-
Maambukizi ya Covid-19 yapungua katika nchi 32 za Afrika
Aug 25, 2020 03:45Kituo cha Kukinga na KUdhibiti Magonjwa cha Afrika (Afrika CDC) kimesema hivi sasa nchi 32 za Afrika zimeripoti chini ya maambukizi 5,000 ya ugonjwa wa Covid-19, huku maambukizi mapya yakiongezeka kwa kasi katika nchi chache barani humo.
-
Waathirika wa corona barani Afrika wapindukia milioni moja na 183 elfu
Aug 23, 2020 22:05Watu zaidi ya milioni moja na 183,000 wameambukizwa virusi vya corona barani Afrika.
-
Wanasayansi nchini China wagundua mbinu inayoweza kutumiwa kuangamiza nzige
Aug 18, 2020 21:56Wanasayansi nchini China wamegundua mada zenye harufu ambazo hutolewa na nzige na kusababisha wajikusanye kwenye makundi.
-
Ripoti za jaribio la mapinduzi Mali, milio ya risasi yasikika Bamako, na mawaziri watiwa nguvuni
Aug 18, 2020 09:08Jeshi la Mali limeweka vizuizi katika kambi moja iliyopo katika viunga vya mji mkuu wa nchi hiyo, Bamako huku raia wa eneo hilo wakisema kuwa milio ya risasi inaendelea kusikika katika eneo hilo.
-
Nchi 7 za Kiafrika kuanza kupima antibodi za Covid-19
Aug 13, 2020 22:24Nchi saba za Kiafrika kuanzia wiki ijayo zitaanza kupima antibodi za virusi vya corona katika juhudi za kutambua kiwango cha maambukizi hayo barani Afrika.
-
Wagonjwa wa corona Afrika wapindukia milioni moja, karibu elfu 24 wamefariki dunia
Aug 12, 2020 23:02Takwimu za karibuni zinaonesha kuwa, idadi ya watu walioathiriwa na virusi vya corona barani Afrika imepindukia watu milioni moja na 69 elfu.
-
Upinzani Ivory Coast: Muhula wa tatu wa urais wa Ouattara utaibua machafuko nchini
Aug 07, 2020 23:54Uamuzi wa Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast wa kugombea kiti cha urais kwa muhula wa tatu unakiuka katiba na utasababisha machafuko katika nchi hiyo ambayo bado inajikwamua kutoka kwenye vita vya ndani. Hayo yalielezwa jana Ijumaa na mrengo wa upinzani.
-
Walioambukizwa corona Afrika wapindukia milioni moja
Aug 07, 2020 06:37Idadi ya maambukizi ya virusi vya corona barani barani Afrika imepindukia milioni moja huku karibu ya nusu walioambukizwa wakiwa Afrika Kusini.
-
Maambukizi ya COVID-19 yaongezeka Afrika, yapindukia 800,000
Jul 27, 2020 02:43Maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 au corona barani Afrika yanaongezeka kwa kasi na hadi kufikia Jumapili waliokuwa wameabukizwa ugonjwa huo barani humo walikuwa ni 828,214.
-
Wagonjwa wa COVID-19 wapindukia laki saba barani Afrika
Jul 19, 2020 19:58Idadi ya wagonjwa wa COVID-19 waliothibitishwa hadi kufikia jana asubuhi barani Afrika walikuwa ni laki saba na 1,573. Hayo ni kwa mujibu wa Kituo cha Kinga na Udhibiti wa Magonjwa Afrika (CDC).