Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Maandamano ya wiki hii ya wananchi wa Algeria yalikuwa ni ya Ijumaa ya 124

    Maandamano ya wiki hii ya wananchi wa Algeria yalikuwa ni ya Ijumaa ya 124

    Jul 03, 2021 22:07

    Wananchi wa Algeria wanaendelea na maandamano yao ya kila wiki ambapo maandamano yaliyofanyika Ijumaa wiki hii, yalikuwa ya 124 ya kutaka mabadiliko ya kimsingi ya mfumo wa kisiasa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Jumuiya 82 za kutetea haki za binadamu zaitaka UN kusitisha ukandamizaji nchini Algeria

    Jumuiya 82 za kutetea haki za binadamu zaitaka UN kusitisha ukandamizaji nchini Algeria

    Jun 27, 2021 22:40

    Jumuiya 82 za kutetea haki za binadamu zimetoa wito wa kukomeshwa ukandamizaji unaofanywa na vyombo vya dola nchini Algeria.

  • Algeria yaifungia kanali ya Ufaransa ya

    Algeria yaifungia kanali ya Ufaransa ya "France 24"

    Jun 14, 2021 03:41

    Serikali ya Algeria imeipokonya kanali ya televisheni ya Ufaransa ya France 24 leseni ya kuhudumu nchini humo, siku moja baada ya kufanyika uchaguzi wa Bunge katika nchi hiyo ya Kiarabu ya kaskazini mwa Afrika.

  • Algeria yapinga tena kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni

    Algeria yapinga tena kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni

    Jun 03, 2021 03:41

    Rais wa Algeria jana usiku kwa mara nyingine amesisitiza kuwa, nchi yake abadan haitaanzisha uhusiano na utawala ghasibu wa Israel.

  • Algeria yalitaka Baraza la Usalama la UN kuwahami Wapalestina katika Msikiti wa al Aqsa

    Algeria yalitaka Baraza la Usalama la UN kuwahami Wapalestina katika Msikiti wa al Aqsa

    May 10, 2021 08:05

    Wizara ya Mambo Nchi za Nje ya Algeria imelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liwahami na kuwalinda Wapalestina wanaofanya itikafu ndani ya Msikiti wa al Aqsa.

  • 'Maulamaa wa Algeria waendeshe Jihadi ili kutokomeza mabaki ya utamaduni wa Kifaransa'

    'Maulamaa wa Algeria waendeshe Jihadi ili kutokomeza mabaki ya utamaduni wa Kifaransa'

    May 06, 2021 21:54

    Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu la Algeria lillo chini ya ofisi ya rais wa nchi hiyo amesema, Maulamaa wa Kiislamu wa nchi hiyo inapasa waendeleze jihadi ya kielimu na kitaifa kwa ajili ya kung'oa na kutokomeza mabaki ya utamaduni wa Kifaransa.

  • Usalama wa kikanda; ajenda ya mazungumzo ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Algeria na Libya

    Usalama wa kikanda; ajenda ya mazungumzo ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Algeria na Libya

    Apr 20, 2021 03:29

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria jana Jumatatu alikutana na mwenzake wa Libya na kufanya mazungumzo kuhusu usalama wa kikanda na kuziunga mkono pande za Libya kwa lengo la kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.

  • Mshauri wa Rais wa Algeria: Ufaransa ilieneza ujinga nchini zama za ukoloni

    Mshauri wa Rais wa Algeria: Ufaransa ilieneza ujinga nchini zama za ukoloni

    Apr 19, 2021 06:51

    Mshauri wa Rais wa Algeria amesema kuwa Ufaransa ilifanya kazi ya kueneza ujinga wa kutojua kusoma na kuandika wakati wa ukoloni wa nchi hiyo nchini Algeria.

  • Maelfu waandamana dhidi ya serikali nchini Algeria

    Maelfu waandamana dhidi ya serikali nchini Algeria

    Apr 17, 2021 01:33

    Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya Algeria wakitaka kuachiwa huru wanaharakati wa kisiasa na kutoa wito wa kususiwa uchaguzi mkuu wa mapema wa Bunge nchini humo.

  • Algeria: Ufaransa itaendelea milele kuwa adui wa taifa letu

    Algeria: Ufaransa itaendelea milele kuwa adui wa taifa letu

    Apr 10, 2021 23:07

    Waziri wa Kazi wa Algeria ametoa taarifa rasmi na huku akiashiria ripoti zilizofichua kwamba Ufaransa ilifanya majaribio ya nyuklia katika ardhi ya Algeria amesema, mkoloni huyo wa Ulaya ataendelea daima na milele kuwa adui wa taifa letu, kama ambavyo hivi sasa pia Ufaransa ni adui mkongwe na wa zamani sana wa Algeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS