Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Iran yalaani kufunguliwa ubalozi wa Bahrain mjini Tel Aviv

    Iran yalaani kufunguliwa ubalozi wa Bahrain mjini Tel Aviv

    Apr 04, 2021 03:25

    Kongamano la Kimataifa la Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, limelaani hatua ya utawala wa kifalme wa Bahrain kufungua ubalozi katika utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Utawala wa Aal Khalifa wapuuza maambukizi ya corona katika jela wanamoshikiliwa wanamapinduzi wa Bahrain

    Utawala wa Aal Khalifa wapuuza maambukizi ya corona katika jela wanamoshikiliwa wanamapinduzi wa Bahrain

    Mar 29, 2021 22:02

    Harakati ya Al Wifaq ya Bahrain imesema ina wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa kiwango cha maambukizi ya corona kwa wafungwa wanamapinduzi na jinsi utawala wa nchi hiyo wa Aal Khalifa unavyolipuuza suala hilo.

  • Kwa mara ya kwanza katika ulimwengu wa Kiarabu; Bahrain imejizuia kulaani ukandamizaji wanaofanyiwa Wapalestina

    Kwa mara ya kwanza katika ulimwengu wa Kiarabu; Bahrain imejizuia kulaani ukandamizaji wanaofanyiwa Wapalestina

    Mar 24, 2021 22:03

    Mwakilishi wa serikali ya Bahrain katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa amejizuia kulaani ukiukaji wa haki za binadamu na ukandamizaji unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.

  • Muongo mmoja baada ya uvamizi; matokeo mabaya ya Saudi Arabia kutuma askari nchini Bahrain

    Muongo mmoja baada ya uvamizi; matokeo mabaya ya Saudi Arabia kutuma askari nchini Bahrain

    Mar 14, 2021 05:52

    Umetimia muongo mmoja sasa tangu Saudi Arabia ilipotuma majeshi yake huko nchini Bahrain.

  • Kuongezeka harakati baina ya mhimili wa mapatano wa Kiarabu na utawala haramu wa Israel

    Kuongezeka harakati baina ya mhimili wa mapatano wa Kiarabu na utawala haramu wa Israel

    Feb 26, 2021 23:15

    Utata na kutokuwa wazi serikali mpya ya Marekani katika siasa zake za kigeni kuhusiana na eneo la Asia Magharibi ni jambo ambalo limepelea kuongezeka kwa mara nyingine harakati za mhimili wa mapatano wa Kiarabu na utawala haramu wa Israel.

  • Mwaka wa 10 wa Mapambano ya Februari 14 na hotuba ya Sheikh Issa Qassem inayobainisha hali ya Bahrain

    Mwaka wa 10 wa Mapambano ya Februari 14 na hotuba ya Sheikh Issa Qassem inayobainisha hali ya Bahrain

    Feb 14, 2021 21:54

    Ayatullah Sheikh Issa Qassem, kiongozi wa kimaanawi wa mapambano ya wananchi wa Bahrain, Jumamosi tarehe 13 Februari alitoa hotuba muhimu kwa mnasaba wa kutimia mwaka wa 10 wa mapambano ya watu wa nchi hiyo dhidi ya utawala wa Aal Khalifa.

  • Sheikh Isa Qassim: Ukandamizaji hautawanyamazisha Wabahrain

    Sheikh Isa Qassim: Ukandamizaji hautawanyamazisha Wabahrain

    Feb 14, 2021 04:23

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain amesema jitihada za taifa hilo la Kiarabu katu hazitazimwa na dhulma na ukandamizaji unaofanywa na vyombo vya usalama vya utawala wa kiukoo unaoingoza nchi hiyo kwa mkono wa chuma.

  • Bunge la Uingereza laikosoa serikali kwa kunyamazia ukiukaji wa haki za binadamu Bahrain

    Bunge la Uingereza laikosoa serikali kwa kunyamazia ukiukaji wa haki za binadamu Bahrain

    Feb 13, 2021 08:31

    Wawakilishi wa Bunge la Uingereza wameikosoa serikali ya nchi hiyo kwa kile walichokitaja kuwa, kimya chake mbele ya ukiukaji wa haki za binadamu unaoendelea kufanywa nchini Bahrain.

  • Ongezeko la ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa dhidi ya Wabahrain katika mwaka wa 10 wa mwamko wao

    Ongezeko la ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa dhidi ya Wabahrain katika mwaka wa 10 wa mwamko wao

    Feb 12, 2021 09:25

    Wakati ukikaribia mwaka wa 10 tokea uanze mwamko wa wananchi wa Bahrain dhidi ya utawala wa ukoo wa Aal Khalifa nchini humo, utawala huo dhalimu umeshadidisha ukandamizaji na utumiaji mabavu dhidi ya wananchi wanaotaka mabadiliko.

  • Imarati, Bahrain zawakatia Wapalestina misaada baada ya kuikumbatia Israel

    Imarati, Bahrain zawakatia Wapalestina misaada baada ya kuikumbatia Israel

    Feb 07, 2021 04:18

    Umoja wa Falme za Kiarabu na Bahrain zimepunguza kwa kiasi kikubwa misaada yao ya kifedha iliyokuwa ikiwapa wananchi wa Palestina, baada ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS