Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Watu 6 wauawa katika shambulio la al-Shabaab Lamu, Kenya

    Watu 6 wauawa katika shambulio la al-Shabaab Lamu, Kenya

    Jan 03, 2022 07:34

    Kwa akali watu sita wameuawa katika shambulio la kundi la kigaidi la al-Shabaab katika kaunti ya Lamu, Pwani ya Kenya.

  • 5 wauawa katika shambulio la bomu la al-Shabaab kusini mwa Somalia

    5 wauawa katika shambulio la bomu la al-Shabaab kusini mwa Somalia

    Dec 05, 2021 23:47

    Watu wasiopungua watano wameuawa katika mripuko wa bomu uliotokea katika mgahawa mmoja wenye shughuli nyingi kusini mwa Somalia.

  • Idadi ya magaidi wa al Shabab waliouawa na jeshi la Somalia yafika 90

    Idadi ya magaidi wa al Shabab waliouawa na jeshi la Somalia yafika 90

    Aug 25, 2021 23:15

    Jeshi la Somalia limeripoti kuwa, idadi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la al Shabab waliouawa katika oparesheni ya jeshi hilo imeongezeka.

  • Jeshi la Somalia lamkamata kamanda mkuu wa al-Shabaab

    Jeshi la Somalia lamkamata kamanda mkuu wa al-Shabaab

    Jul 26, 2021 07:57

    Jeshi la Taifa la Somalia limetangaza habari ya kumtia mbaroni kiongozi wa ngazi ya juu wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab kusini mwa nchi hiyo.

  • Magaidi 50 wa kundi la  al-Shabab Somalia waangamizwa na jeshi

    Magaidi 50 wa kundi la al-Shabab Somalia waangamizwa na jeshi

    Jul 21, 2021 07:36

    Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, magaidi wasiopungua 50 wa kundi la al-Shabab wameangamizwa kufuatia shambulio la anga dhidi ya ngome zao katikati mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Makurutu 15 wa kijeshi wauawa katika shambulio la kigaidi, Somalia

    Makurutu 15 wa kijeshi wauawa katika shambulio la kigaidi, Somalia

    Jun 15, 2021 22:05

    Kwa akali makurutu 15 wameuawa katika shambulio linaloaminika kuwa la kigaidi katika kambi moja ya mafunzo ya kijeshi huko Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.

  • Jeshi la Somalia laendelea kutoa kipigo kwa magaidi wa al-Shabaab

    Jeshi la Somalia laendelea kutoa kipigo kwa magaidi wa al-Shabaab

    Jun 12, 2021 08:05

    Kundi la kigaidi la al-Shabaab limeendelea kuandamwa na wimbi la vipigo kutoka kwa Jeshi la Taifa la Somalia (SNA), ambalo linatazamiwa kutwikwa jukumu la ulinzi na usalama wa nchi baada ya kumalizika muda wa Mpango wa Mpito wa Somalia (STP).

  • Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 130 wa al-Shabaab

    Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 130 wa al-Shabaab

    Jun 07, 2021 22:20

    Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) limetangaza habari ya kufanikiwa kuua wanachama wasiopungua 130 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika kipindi cha wiki tatu zilizopita.

  • Wanachama 30 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waangamizwa na jeshi la Somalia

    Wanachama 30 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waangamizwa na jeshi la Somalia

    Jun 02, 2021 02:15

    Jeshi la Somalia limefanikiwa kuua wanachama wasiopungua 30 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katikati mwa nchi.

  • Magaidi 100 wa al Shabab wauawa kusini mwa Somalia

    Magaidi 100 wa al Shabab wauawa kusini mwa Somalia

    May 31, 2021 02:53

    Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, limeua wanamgambo 100 wa genge la kigaidi la al Shabab wakiwemo makamanda kadhaa wa genge hilo katika operesheni maalumu ya kijeshi huko kusini mwa Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS