Apr 05, 2016 14:10
Waziri wa Mambo ya Nje Muhammad Javad Zarif amesema Iran iko tayari kusaidia kurejesha utulivu katika eneo la Nagorno-Karabakh ambalo katika siku za karibuni limekuwa uwanja wa mapigano makali kati ya vikosi vinavyoungwa mkono na Armenia na vile vya serikali ya Azerbaijan.