Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ashura

  • Polisi Nigeria wawashambulia kwa risasi Waislamu katika maombolezo ya Ashura

    Polisi Nigeria wawashambulia kwa risasi Waislamu katika maombolezo ya Ashura

    Sep 22, 2018 03:11

    Polisi nchini Nigeria wamewafyatulia risasi Waislamu waliokuwa katika maomboleza ya ashura na kujeruhi baadhi yao.

  • Fikra ya Ashura ya watu wa Yemen, ngome imara dhidi ya maadui

    Fikra ya Ashura ya watu wa Yemen, ngome imara dhidi ya maadui

    Sep 21, 2018 13:17

    Jana Alkhamisi maelfu ya watu wa Yemen walijitokeza kwa wingi kushiriki matembezi ya Siku ya Ashura katika miji ya Sanaa na Sa'da na kwa mara nyingine tena kusisitiza juu ya udharura wa kusimama imara mbele ya wavamizi na wachokozi.

  • Ashura ya Imam Hussein (as) yautia hofu na kiwewe utawala wa Aal Khalifa, Bahrain

    Ashura ya Imam Hussein (as) yautia hofu na kiwewe utawala wa Aal Khalifa, Bahrain

    Sep 21, 2018 07:46

    Mkuu wa kituo cha haki za binadamu nchini Bahrain amesema, hatua za utawala wa Aal Khalifa za kuwakandamiza wananchi na maulamaa ni ishara ya hofu uliyonayo kutokana na mapambano ya Ashura na taathira yake kwa wananchi wanaoupinga utawala huo.

  • Katibu Mkuu wa Ansarullah: Wayemeni katu hawatasalimu amri kwa adui

    Katibu Mkuu wa Ansarullah: Wayemeni katu hawatasalimu amri kwa adui

    Sep 21, 2018 07:29

    Katibu Mkuu wa Ansarullah ya Yemen, Abdulmalik Badruddin amesema: Licha ya mauaji na jinai zote anazozifanya adui, hatoweza katu kuifanya Yemen isalimu amri.

  • Waombolezaji Iran, duniani wajitokeza kwa wingi kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS

    Waombolezaji Iran, duniani wajitokeza kwa wingi kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS

    Sep 20, 2018 07:35

    Mamilioni ya Waislamu katika nchi mbali mbali duniani wamejotokeza kwa mamilioni katika Siku ya Ashura kukumbuka siku alipouawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS.

  • Leo ni siku ya Ashura ya kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume, Imam Husain AS

    Leo ni siku ya Ashura ya kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume, Imam Husain AS

    Sep 20, 2018 03:53

    Alkhamisi ya leo ya tarehe 20 Septemba 2018 Milaadia inasadifiana na mwezi kumi Muharram 1440 Hijria, siku ya Ashura ya kukumbuka alipouawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, mmoja wa mabwana wawili wa vijana wa peponi, Imam Husain AS.

  • Udharura wa kumtambua adui, msingi wa hotuba ya Sayyid Hassan Nasrullah mchana wa Ashura

    Udharura wa kumtambua adui, msingi wa hotuba ya Sayyid Hassan Nasrullah mchana wa Ashura

    Oct 02, 2017 12:22

    Akiwahutubia waombolezaji wa kumbukumbu ya mauaji ya mjukuu wa Mtume Muhammad (saw), Imam Hussein (as) mchana wa siku ya Ashura kupitia njia ya video, Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amezungumzia matukio yanayojiri katika eneo la Mashariki ya Kati na kusisitizia umuhimu wa kumtabua adui.

  • Zaidi ya waombolezaji milioni mbili wameshiriki kwenye maombolezo ya Ashura ya Imam Hussein AS Karbala

    Zaidi ya waombolezaji milioni mbili wameshiriki kwenye maombolezo ya Ashura ya Imam Hussein AS Karbala

    Oct 02, 2017 04:28

    Maombolezo ya Ashura ya Imam Hussein AS yamefanyika katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq ambapo kwa mujibu wa maafisa wa mji huo idadi ya wafanya ziara walioshiriki kwenye maombolezo ya mwaka huu imepindukia watu milioni mbili.

  • Leo ni siku ya Ashura, Idhaa ya Kiswahili Radio Tehran inatoa mkono wa pole kwa wapenzi wote wa Mtume Muhammad SAW

    Leo ni siku ya Ashura, Idhaa ya Kiswahili Radio Tehran inatoa mkono wa pole kwa wapenzi wote wa Mtume Muhammad SAW

    Oct 01, 2017 04:01

    Jumapili ya leo inasadifiana na mwezi 10 Muharram 1439 Hijria, siku ya kukumbuka wakati damu ilipoushinda upanga kwa ushujaa wa Imam Husain AS na wafuasi wake wachache katika jangwa la Karbla la Iraq ya leo.

  • Utawala wa Aal Khalifa walaaniwa kwa kuhujumu madhihirisho ya Ashura nchini Bahrain

    Utawala wa Aal Khalifa walaaniwa kwa kuhujumu madhihirisho ya Ashura nchini Bahrain

    Sep 24, 2017 07:23

    Jumuiya ya Kiislamu ya Maelewano ya Kitaifa ya Bahrain (Al Wefaq) imelaani hatua ya vikosi vya usalama ya kuhujumu madhihirisho ya Ashura na kuendelea kuzingirwa nyumba ya mwanazuoni wa Kiislamu Sheikh Issa Qassim.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS