-
Kupiga marufuku utawala wa Bahrain maombolezo ya Imam Hussein (a.s); mwendelezo wa kunyanyaswa Waislamu wa Kishia
Aug 17, 2021 22:12Kama ilivyokuwa katika miaka iliyopita, mwaka huu pia utawala wa kifamilia wa Aal Khalifa nchini Bahrain umepiga marufuku kufanya shughuli zozote zile za Waislamu wa madhehebu ya Kishia za maombolezo ya Muharram na kumbukumbu ya kifo cha Imam Hussein (a.s).
-
Wanazuoni wa Kiislamu Bahrain wawakosoa watawala wa ukoo wa Aal Khalifa kwa kuvunjia heshima nembo za kidini
Aug 16, 2021 22:03Wanazuoni wa Kiislamu wa Bahrain wamelaani vikali hatua za utawala wa kizazi cha Aal Khalifa wa nchi hiyo za kuvunjia heshima shughuli za kidini na nembo za maombolezo ya mwezi wa Muharram unaokumbusha mauaji ya mjukuu wa Mtume Muhammad (saw), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (as) na kutoa wito wa kukomeshwa mara moja hatua hizo.
-
Sheikh Issa Qassim atuma ujumbe wa pongezi kwa kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky
Aug 03, 2021 02:05Kiongozi wa Kiroho wa Harakati ya Wananchi wa Bahrain ametuma ujumbe wa pongezi kwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria kwa kuachiliwa kwake huru.
-
Hukumu za kifo nchini Bahrain zaongezeka mara 600 tangu 2011
Jul 13, 2021 23:36Utekelezaji wa adhabu ya kifo nchini Bahrain umeongezeka sana katika muongo mmoja uliopita, haswa tangu kulipoanza mwamko wa wananchi katika nchi za Kiarabu mwaka 2011.
-
Al Wifaq: Utawala wa Aal Khalifa ni wa kizamani
Jun 23, 2021 23:07Jumuiya ya Kiislamu ya Bahrain ya al Wifaq imesisitiza juu ya ulazima wa kutekelezwa marekebisho makubwa na mapana nchini humo na kueleza kuwa utendaji uliopitwa na wakati wa utawala wa Aal Khalifa hauwiani na mazingira ya sasa.
-
Watetezi wa haki za binadamu Uingereza wamlaumu Johnson kwa kukutana na madikteta wa Bahrain
Jun 18, 2021 02:21Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu nchini Uingereza wamemkosoa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Boris Johnson kwa kukutana kimyakimya na mrithi wa utawala wa kidikteta wa Bahrain.
-
Amnesty yataka uchunguzi wa kifo cha mfungwa wa kisiasa Bahrain
Jun 16, 2021 21:55Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa mwito wa kufanyika uchunguzi huru wa kifo tatanishi cha mfungwa wa kisiasa huko nchini Bahrain.
-
Wananchi Bahrain waandamana kulaani kifo cha mfungwa wa kisiasa gerezani
Jun 11, 2021 08:00Mamia ya Wabahraini wamejitokeza kuandamana katika mji mkuu Manama, kumkumbuka mfungwa wa kisiasa ambaye amefariki dunia kutokana na COVID-19 akiwa katika gereza la kuogofya la utawala wa kiimla wa Aal Khalifa.
-
Upinzani Bahrain wailaani US kupeperusha 'bendera ya ushoga' Manama
Jun 05, 2021 21:56Chama kimoja cha upinzani nchini Bahrain kimekosoa vikali hatua ya Marekani ya kupeperusha bendera yenye nembo ya kuunga mkono ushoga katika ubalozi wake mjini Manama.
-
Maandamano makubwa ya wananchi wa Bahrain ya kutaka kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa
Apr 17, 2021 22:02Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano makubwa ambapo sambamba na kulalamikia mazingira mabaya ya wafungwa wa nchi hiyo hasa baada ya kuongeza idadi ya walioambukizwa virusi vya corona miongoni mwao, wametoa wito wa kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa wa nchi hiyo.