-
Sheikh Issa Qassim atuma ujumbe wa pongezi kwa kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky
Aug 03, 2021 06:35Kiongozi wa Kiroho wa Harakati ya Wananchi wa Bahrain ametuma ujumbe wa pongezi kwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria kwa kuachiliwa kwake huru.
-
Hukumu za kifo nchini Bahrain zaongezeka mara 600 tangu 2011
Jul 14, 2021 04:06Utekelezaji wa adhabu ya kifo nchini Bahrain umeongezeka sana katika muongo mmoja uliopita, haswa tangu kulipoanza mwamko wa wananchi katika nchi za Kiarabu mwaka 2011.
-
Al Wifaq: Utawala wa Aal Khalifa ni wa kizamani
Jun 24, 2021 03:37Jumuiya ya Kiislamu ya Bahrain ya al Wifaq imesisitiza juu ya ulazima wa kutekelezwa marekebisho makubwa na mapana nchini humo na kueleza kuwa utendaji uliopitwa na wakati wa utawala wa Aal Khalifa hauwiani na mazingira ya sasa.
-
Watetezi wa haki za binadamu Uingereza wamlaumu Johnson kwa kukutana na madikteta wa Bahrain
Jun 18, 2021 06:51Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu nchini Uingereza wamemkosoa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Boris Johnson kwa kukutana kimyakimya na mrithi wa utawala wa kidikteta wa Bahrain.
-
Amnesty yataka uchunguzi wa kifo cha mfungwa wa kisiasa Bahrain
Jun 17, 2021 02:25Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa mwito wa kufanyika uchunguzi huru wa kifo tatanishi cha mfungwa wa kisiasa huko nchini Bahrain.
-
Wananchi Bahrain waandamana kulaani kifo cha mfungwa wa kisiasa gerezani
Jun 11, 2021 12:30Mamia ya Wabahraini wamejitokeza kuandamana katika mji mkuu Manama, kumkumbuka mfungwa wa kisiasa ambaye amefariki dunia kutokana na COVID-19 akiwa katika gereza la kuogofya la utawala wa kiimla wa Aal Khalifa.
-
Upinzani Bahrain wailaani US kupeperusha 'bendera ya ushoga' Manama
Jun 06, 2021 02:26Chama kimoja cha upinzani nchini Bahrain kimekosoa vikali hatua ya Marekani ya kupeperusha bendera yenye nembo ya kuunga mkono ushoga katika ubalozi wake mjini Manama.
-
Maandamano makubwa ya wananchi wa Bahrain ya kutaka kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa
Apr 18, 2021 02:32Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano makubwa ambapo sambamba na kulalamikia mazingira mabaya ya wafungwa wa nchi hiyo hasa baada ya kuongeza idadi ya walioambukizwa virusi vya corona miongoni mwao, wametoa wito wa kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
Iran yalaani kufunguliwa ubalozi wa Bahrain mjini Tel Aviv
Apr 04, 2021 07:55Kongamano la Kimataifa la Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, limelaani hatua ya utawala wa kifalme wa Bahrain kufungua ubalozi katika utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Utawala wa Aal Khalifa wapuuza maambukizi ya corona katika jela wanamoshikiliwa wanamapinduzi wa Bahrain
Mar 30, 2021 02:32Harakati ya Al Wifaq ya Bahrain imesema ina wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa kiwango cha maambukizi ya corona kwa wafungwa wanamapinduzi na jinsi utawala wa nchi hiyo wa Aal Khalifa unavyolipuuza suala hilo.