nchi hiyo inatuma timu ya madaktari ili kutambua miili ya watu 12 waliouawa katika shambulio la magaidi wenye uhusiano na kundi la Daesh katika machimbo ya gesi asilia kwenye mji wa Palma kaskazini mwa Msumbiji.

  • Kushtadi harakati za makundi ya kigaidi barani Afrika

    Kushtadi harakati za makundi ya kigaidi barani Afrika

    Mar 30, 2021 22:35

    Makundi ya kigaidi yameshadidisha harakati zao katika maeneo mbali mbali barani Afrika ambapo tukio la karibuni kabisa ni kudhibiwa na magaidi wa al-Shabab mji wa pwani wa Palma wa kaskazini mwa Msumbiji.

  • Wakazi wa Kanda ya Ziwa Tanzania wamuaga Magufuli, Majaliwa asema ameacha alama kote nchini

    Wakazi wa Kanda ya Ziwa Tanzania wamuaga Magufuli, Majaliwa asema ameacha alama kote nchini

    Mar 24, 2021 09:54

    Wananchi wa Mwanza na mikoa jirani ya Kanda ya Ziwa nchini Tanzania wamejitokeza kwa wingi kwenye barabara na mitaa ya Mwanza kumuaga aliyekua Rais wa Tanzania, Dk John Magufuli.

  • UN yatafuta dola milioni 266 kuwanusuru wakimbizi milioni tatu katika nchi za Afrika Mashariki

    UN yatafuta dola milioni 266 kuwanusuru wakimbizi milioni tatu katika nchi za Afrika Mashariki

    Mar 03, 2021 00:52

    Mashirika ya Umoja wa Mataifa yanasaka dola milioni 266 ili kunusuru wakimbizi milioni tatu waliokumbwa na mkato wa mgao kwenye nchi za Afrika Mashariki.

  • Iran yasafirisha kwa wingi matrekta katika nchi za Afrika, Asia

    Iran yasafirisha kwa wingi matrekta katika nchi za Afrika, Asia

    Feb 07, 2021 04:10

    Afisa Mkuu Mtendaji wa Shirika la Kuzalisha Matrekta la Iran amesema nchi hii imeanza kuuza kwa wingi tingatinga katika nchi za Afrika, Asia na Amerika ya Latini.

  • Viongozi wa Afrika leo wanakutana kujadili corona, usalama

    Viongozi wa Afrika leo wanakutana kujadili corona, usalama

    Feb 06, 2021 01:19

    Viongozi wa bara la Afrika leo wanashiriki katika Mkutano wa 34 wa Kilele wa Umoja wa Afrika kujadili masuala ya usalama na janga la corona au COVID-19.

  • Afrika yaagiza dozi milioni 400 zaidi za Covid-19

    Afrika yaagiza dozi milioni 400 zaidi za Covid-19

    Jan 29, 2021 04:08

    Kituo cha Umoja wa Afrika cha kudhibiti na kuzuia magonjwa (Africa-CDC) kimesema bara hilo limefanikiwa kuagiza dozi milioni 400 za chanjo za Covid-19 zaidi, baada ya kuagiza dozi milioni 270 za chanjo hizo hapo awali.

  • Mamia ya mamilioni ya Waafrika wanangojea kupatiwa chanjo ya corona

    Mamia ya mamilioni ya Waafrika wanangojea kupatiwa chanjo ya corona

    Jan 24, 2021 10:26

    Kuzuka kirusi kinachosambaa kwa kasi zaidi cha corona barani Afrika kumesababisha kuongezeka kwa kasi idadi ya watu wanaoambukizwa maradhi ya Covid-19 barani humo; na kutokana na hali hiyo, kupatiwa chanjo ya kinga ndiyo matumaini pekee waliyonayo sasa watu wa bara hilo kwa ajili ya kukabiliana na maradhi hayo.

  • Corona imeua wanahabari 28 barani Afrika tokea Machi 2020

    Corona imeua wanahabari 28 barani Afrika tokea Machi 2020

    Jan 06, 2021 23:07

    Shirika moja la kufuatilia maslahi ya waandishi wa habari la Uswisi limesema jumla ya waandishi wa habari 600 wameaga dunia kutokana na ugonjwa wa Covid-19 kote duniani tokea mwezi Machi mwaka uliomalizika 2020 hadi sasa, ambapo 28 miongoni mwao ni wa nchi za Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS