-
Rais wa Somalia: Ukifika wakati mwafaka tutafanya mazungumzo na Ash-Shabaab
Jul 07, 2022 21:38Rais mpya wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud amesema, kuhitimisha uasi wa utumiaji silaha unaofanywa na kundi la Ash-Shabaab unahitaji mbinu nyingine kuliko ya kijeshi na kwa hivyo utakapofika wakati mwafaka, serikali yake itafanya mazungumzo na kundi hilo lenye misimamo ya kufurutu ada.
-
Shambulio la kundi la kigaidi la as-Shabaab dhidi ya askari wa kulinda amani nchini Somalia
May 05, 2022 01:00Jeshi la Burundi limetangaza kuwa askari wake 10 wa kulinda amani wanaohudumu nchini Somalia chini ya mwavuli wa Umoja wa Afrika wameuawa katika shambulio lililotekelezwa na kundi la kigaidi la as-Shabaab katika kambi ya askari wa umoja huo.
-
Watu 3 wauliwa katika shambulio la al Shabab katika kambi ya AU Somalia
May 04, 2022 03:42Kundi la wanamgambo wa al Shabab lenye makao yake nchini Somalia limeishambulia kambi ya wanajeshi wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Afrika (AU) katika mkoa wa Shabelle katikati ya Somalia.
-
Magaidi 7 wa al-Shabaab waangamizwa na jeshi la Somalia eneo la Mudug
Apr 04, 2022 06:53Kikosi maalumu cha Danab cha Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) kimefanikiwa kuwaangamiza wanachama saba wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katikati ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Magaidi 2 wa al-Shabaab wauawa wakijaribu kushambulia uwanja wa ndege Somalia
Mar 23, 2022 23:00Wanachama wawili wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab wameangamizwa walipojaribu kushambulia Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Aden Adde katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Watu 14 wauawa baada ya gaidi kujiripua kwa bomu Somalia
Feb 20, 2022 04:28Kwa akali watu 14 wamepoteza maisha baada ya gaidi aliyekuwa amejifunga bomu kujiripua katika eneo lenye shughuli nyingi katikati mwa Somalia.
-
Magaidi 20 wa al-Shabaab waangamizwa na askari wa AMISOM, Somalia
Feb 17, 2022 23:39Wanachama zaidi ya 20 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya askari wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM).
-
Jeshi la Somalia lakomboa miji, vijiji 10 vilivyokuwa vimetwaliwa na al-Shabaab
Jan 26, 2022 08:46Jeshi la Taifa la Somalia limefanikiwa kukomboa miji na vijiji kadhaa vya nchi hiyo vilivyokuwa vimetekwa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la al-Shabaab.
-
Magaidi 17 wa kundi la al-Shabab waangamizwa na jeshi katikati mwa Somalia
Jan 08, 2022 03:40Wanachama 17 wa kundi la kigaidi la al-Shabab la Somalia wameangamizwa na jeshi katikati mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika kufuatia opesheni ya kijeshi dhidi ya wapiganaji hao.
-
Askari polisi wanne wa Kenya wauawa, magaidi wa Ash-Shabaab washukiwa kuhusika
Jan 07, 2022 23:54Maafisa wanne wa polisi ya Kenya wameuawa katika shambulio la kuvizia katika eneo la pwani ya nchi hiyo linalopakana na Somalia, amblo hulengwa mara kwa mara na wanamgambo wa kundi la kigaidi la Ash-Shabaab.