Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Magaidi 76 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia

    Magaidi 76 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia

    Apr 04, 2021 06:32

    Jeshi la Somalia limesema kuwa limeangamiza makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika operesheni ya kiusalama kusini mwa Somalia.

  • Askari wa Somalia wazima hujuma za al-Shabaab dhidi ya kambi za jeshi

    Askari wa Somalia wazima hujuma za al-Shabaab dhidi ya kambi za jeshi

    Apr 03, 2021 05:12

    Jeshi la Taifa la Somalia limetangaza kuwa, askari wa nchi hiyo wamefanikiwa kuzima mashambulio ya kundi la kigaidi la al-Shabaab yaliyolenga kambi mbili za kijeshi kusini mwa nchi.

  • Msumbiji yaanzisha oparesheni kubwa ya kukomboa mji wa Palma

    Msumbiji yaanzisha oparesheni kubwa ya kukomboa mji wa Palma

    Mar 29, 2021 07:07

    Wizara ya Ulinzi ya Msumbiji imetangaza kuwa, jeshi la nchi hiyo limeanzisha oparesheni kubwa ya kukomboa mji wa pwani wa Palma unaodhibitiwa na kundi linalojiita al Shabab.

  • Magaidi 52 wa al-Shabaab wauawa katika shambulio dhidi ya jela nchini Somalia

    Magaidi 52 wa al-Shabaab wauawa katika shambulio dhidi ya jela nchini Somalia

    Mar 05, 2021 08:59

    Wanamgambo wasiopungua 52 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameangamizwa katika shambulio la wapiganaji hao dhidi ya jela moja iliyoko katika jimbo la Puntland,kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Magaidi 15 wa al-Shabaab wauawa katika operesheni ya jeshi la Somalia

    Magaidi 15 wa al-Shabaab wauawa katika operesheni ya jeshi la Somalia

    Feb 25, 2021 23:59

    Wanamgambo 15 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia kusini mwa nchi.

  • Watu kadhaa wauawa katika shambulio la kigaidi la al-Shabaab Somalia

    Watu kadhaa wauawa katika shambulio la kigaidi la al-Shabaab Somalia

    Jan 31, 2021 23:48

    Kwa akali watu watatu wameuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa baada ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la al-Shabaab kushambulia hoteli moja katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu kwa mabomu na risasi.

  • Uganda yakanusha madai kuwa jeshi lake limeua magaidi 189 wa al-Shabaab

    Uganda yakanusha madai kuwa jeshi lake limeua magaidi 189 wa al-Shabaab

    Jan 28, 2021 00:49

    Serikali ya Uganda imekadhibisha taarifa kuwa jeshi la nchi hiyo UPDF limeua wanachama 189 wa genge la al-Shabaab kusini magharibi mwa mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Watu watano wauawa katika hujuma ya kigaidi Dhobley, Somalia

    Watu watano wauawa katika hujuma ya kigaidi Dhobley, Somalia

    Dec 30, 2020 01:03

    Watu watano wameuawa na wengine wawili wamejeruhiwa kwenye mlipuko uliojiri kwenye barabara ya mji wa Dhobley katika mkoa wa Lower Juba kusini mwa Somalia.

  • Jeshi la Kenya lashambulia maficho ya al-Shabaab na kuua kadhaa

    Jeshi la Kenya lashambulia maficho ya al-Shabaab na kuua kadhaa

    Dec 27, 2020 20:51

    Kikosi Maalumu cha Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) jana Jumapili kilishambulia maficho ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika Msitu wa Boni kaunti ya Lamu, pwani ya Kenya na kuangamiza wanachama kadhaa wa genge hilo.

  • Al-Shabaab yakiri kumuua chifu wa Wajir Kenya kwa kumkata kichwa

    Al-Shabaab yakiri kumuua chifu wa Wajir Kenya kwa kumkata kichwa

    Dec 23, 2020 08:53

    Kundi la kigaidi la al-Shabaab lenye makao yake nchini Somalia limekiri kuwa ndilo lililomteka nyara na kumuua kwa kumkata kichwa chifu mmoja wa kaunti ya Wajir, huko kaskazini mashariki mwa Kenya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS