-
Janga la corona kusababisha watu milioni 50 Afrika kukumbwa na umaskini
Jul 10, 2020 03:08Watu milioni 50 katika nchi za Afrika yumkini wakatumbukia katika lindi la umaskini wa kupindukia kutokana na makali ya janga la corona.
-
Kesi za corona zilizothibitishwa barani Afrika zapindukia 500,000
Jul 09, 2020 11:00Idadi ya kesi za ugonjwa wa Covid-19 (corona) zilizothibitishwa katika nchi za Afrika kufikia leo Alkhamisi ni zaidi ya laki tano.
-
Rekodi mpya walioambukizwa COVID-19 Afrika, tahadhari yatolewa
Jun 27, 2020 03:47Idadi kubwa zaidi ya walioambukizwa COVID-19 au corona barani Afrika imeripotiwa Ijumaa huku tahadahri ikitolewa kuwa ugonjwa huo unaenea kwa kasi barani humo.
-
Uturuki: UAE inataka kuchochea uasi dhidi ya serikali za Afrika
Jun 19, 2020 23:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ameutuhumu Umoja wa Falme za Kiarabu kuwa unapania kuchochea harakati za uasi dhidi ya serikali katika nchi za Afrika.
-
Indhari kuhusu ongezeko la kasi la maambukizi ya COVID-19 barani Afrika
Jun 16, 2020 00:27Mtaalamu mmoja amebainisha wasi wasi wake kuhusu ongezeko la maamubukizi ya ugonjwa wa COVID-19 barani Afrika.
-
UN: Athari za corona kuua watoto 50,000 Afrika Kaskazini na Asia Magharibi
Jun 15, 2020 10:40Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, yumkini athari za ugonjwa wa COVID-19 zikaua makumi ya maelfu ya watoto katika nchi za kaskazini mwa Afrika na Asia Magharibi.
-
Nchi 43 za Afrika zafunga mipaka zikihofia wimbi la pili la corona
Jun 14, 2020 22:39Nchi 43 za Afrika zimefunga mipaka yao kutokana na kasi ya juu ya maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 (corona) barani humo.
-
Mazungumzo kuhusu ubaguzi wa kizazi; mwito wa nchi za Afrika kwa Baraza la Haki za Binadamu
Jun 13, 2020 23:14Kuuliwa kikatili Mmarekani Mwafrika, Geroge Floyd, kulikofanywa na polisi mzungu tarehe 25 Mei huko Minneapolis, katika jimbo la Minnesota nchini Marekani si tu kumezusha wimbi kubwa la maandamano ndani ya nchi hiyo, bali dunia nzima imeripuka kwa maandamano ya kushinikiza mapambano ya kweli dhidi ya ubaguzi wa rangi na ukatili wa jeshi la polisi la Marekani.
-
Nchi za Afrika zataka Baraza la Haki za Binadamu la UN lijadili ubaguzi
Jun 13, 2020 08:09Nchi za Afrika zimetoa mwito wa kufanyika mkutano wa dharura wa kujadili ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi ya Marekani katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa.
-
Vikosi vya Usalama vimeua watu 200 eneo la Sahel barani Afrika
Jun 10, 2020 07:34Vikosi vya ulinzi na usalama katika ukanda wa Sahel barani Afrika vimeua raia 200 kati ya mwezi Februari na Aprili mwaka huu.