-
Iran yalaani kufunguliwa ubalozi wa Bahrain mjini Tel Aviv
Apr 04, 2021 03:25Kongamano la Kimataifa la Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, limelaani hatua ya utawala wa kifalme wa Bahrain kufungua ubalozi katika utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Utawala wa Aal Khalifa wapuuza maambukizi ya corona katika jela wanamoshikiliwa wanamapinduzi wa Bahrain
Mar 29, 2021 22:02Harakati ya Al Wifaq ya Bahrain imesema ina wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa kiwango cha maambukizi ya corona kwa wafungwa wanamapinduzi na jinsi utawala wa nchi hiyo wa Aal Khalifa unavyolipuuza suala hilo.
-
Kwa mara ya kwanza katika ulimwengu wa Kiarabu; Bahrain imejizuia kulaani ukandamizaji wanaofanyiwa Wapalestina
Mar 24, 2021 22:03Mwakilishi wa serikali ya Bahrain katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa amejizuia kulaani ukiukaji wa haki za binadamu na ukandamizaji unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.
-
Muongo mmoja baada ya uvamizi; matokeo mabaya ya Saudi Arabia kutuma askari nchini Bahrain
Mar 14, 2021 05:52Umetimia muongo mmoja sasa tangu Saudi Arabia ilipotuma majeshi yake huko nchini Bahrain.
-
Kuongezeka harakati baina ya mhimili wa mapatano wa Kiarabu na utawala haramu wa Israel
Feb 26, 2021 23:15Utata na kutokuwa wazi serikali mpya ya Marekani katika siasa zake za kigeni kuhusiana na eneo la Asia Magharibi ni jambo ambalo limepelea kuongezeka kwa mara nyingine harakati za mhimili wa mapatano wa Kiarabu na utawala haramu wa Israel.
-
Mwaka wa 10 wa Mapambano ya Februari 14 na hotuba ya Sheikh Issa Qassem inayobainisha hali ya Bahrain
Feb 14, 2021 21:54Ayatullah Sheikh Issa Qassem, kiongozi wa kimaanawi wa mapambano ya wananchi wa Bahrain, Jumamosi tarehe 13 Februari alitoa hotuba muhimu kwa mnasaba wa kutimia mwaka wa 10 wa mapambano ya watu wa nchi hiyo dhidi ya utawala wa Aal Khalifa.
-
Sheikh Isa Qassim: Ukandamizaji hautawanyamazisha Wabahrain
Feb 14, 2021 04:23Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain amesema jitihada za taifa hilo la Kiarabu katu hazitazimwa na dhulma na ukandamizaji unaofanywa na vyombo vya usalama vya utawala wa kiukoo unaoingoza nchi hiyo kwa mkono wa chuma.
-
Bunge la Uingereza laikosoa serikali kwa kunyamazia ukiukaji wa haki za binadamu Bahrain
Feb 13, 2021 08:31Wawakilishi wa Bunge la Uingereza wameikosoa serikali ya nchi hiyo kwa kile walichokitaja kuwa, kimya chake mbele ya ukiukaji wa haki za binadamu unaoendelea kufanywa nchini Bahrain.
-
Ongezeko la ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa dhidi ya Wabahrain katika mwaka wa 10 wa mwamko wao
Feb 12, 2021 09:25Wakati ukikaribia mwaka wa 10 tokea uanze mwamko wa wananchi wa Bahrain dhidi ya utawala wa ukoo wa Aal Khalifa nchini humo, utawala huo dhalimu umeshadidisha ukandamizaji na utumiaji mabavu dhidi ya wananchi wanaotaka mabadiliko.
-
Imarati, Bahrain zawakatia Wapalestina misaada baada ya kuikumbatia Israel
Feb 07, 2021 04:18Umoja wa Falme za Kiarabu na Bahrain zimepunguza kwa kiasi kikubwa misaada yao ya kifedha iliyokuwa ikiwapa wananchi wa Palestina, baada ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.