Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yatwaa ngome kuu ya Haftar magharibi mwa Libya

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yatwaa ngome kuu ya Haftar magharibi mwa Libya

    Jun 05, 2020 08:07

    Jeshi la Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya limetangaza kuwa limetwaa ngome kuu ya mwisho ya wapiganaji wa jenerali muasi, Khalif Haftar huko magharibi mwa Libya.

  • Hali ya maambukizi ya corona nchini Senegal inatia wasiwasi

    Hali ya maambukizi ya corona nchini Senegal inatia wasiwasi

    Jun 01, 2020 03:05

    Hali ya maambukizi ya virusi vya corona nchini Senegal khususan katika mji mkuu wa nchi hiyo imewapelekea maafisa wa afya na tiba wa nchi hiyo kubainisha wasiwasi wao.

  • AU yalaani ukatili wa polisi ya Marekani dhidi ya raia weusi

    AU yalaani ukatili wa polisi ya Marekani dhidi ya raia weusi

    May 30, 2020 03:44

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amelaani vikali mauaji ya raia mweusi nchini Marekani katika jimbo la Minnesota, licha ya kuwa hakuwa na silaha yoyote.

  • Mkutano wa 'Siku ya Afrika' wafanyika kwa njia ya video

    Mkutano wa 'Siku ya Afrika' wafanyika kwa njia ya video

    May 26, 2020 06:03

    Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika limefanya mkutano wa kuadhimisha Siku ya Afrika kwa njia ya video, na kutoa wito kwa Waafrika kuimarisha uhusiano wao ili kufikia maendeleo na amani.

  • Wasi wasi wa WHO kuhusu kuenea kimya kimya COVID-19 barani Afrika

    Wasi wasi wa WHO kuhusu kuenea kimya kimya COVID-19 barani Afrika

    May 26, 2020 05:50

    Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema ingawa Afrika ndilo eneo ambalo lina idadi ndogo zaidi ya waathirika wa ugonjwa wa COVID-19 lakini kuna wasi wasi kuwa ugonjwa huo utaenea kimya kimya iwapo viongozi wa bara hilo hawatalipa umuhimu suala ya vipimo.

  • "Iran ipo tayari kuzipa nchi za Afrika uzoefu wake wa kukabiliana na corona"

    May 25, 2020 22:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kuyapa mataifa ya Afrika uzoefu wake katika suala la kupambana na ugonjwa wa COVID-19 (Corona).

  • Baadhi ya Waislamu katika nchi za Mashariki na Magharibi mwa Afrika wasali Iddi leo

    Baadhi ya Waislamu katika nchi za Mashariki na Magharibi mwa Afrika wasali Iddi leo

    May 23, 2020 06:12

    Baadhi ya Waislamu katika nchi kadhaa za mashariki na magharibi mwa Afrika wamesali na kusherehekea sikukuu ya Idul-Fitr, huku aghalabu ya Waislamu duniani wakitazamiwa kuadhimisha sala na sherehe hizo kesho Jumapili.

  • Uchaguzi mkuu Burundi wafanyika leo licha ya changamoto ya virusi vya Corona

    Uchaguzi mkuu Burundi wafanyika leo licha ya changamoto ya virusi vya Corona

    May 20, 2020 07:04

    Wananchi wa Burundi waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wamejitokeza na kushiriki katika uchaguzi wa Rais na wawakilishi wao wa Bunge licha ya kuweko changamoto mbalimbali kama tishio la virusi vya Corona.

  • Umoja wa Mataifa: Huenda mamilioni wakakumbwa na baa la njaa Afrika kutokana na janga la Corona

    Umoja wa Mataifa: Huenda mamilioni wakakumbwa na baa la njaa Afrika kutokana na janga la Corona

    May 20, 2020 06:59

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha juu ya mamilioni ya watu kukumbwa na baa la njaa barani Afrika litakalosababishwa na janga la sasa la virusi vya Corona.

  • WHO yatoa utabiri wake mpya kuhusiana na hali ya Corona barani Afrika

    WHO yatoa utabiri wake mpya kuhusiana na hali ya Corona barani Afrika

    May 16, 2020 08:06

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa utabiri likisema kuwa robo moja ya jamii ya watu bilioni moja barani Afrika, itapatwa na virusi vya Corona kufikia mwaka ujao wa 2021.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS