-
Wabahrain waandamana kupinga kuteuliwa balozi wa Israel nchini humo
Jan 16, 2021 00:53Wananchi wa Bahrain jana Ijumaa walimiminika mabarabarani kushiriki maandamano ya kulaani uteuzi wa balozi mdogo wa utawala haramu wa Israel katika nchi hiyo ya Kiarabu, huo ukiwa ni muendelezo wa hatua za kuimarisha uhusiano baina ya Manama na Tel Aviv.
-
Sheikh Isa Qassim: Bahrain ni jela kubwa
Jan 07, 2021 03:13Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Bahrain amesema kuwa dhulma na ukandamizaji unaofanywa na utawala wa ukoo wa Aal Khalifa dhidi ya taifa la Bahrain umeifanya nchi hiyo kuwa sawa na jela kubwa.
-
Sheikh Ali Salman; kutolewa hatiani na hatimaye kuhukumiwa kifungo cha maisha jela na utawala wa Bahrain
Jan 01, 2021 06:40Sambamba na kutimia mwaka wa sita tangu Sheikh Ali Salman awekwe korokoroni, wananchi wa Bahrain wameandamana kutaka Katibu Mkuu huyo wa harakati ya Kiislamu ya Al-Wifaq ya nchi hiyo aachiiwe huru.
-
Qatar yaliandikia barua Baraza la Usalama ikilalamika Bahrain kuingia katika anga yake bila ruhusa
Dec 24, 2020 23:00Qatar imeandika barua kwa Baraza la Usalama na kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ikiwafahamisha kuhusu kitendo cha ndege nne za Bahrain cha kukiuka anga ya Qatar.
-
Utata mwingi kuhusiana na kupatiwa ufumbuzi mzozo wa mataifa ya Kiarabu
Dec 18, 2020 23:30Katika kipindi cha mwezi mmoja wa hivi karibuni kumekuwa kukiripotiwa habari kuhusiana na kupatiwa ufumbuzi mgogoro baina ya Qatar na mataifa manne ya Kiarabu ya Saudi Arabia, Imarati, Misri na Bahrain.
-
Iran: Marekani inawashawishi wengine watoe muhanga kadhia ya Palestina
Dec 12, 2020 03:51Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Marekani inazishawishi nchi zingine kutoa muhanga kadhia ya Palestina na kuwapa mkono wezi kwa njia mbali mbali.
-
Shirika la ndege la Bahrain latiliana saini mikataba mitano na Israel
Dec 10, 2020 23:25Shirika la ndege la ukoo wa kifalme wa Aal Khalifa nchini Bahrain, umetia saini mikataba mitano na mashirika na taasisi mbalimbali za utawala wa Kizayuni wa Israel ambao mikono yake imejaa damu za wananchi madhlumu wa Palestina.
-
Mwakilishi wa mfalme wa Bahrain aingia msikiti wa Al Aqsa kwa kificho kwa kuwahofu Wapalestina
Nov 30, 2020 07:55Mwakilishi wa Mfalme wa Bahrain na wenzake aliofuatana nao wameingia msikiti wa Al Aqsa kwa kujificha wakihofu wasije wakatambuliwa na Wapalestina.
-
Malengo ya safari ya ujumbe wa kwanza rasmi wa Bahrain katika ardhi za Palestina
Nov 20, 2020 03:34Ujumbe wa kwanza rasmi wa Bahrain umetembelea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ambazo zimepachikwa jina bandia la Israel, ukiongozwa na Abdullatif bin Rashid al Zayani, waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo.
-
Kamati za Muqawama Palestina: Watawala wa Bahrain wamelisaliti taifa la Palestina
Nov 20, 2020 03:27Msemaji wa Kamati za Muqawama za Palestina amelaani vikali safari ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Bahrain katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na zilizopewa jina bandia la Israel.