-
Kwa mara ya kwanza katika ulimwengu wa Kiarabu; Bahrain imejizuia kulaani ukandamizaji wanaofanyiwa Wapalestina
Mar 25, 2021 02:33Mwakilishi wa serikali ya Bahrain katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa amejizuia kulaani ukiukaji wa haki za binadamu na ukandamizaji unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.
-
Muongo mmoja baada ya uvamizi; matokeo mabaya ya Saudi Arabia kutuma askari nchini Bahrain
Mar 14, 2021 09:22Umetimia muongo mmoja sasa tangu Saudi Arabia ilipotuma majeshi yake huko nchini Bahrain.
-
Kuongezeka harakati baina ya mhimili wa mapatano wa Kiarabu na utawala haramu wa Israel
Feb 27, 2021 02:45Utata na kutokuwa wazi serikali mpya ya Marekani katika siasa zake za kigeni kuhusiana na eneo la Asia Magharibi ni jambo ambalo limepelea kuongezeka kwa mara nyingine harakati za mhimili wa mapatano wa Kiarabu na utawala haramu wa Israel.
-
Mwaka wa 10 wa Mapambano ya Februari 14 na hotuba ya Sheikh Issa Qassem inayobainisha hali ya Bahrain
Feb 15, 2021 01:24Ayatullah Sheikh Issa Qassem, kiongozi wa kimaanawi wa mapambano ya wananchi wa Bahrain, Jumamosi tarehe 13 Februari alitoa hotuba muhimu kwa mnasaba wa kutimia mwaka wa 10 wa mapambano ya watu wa nchi hiyo dhidi ya utawala wa Aal Khalifa.
-
Sheikh Isa Qassim: Ukandamizaji hautawanyamazisha Wabahrain
Feb 14, 2021 07:53Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain amesema jitihada za taifa hilo la Kiarabu katu hazitazimwa na dhulma na ukandamizaji unaofanywa na vyombo vya usalama vya utawala wa kiukoo unaoingoza nchi hiyo kwa mkono wa chuma.
-
Bunge la Uingereza laikosoa serikali kwa kunyamazia ukiukaji wa haki za binadamu Bahrain
Feb 13, 2021 12:01Wawakilishi wa Bunge la Uingereza wameikosoa serikali ya nchi hiyo kwa kile walichokitaja kuwa, kimya chake mbele ya ukiukaji wa haki za binadamu unaoendelea kufanywa nchini Bahrain.
-
Ongezeko la ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa dhidi ya Wabahrain katika mwaka wa 10 wa mwamko wao
Feb 12, 2021 12:55Wakati ukikaribia mwaka wa 10 tokea uanze mwamko wa wananchi wa Bahrain dhidi ya utawala wa ukoo wa Aal Khalifa nchini humo, utawala huo dhalimu umeshadidisha ukandamizaji na utumiaji mabavu dhidi ya wananchi wanaotaka mabadiliko.
-
Imarati, Bahrain zawakatia Wapalestina misaada baada ya kuikumbatia Israel
Feb 07, 2021 07:48Umoja wa Falme za Kiarabu na Bahrain zimepunguza kwa kiasi kikubwa misaada yao ya kifedha iliyokuwa ikiwapa wananchi wa Palestina, baada ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wabahrain waandamana kupinga kuteuliwa balozi wa Israel nchini humo
Jan 16, 2021 04:23Wananchi wa Bahrain jana Ijumaa walimiminika mabarabarani kushiriki maandamano ya kulaani uteuzi wa balozi mdogo wa utawala haramu wa Israel katika nchi hiyo ya Kiarabu, huo ukiwa ni muendelezo wa hatua za kuimarisha uhusiano baina ya Manama na Tel Aviv.
-
Sheikh Isa Qassim: Bahrain ni jela kubwa
Jan 07, 2021 06:43Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Bahrain amesema kuwa dhulma na ukandamizaji unaofanywa na utawala wa ukoo wa Aal Khalifa dhidi ya taifa la Bahrain umeifanya nchi hiyo kuwa sawa na jela kubwa.