-
Rais wa Togo ashinda kwa kishindo katika uchaguzi uliokumbwa na maandamano ya wapinzani
Feb 24, 2020 08:13Rais Faure Gnassingbe wa Togo ametangazwa mshindi wa asilimia 72 ya kura zilizopigwa katika uchaguzi uliokumbwa na maandamano ya wapinzani waliomtaka ajiuzulu.
-
Kupingwa mpango wa Muamala wa Karne na viongozi wa Afrika
Feb 11, 2020 23:26Tangu mpango wa Marekanii uliopewa jina la Muamala wa Karne ulipozinduliwa na Rais Donald Trump wa Marekani, mataifa na asasi mbalimbali za kieneo na kimataifa zimetangaza wazi kuupinga na kuukataa mpango huo na kuutaja kama mpango wa kidhalimu.
-
Ramaphosa: Mapendekezo ya Muamala wa Karne yanafanana na ya 'apartheid'
Feb 10, 2020 09:11Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema mapendekezo ya Rais Donald Trump kwenye 'Muamala wa Karne' yanashabihiana na mfumo wa kipindi cha utawala wa ubaguzi wa rangi (apartheid) katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.
-
Ramaphosa: Tusiruhusu vita vya niaba barani Afrika
Feb 10, 2020 04:04Mwenyekiti mpya wa Umoja wa Afrika amesema kuwa, Waafrika hawapasi kuruhusu bara lao liwe medani ya vita vinavyopiganwa kwa niaba ya pande nyingine.
-
Umoja wa Afrika wapinga Muamala wa Karne uliobuniwa na Marekani
Feb 09, 2020 23:38Mkuu wa Kamisheni ya Afrika amesema kuwa, mpango wa Muamala wa Karne uko dhidi ya Wapalestina na unakinzana na sheria za kimataifa.
-
António Guterres ataka kuhitimishwa mapigano ya silaha barani Afrika
Feb 09, 2020 23:38António Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa kuhitimishwa mapigano ya silaha barani Afrika, ni moja ya masuala muhimu na ya msingi katika kulindwa haki za binaadamu.
-
Waafrika milioni 239 wanakabiliwa na njaa, utapiamlo
Feb 09, 2020 08:44Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kilimo na Chakula la Umoja wa Mataifa FAO Marina Helena Semedo amesema watu takriban milioni 239 wa Afrika eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara wanakabiliwa na tatizo la njaa na utapiamlo.
-
Rais wa Kenya aonya kuhusu ushindani wa Marekani na China barani Afrika
Feb 06, 2020 08:46Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametahadharisha kuhusiana na ushindani wa Marekani na China barani Afrika na kubainisha kwamba, madola ya kigeni yanazidisha mgawanyiko na mivutano katika bara hilo.
-
Bara la Afrika katika juhudi za kukabiliana na virusi vya Corona
Feb 06, 2020 04:20Ripoti za mashirika ya kimataifa zinasema kuwa nchi za bara la Afrika zimezidisha hatua za kiafya kwa ajili ya kukabiliana na maambukizo ya virusi vya Corona na namna ya kuzuia ugonjwa huo.
-
Shambulio la nzige Afrika, Somalia yatangaza janga la taifa
Feb 02, 2020 23:37Somalia imekuwa nchi ya kwanza ya Pembe ya Afrika kutangaza kuwa, wimbi la nzige waliovamia nchi hiyo ni janga na kwamba kupambana na janga hilo ni jambo la dharura kitaifa.