-
Interpol yakamata makumi ya wafanya magendo ya binadamu
Apr 10, 2021 23:06Polisi ya Kimataifa (Intepol) imesema imewatia mbaroni wafanya magendo ya binadamu zaidi ya 80, na wasafirishaji haramu wa wahajiri wapatao 63 katika opersheni iliyofanyika katika nchi 24 duniani.
-
Msumbiji yatuma timu ya madaktari kutambua wahanga wa shambulio la kigaidi huko Palma
Apr 09, 2021 11:22Msemaji wa jeshi la Msumbiji amesema kuwa nchi hiyo inatuma timu ya madaktari ili kutambua miili ya watu 12 waliouawa katika shambulio la magaidi wenye uhusiano na kundi la Daesh katika machimbo ya gesi asilia kwenye mji wa Palma kaskazini mwa Msumbiji.
-
Kushtadi harakati za makundi ya kigaidi barani Afrika
Mar 30, 2021 22:35Makundi ya kigaidi yameshadidisha harakati zao katika maeneo mbali mbali barani Afrika ambapo tukio la karibuni kabisa ni kudhibiwa na magaidi wa al-Shabab mji wa pwani wa Palma wa kaskazini mwa Msumbiji.
-
Wakazi wa Kanda ya Ziwa Tanzania wamuaga Magufuli, Majaliwa asema ameacha alama kote nchini
Mar 24, 2021 09:54Wananchi wa Mwanza na mikoa jirani ya Kanda ya Ziwa nchini Tanzania wamejitokeza kwa wingi kwenye barabara na mitaa ya Mwanza kumuaga aliyekua Rais wa Tanzania, Dk John Magufuli.
-
UN yatafuta dola milioni 266 kuwanusuru wakimbizi milioni tatu katika nchi za Afrika Mashariki
Mar 03, 2021 00:52Mashirika ya Umoja wa Mataifa yanasaka dola milioni 266 ili kunusuru wakimbizi milioni tatu waliokumbwa na mkato wa mgao kwenye nchi za Afrika Mashariki.
-
Iran yasafirisha kwa wingi matrekta katika nchi za Afrika, Asia
Feb 07, 2021 04:10Afisa Mkuu Mtendaji wa Shirika la Kuzalisha Matrekta la Iran amesema nchi hii imeanza kuuza kwa wingi tingatinga katika nchi za Afrika, Asia na Amerika ya Latini.
-
Viongozi wa Afrika leo wanakutana kujadili corona, usalama
Feb 06, 2021 01:19Viongozi wa bara la Afrika leo wanashiriki katika Mkutano wa 34 wa Kilele wa Umoja wa Afrika kujadili masuala ya usalama na janga la corona au COVID-19.
-
Afrika yaagiza dozi milioni 400 zaidi za Covid-19
Jan 29, 2021 04:08Kituo cha Umoja wa Afrika cha kudhibiti na kuzuia magonjwa (Africa-CDC) kimesema bara hilo limefanikiwa kuagiza dozi milioni 400 za chanjo za Covid-19 zaidi, baada ya kuagiza dozi milioni 270 za chanjo hizo hapo awali.
-
Mamia ya mamilioni ya Waafrika wanangojea kupatiwa chanjo ya corona
Jan 24, 2021 10:26Kuzuka kirusi kinachosambaa kwa kasi zaidi cha corona barani Afrika kumesababisha kuongezeka kwa kasi idadi ya watu wanaoambukizwa maradhi ya Covid-19 barani humo; na kutokana na hali hiyo, kupatiwa chanjo ya kinga ndiyo matumaini pekee waliyonayo sasa watu wa bara hilo kwa ajili ya kukabiliana na maradhi hayo.
-
Corona imeua wanahabari 28 barani Afrika tokea Machi 2020
Jan 06, 2021 23:07Shirika moja la kufuatilia maslahi ya waandishi wa habari la Uswisi limesema jumla ya waandishi wa habari 600 wameaga dunia kutokana na ugonjwa wa Covid-19 kote duniani tokea mwezi Machi mwaka uliomalizika 2020 hadi sasa, ambapo 28 miongoni mwao ni wa nchi za Afrika.