-
Usimamizi mzuri wa Iraq katika kumbukumbu ya Ashura ya Imam Hussein AS
Oct 13, 2016 04:39Pamoja na kuwepo makundi hatari ya kigaidi katika maeneo mbali mbali, maombolezo ya kuuawa shahidi Imam Hussein AS na wafuasi wake watiifu, yalifanyika kwa mafanikio na usalama kamili nchini Iraq katika mji wa Karbala na kuhudhuriwa na mamilioni ya wafanya ziara.
-
Iran yalaani mauaji ya Waislamu siku ya Ashura Nigeria, Afghanistan
Oct 13, 2016 01:10Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mauaji ya Waislamu wa madhehebu ya Shia waliokuwa wamejumuika kwa ajili ya maombolezo ya Ashura, katika miji ya Kaduna na Funtua nchini Nigeria hapo jana.
-
Mripuko wa bomu katika maombolezo ya Ashura waua makumi ya watu Afghanistan
Oct 12, 2016 23:17Watu kadhaa wameuawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea kwenye mkusanyiko wa maombolezo ya Ashura ya Imam Hussein (as) katika jimbo la Balkh kaskazini mwa Afghanistan.
-
Magaidi washambulia msikiti Kabul na kuua makumi usiku wa Tasua
Oct 12, 2016 04:23Kundi moja la kigaidi na kitakfiri nchini Afghanistan limefanya shambulizi la pili dhidi ya Waislamu wa madhebu ya Shia waliokuwa wamekusanyika msikitini wakifanya maombelezo ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS.
-
Rouhani: Utamaduni wa Ashura unaweza kuimarisha uthabiti Asia
Oct 12, 2016 04:01Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema iwapo utamaduni wa kuadhimisha kumbukumbu ya Ashura, siku aliyouawa shahidi Imam Hussein AS, Mjukuu wa Mtume Mtukufu SAW utafuatwa kwa dhati, usalama na uthabiti utarejea katika bara la Asia na ulimwengu wa Kiislamu.
-
Waislamu duniani wakumbuka kuuawa Shahidi Imam Hussein AS
Oct 11, 2016 23:40Leo Jumatano inasadifiana na tarehe 10 Mfunguo Nne Muharram, siku ya Ashura ya mapambano ya Imam Husain AS huko Karbala. Maombolezo ya kukumbuka siku hiyo ya majonzi yanawashirikisha Waislamu na hata wasiokuwa Waislamu kote duniani.