Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Sheikh Qassim: Waislamu wakabaliane na mwenendo wa kuanzishwa uhusiano na Israel

    Sheikh Qassim: Waislamu wakabaliane na mwenendo wa kuanzishwa uhusiano na Israel

    Feb 14, 2022 04:14

    Kiongozi wa Waislamu wa Kishia nchini Bahrain ametoa wito wa kusimama kidete Waislamu katika kukabiliana na mwenendo wa kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Al-Wifaq: Wananchi wa Bahrain wataendelea kudai haki zao kwa njia ya amani

    Al-Wifaq: Wananchi wa Bahrain wataendelea kudai haki zao kwa njia ya amani

    Jan 13, 2022 08:11

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Mwafaka wa Kiislamu na Kitaifa nchini Bahrain (Al Wifaq) amesema kuwa, wananchi wa nchi hiyo wataendelea kudai haki zao kwa njia ya amani na kwamba, katu hawatasalimu amri katika njia hiyo.

  • Iran yapinga madai yasiyo na msingi ya Bahrain

    Iran yapinga madai yasiyo na msingi ya Bahrain

    Nov 25, 2021 01:05

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa jibu kwa tamko la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Bahrain na kusema, madai yoyote ya wakuu wa Manama kuhusu kugundua silaha na mada za milipuko zinazohusishwa na Iran hayakubaliki.

  • Kongamano la usalama la Manama; kutokuwa na natija mikutano ya usalama kama hii kwa ajili ya eneo la Asia Magharibi

    Kongamano la usalama la Manama; kutokuwa na natija mikutano ya usalama kama hii kwa ajili ya eneo la Asia Magharibi

    Nov 23, 2021 22:58

    Kongamano la 17 la usalama wa Asia Magharibi linalojulikana kama Mazungumzo ya 2021 ya Manama lilimalizika hivi karibuni nchini Bahrain.

  • Wananchi wa Bahrain wwandamana kuwaunga mkono wafungwa wa kisiasa

    Wananchi wa Bahrain wwandamana kuwaunga mkono wafungwa wa kisiasa

    Nov 22, 2021 04:40

    Wananchi wa Bahrain wameandamana wakiwaunga mkono wafungwa wa kisiasa wa nchi hiyo na kutoa wito wa kuachiliwa huru wafungwa hao.

  • Aal-Khalifa yashadidisha ukandamizaji dhidi ya Wabahrain

    Aal-Khalifa yashadidisha ukandamizaji dhidi ya Wabahrain

    Oct 31, 2021 23:39

    Vikosi vya usalama vya utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain vimewatiwa mbaroni wanaharakati wengine wa kisiasa wanaoupinga na kuukosoa utawala huo wa kiukoo.

  • Wabahrain waendeleza maandamano ya kupinga uhusiano na Israel

    Wabahrain waendeleza maandamano ya kupinga uhusiano na Israel

    Oct 15, 2021 00:49

    Kwa mara nyingine tena, wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano ya kulaani hatua ya utawala wa Aal-Khalifa wa nchi hiyo ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Wabahrain waandamana kupinga waziri wa utawala wa Kizayuni kukanyaga ardhi ya nchi yao

    Wabahrain waandamana kupinga waziri wa utawala wa Kizayuni kukanyaga ardhi ya nchi yao

    Sep 30, 2021 22:57

    Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano makubwa katika miji kadhaa ya nchi hiyo kupinga waziri wa mambo ya nje wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kukanyaga ardhi ya nchi yao na kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Tel Aviv.

  • Utawala wa Aal Khalifa umewatesa na kuwasotesha jela mamia ya watoto Bahrain

    Utawala wa Aal Khalifa umewatesa na kuwasotesha jela mamia ya watoto Bahrain

    Sep 27, 2021 22:56

    Vyombo vya habari vimefichua kuwa utawala wa Aal Khalifa umetesa mamia ya watoto nchini Bahrain ili kuwalazimisha wakiri makosa katika jela za utawala huo wa kiimla.

  • Wananchi wa Bahrain walaani kutumwa balozi wa Aal-Khalifa huko Israel

    Wananchi wa Bahrain walaani kutumwa balozi wa Aal-Khalifa huko Israel

    Sep 04, 2021 05:53

    Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano ya kulaani hatua ya utawala wa Aal-Khalifa ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel, sanjari na pande mbili hizo kubadilishana mabalozi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS