Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • UNDP: Janga la corona linaweza kusambaratisha uchumi wa bara la Afrika

    UNDP: Janga la corona linaweza kusambaratisha uchumi wa bara la Afrika

    Apr 16, 2020 10:31

    Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) katika kanda ya Afrika ametahadharisha kuwa, kuenea kwa virusi vya corona barani Afrika kunaweza kusambaratisha uchumi wa nchi za bara hilo.

  • Waliopona Corona katika nchi za Afrika ni zaidi ya 3,000

    Waliopona Corona katika nchi za Afrika ni zaidi ya 3,000

    Apr 15, 2020 03:40

    Takwimu mpya za Chuo Kikuu cha Johns Hopkins zinaonyesha kuwa, watu 3,235 waliokuwa wameambukizwa virusi vya Corona katika nchi 52 za Afrika wamepata afueni.

  • Corona imeua watu karibu 800 hadi sasa barani Afrika

    Corona imeua watu karibu 800 hadi sasa barani Afrika

    Apr 14, 2020 08:05

    Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Umoja wa Afrika kimesema takriban watu 800 wamepoteza maisha kutokana na ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya Corona barani Afrika.

  • Waafrika 111 waishio Guangzhou, China wabainika kuambukizwa virusi vya corona

    Waafrika 111 waishio Guangzhou, China wabainika kuambukizwa virusi vya corona

    Apr 14, 2020 03:35

    Jumla ya raia 111 wa nchi za Kiafrika wanaoishi katika mji wa Guangzhou ulioko kusini mwa China wamebainika kuwa wameambukizwa ugonjwa wa COVID-19. Hayo ni kwa mujibu wa shirika la habari la China, Xinhua.

  • China yakemea ubaguzi wa rangi dhidi ya Waafrika waishio nchini humo kwa kisingizio cha corona

    China yakemea ubaguzi wa rangi dhidi ya Waafrika waishio nchini humo kwa kisingizio cha corona

    Apr 10, 2020 09:17

    Wizara ya Mambo ya Nje ya China imekemea vitendo vya unyanyasaji na ubaguzi dhidi ya Waafrika wanaoishi katika jimbo la Guangdong kusini mwa nchi hiyo na kusisitiza kuwa, serikali ya Beijing itaendelea kuhakikisha raia wote wa kigeni wanapatiwa haki sawa nchini humo.

  • Waliothibitishwa kuambukizwa Corona Afrika wapindukia 10,000

    Waliothibitishwa kuambukizwa Corona Afrika wapindukia 10,000

    Apr 09, 2020 06:56

    Watu wengine 535 wamethibitishwa kuambukizwa virusi vya corona barani Afrika na kuifanya idadi ya watu wenye ugonjwa wa COVID-19 katika nchi 52 za bara hilo kufikia 10,692.

  • Raia weusi wanaathiriwa kwa wingi na corona Marekani huku UN ikionya kuhusu ubaguzi katika utoaji huduma

    Raia weusi wanaathiriwa kwa wingi na corona Marekani huku UN ikionya kuhusu ubaguzi katika utoaji huduma

    Apr 07, 2020 10:27

    Takwimu za majimbo mbali mbali nchini Marekani zinaonyesha kuwa jamii za raia weusi wenye asili ya Afrika ndizo zinazoathiriwa kwa wingi na maambukizo ya virusi vya corona.

  • WHO: Afrika haitakuwa uwanja wa kufanyia majaribio chanjo ya corona

    WHO: Afrika haitakuwa uwanja wa kufanyia majaribio chanjo ya corona

    Apr 07, 2020 03:14

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amekosoa vikali matamshi ya kibaguzi ya madaktari wawili wa Ufaransa waliopendekeza kufanyia majaribio chanjo ya corona barani Afrika.

  • Rais wa Kenya aamuru kusitishwa harakati zote Nairobi, Mombasa na kaunti kadhaa kwa hofu ya corona

    Rais wa Kenya aamuru kusitishwa harakati zote Nairobi, Mombasa na kaunti kadhaa kwa hofu ya corona

    Apr 06, 2020 11:54

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza hatua mpya zinazolenga kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19, ambao hadi sasa umewapata watu 158 na kuchukua roho za wagonjwa sita.

  • Wananchi wakosoa mpango wa kufanyia majaribio chanjo ya corona DRC

    Wananchi wakosoa mpango wa kufanyia majaribio chanjo ya corona DRC

    Apr 05, 2020 03:42

    Wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekosoa vikali mpango wa kufanyia majaribio chanjo ya corona nchini humo ambao serikali imeafiki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS